Watu washaanza kuwashwa washwa kama wastaafu mmekosa cha kukandia wanaaza kusema yeye ni mshabiki wa daimond embu nenda kajambe ulale maana saa hii hamna jipya kabisa
For the record huoyo aliwahi kuwa mpz wa zari kabla ya kuwa na daimond hizo ni picha za siku nyingi saana hapo hakuwa anamjua daimond wala nini acheni upotiloshaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.