Benk ya crdb yashiriki katika ulaghai wa wateja wao.

Benk ya crdb yashiriki katika ulaghai wa wateja wao.

ALWATAN KIZIGO

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
543
Reaction score
652
Ni siku nyingi nlipewa hii taarifa na rafiki yangu kuhusu benk ya CRDB kushirikiana na makampuni ya udalali kulaghai wateja wao wanaochukua mikopo kuweka mbinu za kuwafanya wasirudishe marejesho yao ya mikopo.Sasa jana maeneo ya mbezi beach nmeshuhudia kwa macho yangu walivyomfanyia mteja wao alex ndibalema hila za kumnya'nganya nyumba yake kwa kushirikiana na bwana emanuel ole naiko.Wateja mnaoenda kuchukua mikopo crdb kuweni macho kwan jamaa wakiona nyumba yako ipo potential area wanakufanyia njama za kushindwa kulipa mkopo wao hivyo nyumba yako kupigwa mnada. Naombeni kuwasilisha
 
Nimesikiliza iyo story crdb hawana tofauti na papaa msofe ndio walewale tu
 
njama?njama zipi hizo ebu tufafanulie ili tujue kweli njama au longolongo!!! ...sio umebunya mzigo wa watu baadae .....ndo ule msemo wetu wa ukitaka ubaya dai chako.
 
mh.... wacha nimalize kamkopo kangu nao niachane nao ....
 
Sasa huyo Ole Naiko anaingiaje hapo? Je alitaka kununua hiyo nyumba kwenye mnada? Kama ni hivyo kosa lake liko wapi?
 
masharti ya mkopo yanajulikana, kama taratibu zimekiukwa mtu aende mahakamani sio kutaka kubadili mchezo kwa kuwa sheria zimekushinda
 
Sijawahi kuwa na mzuka wa kukopa CRDB. Anyway, ndiyo maisha ya kibongo
 
... Natumaini CRDB Bank wanazo terms and conditions za mikopo kwa wateja wao...
...ubaya wetu Watanzania tulio wengi tunapenda kurupukia kila sehemu tunaposikia kuna mikopo yenye masharti nafuu...., natunapochukua mikopo hatusomi terms and conditions husika..., matokeo yake tunashindwa kutimiza hayo masharti, kinachotokea ndiyo hicho!
 
Ukipost Uzi kama huu jenga hoja Siyo unaishia hewani
Hii ni kashifa kubwa tuache kuwa tunarukia mada jamani.
 
Kwa nini crdb imekwenda kuuza nyumba ambayo kesi ipo mahakamani na uongozi wa mtaa uliitaji document iliyoruhusu huyo mmiliki atoke hapo hawana kuna nini hapo?
 
Apo bado kidogo sijakuelewa, ni kwamba unafanyiwa hila ushindwe kulipa? Na je kama upo na biashara zako, watakuja zuia biashara yako ili ushindwe lipa?
 
Back
Top Bottom