St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,173
TBC ni baba wa habari kwa Tanzania yetu lakini baba huyu anategemea msaada kwa serikali(ruzuku) badala ya kujitegemea mwenyewe kwa uboreshaji wake wa vipindi. Huu ni ushauri wangu kwa TBC juu ya vipindi vyao:-
1 Irushe Bunge live na iwe tv pekee yenye kurusha nchi nzima.
2 Ligi kuu za mpira wa Ulaya iwe tv pekee yenye kurusha live. Hapa nakusudia ikifika robo fainali mpaka fainali ya ligi
3 Kuwe na vipindi vya kuwahoji wabunge na madiwani kila kona ya Tanzania juu ya maendeleo waliyoyaleta wakati wa mihula yao.
4 Kuwe na kipindi cha kuwahoji Mawaziri/Wakuu wa mikoa kila wiki juu ya changamoto za kazi zao na nini wanahitaji ili kutatua matatizo yao.
5 Kuwe na kipindi chenye kuonesha matatizo yanayoyakabili jiji na vijijini mfano:- takataka,maji taka,maradhi,usumbufu wa usafiri,matatizo ya maji,upungufu wa mazao na mengi wanaweza kuongezea kila siku zikiendelea.
6 Mwananchi kuijua haki yake juu ya sheria akiwepo hospitalini, makazini na jinsi ya kulitatua kisheria.
7 Kuwe na kipindi cha mtu atakae ongelea matatizo(changamoto) za ndoa na jinsi ya kutatua, pia kuruhusiwa kupiga simu na kuuliza maswali.
8 Kuwepo kipindi cha polisi na wanasheria kuongelea sheria kila utata wa sheria ukitokea.
9 Pawepo kipindi cha polisi live hiki kipindi kinaonesha jinsi polisi inavopambana na wahalifu kama majambazi, majangili, wizi, rushwa na mengi wanaweza kuongezea.
10 Kuwepo kipindi cha kushindanisha cha maswali na majibu na mshindi kushinda hela taslimu au kupewa vacation ya kutembelea sehemu flani kwa kila mshindi. mfano unaweza kuwaalika wanafunzi wa UDSM na UDOM ukawashindanisha au watu wa mtaa huu na ule. hapa unaweza kutumia njia ya kuja studio au njia ya skype. lakini njia ya studio ndio nzuri zaidi.
Mkiwa na vipindi vizuri vitawavutia wananchi na kuongeza rates ya watazamaji, bila ya kusahau musiwe mnaonesha vipindi vya siasa kiushabiki bali muwe fair kwenye mambo ya siasa.
1 Irushe Bunge live na iwe tv pekee yenye kurusha nchi nzima.
2 Ligi kuu za mpira wa Ulaya iwe tv pekee yenye kurusha live. Hapa nakusudia ikifika robo fainali mpaka fainali ya ligi
3 Kuwe na vipindi vya kuwahoji wabunge na madiwani kila kona ya Tanzania juu ya maendeleo waliyoyaleta wakati wa mihula yao.
4 Kuwe na kipindi cha kuwahoji Mawaziri/Wakuu wa mikoa kila wiki juu ya changamoto za kazi zao na nini wanahitaji ili kutatua matatizo yao.
5 Kuwe na kipindi chenye kuonesha matatizo yanayoyakabili jiji na vijijini mfano:- takataka,maji taka,maradhi,usumbufu wa usafiri,matatizo ya maji,upungufu wa mazao na mengi wanaweza kuongezea kila siku zikiendelea.
6 Mwananchi kuijua haki yake juu ya sheria akiwepo hospitalini, makazini na jinsi ya kulitatua kisheria.
7 Kuwe na kipindi cha mtu atakae ongelea matatizo(changamoto) za ndoa na jinsi ya kutatua, pia kuruhusiwa kupiga simu na kuuliza maswali.
8 Kuwepo kipindi cha polisi na wanasheria kuongelea sheria kila utata wa sheria ukitokea.
9 Pawepo kipindi cha polisi live hiki kipindi kinaonesha jinsi polisi inavopambana na wahalifu kama majambazi, majangili, wizi, rushwa na mengi wanaweza kuongezea.
10 Kuwepo kipindi cha kushindanisha cha maswali na majibu na mshindi kushinda hela taslimu au kupewa vacation ya kutembelea sehemu flani kwa kila mshindi. mfano unaweza kuwaalika wanafunzi wa UDSM na UDOM ukawashindanisha au watu wa mtaa huu na ule. hapa unaweza kutumia njia ya kuja studio au njia ya skype. lakini njia ya studio ndio nzuri zaidi.
Mkiwa na vipindi vizuri vitawavutia wananchi na kuongeza rates ya watazamaji, bila ya kusahau musiwe mnaonesha vipindi vya siasa kiushabiki bali muwe fair kwenye mambo ya siasa.