Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Sio demu wake bali ni mama watoto wake kwa lugha ya kitaalam ni baby mama wakesio mke wake, ni dem wake tuu na hana mamlaka yoyote juu yake
Sio demu wake bali ni mama watoto wake kwa lugha ya kitaalam ni baby mama wakesio mke wake, ni dem wake tuu na hana mamlaka yoyote juu yake
Umejibu ama umeuliza swali?Sasa wewe ulitaka asemeje .......... ??
Hahah body je..Ila katika mabwana wa zari huyu mwanaume ni mbaya jamani mmmh....
zilipendwa kafanana na bilinganya kwa mbali
nzuri kwa wanaopenda wanyanyua vyuma ha ha haHahah body je..
Hahaha umenikumbusha rafka angu mmija mwembaaambaa uyo af anapenda hao mabaunsa tukawa tunamuuliza mama shughulini utaweza kumbebanzuri kwa wanaopenda wanyanyua vyuma ha ha ha
Diamond anadai hayo ni masuala ya kazi kwani yeye pia anaonekana na wadada wengine kwenye mapozi tata, hivyo ameipotezea.
Ila kwani Zari sasa hivi ni msanii?
teh mi atleast wazuri naona.ni.wale wanafanya tu mazoezi anakua na.mwili wa.mazoezi ila wanyanyua vyuma unakuta juu mkubwa chini.mdogo yupo.kama mnazi hapana aseeHahaha umenikumbusha rafka angu mmija mwembaaambaa uyo af anapenda hao mabaunsa tukawa tunamuuliza mama shughulini utaweza kumbeba
Shape ya funguo mchezo hahahhateh mi atleast wazuri naona.ni.wale wanafanya tu mazoezi anakua na.mwili wa.mazoezi ila wanyanyua vyuma unakuta juu mkubwa chini.mdogo yupo.kama mnazi hapana asee
Bongo muvi ili CD ikamilike lazima waende kitandanihii tasnia ya filamu ni uchafu mtupu. Ushetani uliopitiliza yaani huwezi kukaa pamoja na watoto ukaangalia Bongo movie. Ni usharati na mapepo ya zinaa.
Nawakumbuka wakina Mzee jongo na wakina pwagu na pwaguzi, walikuwa wana staha na Adabu kwenye Tasnia wakati ule.
Lakini sasa hivi ni uchafu mtupu, haifai kuwaachia watoto tv waangalie ni ushetani mtupu.
Tunaiga upuuzi wawazungu tunasahau kwamba utamaduni wa mwafrica ni Adabu?
haha tuma picha yako basiShape ya funguo mchezo hahahha
Diamond anadai hayo ni masuala ya kazi kwani yeye pia anaonekana na wadada wengine kwenye mapozi tata, hivyo ameipotezea.
Ila kwani Zari sasa hivi ni msanii?
Diamond anadai hayo ni masuala ya kazi kwani yeye pia anaonekana na wadada wengine kwenye mapozi tata, hivyo ameipotezea.
Ila kwani Zari sasa hivi ni msanii?