Semrah
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 596
- 823
th
thatc really inhumanedumped him
dated his dad
made da mazafaka my step son[emoji41]
thatc really inhumanedumped him
dated his dad
made da mazafaka my step son[emoji41]
Ua langu nilikutafuta mda mrefu nikajua ulifia kwenye mafuriko Tabata.. kumbe upo. Nilishakusamehe kunidanganya kwako.Nilimdanganya Nina mimba ila baadae nikamwambie imeharibika akajua nimetoa ndo ikawa mwisho wa mahusiano lkn nilishukuru maana......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]th
thatc really inhumane
bi mkubwa wangu now ni 58 halafu mkali balaaaa...halafu ana mwogopa!!Ila mkuu angalia maana akikasiria atakuja kumbandua bimkubwa maana wanaume hawapendagi ujinga.
Ila kwa kua uliifaidi dushe ya mdingi wake basi mm cna neno kwa kweli we noma.
Natamani njia ulizotumia ukamnasa baba mzazi
sanaaa..Wewe ndo ulimpenda?
Ahahahahaahahahahahahhsanaaa..
mwanzo alinipenda siunajua wanaume, nilivompenda na mimi akanizingua afu ndo first love nikapenda mazima... nilinyanyaswa nikaonyeshwa wake wenzangu enzi hizo mshamba kishenzi... halafu natumia MTN
Mwenzangu yuko BBM....
sina A be wala CHE[emoji23] [emoji23] [emoji23]
tukaachana nikasafa miaka mi2 sitaki bwana... Mungu akatuma malaika
akanisafisha na kunionyesha mji
hapo ndipo nilipomsomesha namba zote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
za marekani na za kirumi
Huyo aliyeosha rungu nao akakimbia?!Nilikondaa yaan ugomvi kwangu ikawa diet,maisha yanaendelea lakin
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]long storyMkuu we mafia arrrg kama siamini hivi. sasa mdingi wake mlikutanaje embu nipe habari mchezo ulipoanzia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahahahahaahahahahahahh
Hakuvuja damu au kufa kabisa?? kwa nn ulimpiga? yeye hakujibuNilimpiga na chupa kichwani
Alivuja damu kisa cha kumpiga ni kwamba kuna maneno aliambiwa asa badala ya kuniuliza kistaraabu akawa ananiuliza huku ananipa makofi tena ya nguvu nami kujihami nikampopoa na chupa,nguvu za kujibu hakua nazo afu nilijua nimeua nikatoka mbio uzuri bodaboda zilikua karibu nikajipakia nikaondoka zangu mpaka nyumbani kesho yake nikatimkia mkoa mwingine.Hakuvuja damu au kufa kabisa?? kwa nn ulimpiga? yeye hakujibu
Inawezekana kbsa kukaa hata miaka 2+ lkn inategemea sana malezi na, neno la Mungu na mtazamo wa mtu.Sana ,najiuliza eti mwanaume anaweza kaa mwaka mzima bila kudo?hapo si ni heshima tu na kuaminiana na kusahau yaliyopiata
Alinitafuta alipopata nafuu nikawa napigiwa simu tu na wapambe kwamba natafutwa but nilipokuja kurudi hasira zilikua zimemwisha lakini ndo ikawa mwisho wa mimi na yeyewe noma vipi hakukutafta baadae
bi mkubwa wangu now ni 58 halafu mkali balaaaa...halafu ana mwogopa!!
unampata tu verysimple ukiamua
na ukawa mtu ambae mwanaume hawezi kuchomoa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
watu wengine bwana sasa hili ni suala la kujivunia kweli? unampigaje mwanamke ambaye hata hujamuoa? wanawake kweli mna kazi yaani mtu hajakuoa then anakupiga, yaani mimi ningekuwa mdada katu nisingekubali kuonewa na wanaume wa aina hii.Habari wakuu,
Misukosuko ya mapenzi iliyonikuta ilinifanya nitende unyama mkubwa sana hapa duniani! Yule mwanamke naamini hadi anaingia kaburini hata sahau ukatili niliomfanyia, hata awapo na mumewe au na wanawe hii sura lazima itabaki moyoni mwake tuu.
Kwa tabia yake ya kujichanganya na watu kibao na kujifanya marafiki zake nilipata habari ya uhakika na nilidhibitisha nilichokifanya hiyo siku nilimtafuta yule boya* alienilia tunda langu nikampa kipigo hatari mno japo alifanikiwa kuning'ata ila kipigo nilichompa hadi leo ananiheshimu na hili jambo limenipa heshima mbele ya jamii inayonizunguka.
Huyu mwanamke hakuwa na kwa kukimbilia na hasira ilienda kuishia kwake. Ni tukio baya sana wakuu hivi nasema bora nisingemfanyia kwani najutia, nimejiwekea historia mbaya maishani mwangu ila kwa kuwa ishatokea nitatafuta jinsi niisahamu hii hali au nimfate nimuombe msamaha tuu yaishe nafsi yangu iwe na amani.
Niambie mchizi wangu