Recent content by stewart tesha

  1. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

    Kiongozi akifanya hivyo atakuwa anakosea sana coz unaempa hicho cheo hawezi kuwa competent au kuwa mbadala wa unaemuondoa japo wafanyakazi wanakumbushwa kusimamia viapo vyao ikiwemo na kutunza siri
  2. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Natoa mwaliko wa Maulid kwa masikini wote

    Nitumie Google Map nije chap kula nyama
  3. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Wana Dar es Salaam stukeni, kwanini Mbowe hajawahi kufanya maandamano Moshi?

    we jamaa muongo sana aisee,mambo mengi yanafanya dar 1.Idadi ya watu 2.Makao Makuu ya chama
  4. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania EWURA yaonya uuzaaji petrol kwenye madumu

    Ni wazo zuri kwa Ewura lakini haliwezi kutekelezeka kwa changamoto nyingi
  5. stewart tesha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga apewe heshima yake, kushinda ugenini na nyumbani sio kila timu inaweza, kombe la looser alishinda mechi zaidi ya 3 ugenini!

    Yanga tunahitaji pongezi kubwa sana
  6. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Fahamu Utajiri Wa Kishirikina wa Matajiri wa Kahama, Shinyanga

    Mtoa mada inawezekana hajazoea kuona watu wanateketeza pesa kwenye starehe akaona....hakuamini...akili ikamjibu lazima zitakuwa pesa za kichawi,labda nikuulize swali kama watu wa uchumi wa kawaida hutumia 50~100k per day unategemea mtu wa dhahabu atumie ngapi kwa siku?????
  7. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja

    Anaota upinzani upo tena cha ajabu umekuwa wa moto 2023
  8. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Matajiri, Watoto wa Mjini, Wababe na Wafanyabiashara wa Kilimanjaro na Arusha

    Elerai hapo anaachaje?
  9. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Picha: Ommy Dimpoz na maboss zake

    acheni uzushi wa habari pigeni kazi vijana.....
  10. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Yanayoendelea huko Mtwara: Je, Serikali ilifanyia kazi ushauri wa Marekani?

    Hapo bila Raia wa Mtwara kutishia wanaandamana kupinga matokeo ya uchaguzi.....usalama hautapatikana
  11. stewart tesha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kilichotokea Kings Music

    Naona ni bora ufikirie unajikingaje na Corona kuliko huu upupu unaotuandikia Sent from my iPhone using JamiiForums
  12. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

    duuh hatari xana hamumtaki huyu alieanza mwaka wa4
  13. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Meena Ally wa Clouds FM ananikosha sana

    Meena Ally kiboko yangu nampenda xana anajua kazi yake,keep it up
  14. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa Clouds Michael Lukindo aacha kazi ya utangazaji, aamua kufanya muziki. Afuata nyazo za kina Ray C

    Huyu jamaa nilisomanae majengo sec alikuwa na kipaji toka zamani
  15. stewart tesha

    JamiiForums Tanzania Hatimaye ofa ya 'Yakwako tu' ya Vodacom nayo yapunguzwa

    Mimi hawa jamaa sijui wanatoa kwa vigezo gani,cjawahi kupata offer nzuri kabisa
Back
Top Bottom