Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,415
- 3,761
Confirmation, eti nauliza kutaka nn, don't act like you don't ask twice sumtyms. FOHJibu ulikuwa nalo.. Then ulikuwa unauliza kutaka nini?
Confirmation, eti nauliza kutaka nn, don't act like you don't ask twice sumtyms. FOHJibu ulikuwa nalo.. Then ulikuwa unauliza kutaka nini?
Confirmation, eti nauliza kutaka nn, don't act like you don't ask twice sumtyms. FOH
Bye, umeniudhi na hako kaswali
Sikujibu tena.. Bye
🤣🤣Wenzie wote wamevaa mashati, yeye kavaa kiblauzi, hawa watu wa Kigoma bora tuwagawe kwa Burundi tu.
Utakuwa una matatizo ya macho mkuu si bure....Umenifanya nikamsaminishe huyo Betty huko insta ni pisi kali kiasi chake.
Ommy ana biashara ganiNi kikao cha kibiashara juzi walikua hotel verde, ilikua ziara ya joho alikutana pia na Rais Mwinyi ndio wakaongea na wafanyabiashara.
Hata pangekuwa kama zamani huwezi kuingia usipokuwa freeTrue ndio maan siku hizi naingia humu nikiwa free tu
Naweza ila kwa sasa siweziHata pangekuwa kama zamani huwezi kuingia usipokuwa free
Inawezekana majukwaa unayotembelea ndio sababuNaweza ila kwa sasa siwezi
Pia majukumu yanacjanhia kuona hii uwaachie wenyewe serouslyInawezekana majukwaa unayotembelea ndio sababu
Hata mimi kuna wakati nikaona kama Jf imebadilika sana, tangu niamue kuchagua majukwaa ya kupita basi kuboreka ni maamuzi tu
Sababu ya pili ni vizazi, Jf ya 2006 angalau mpaka 2014 ilikuwa ya watu wazima tu, sasa hivi vijana wengi wamevamia
Sababu ya tatu ni sheria ya mitandao ya 2015, tangu pale mada zikalainika, hata wale watu wazima sasa wanaamua kujichanganya kwenye mada nyepesi, mwanzo waliingia jf kukata ishu, sasa wanaingia wakiwa free tu kama unavyofanya
Nimeligundua hili baada ya kuona majina yaleyale yaliyokuwa yanajadili ishu nzito ndio nayakuta kwenye umbea, sio kwamba hawana tena madini ila hawawezi kuyatema
Watu na ma boss zao wakila bam
Sasa ulifata nn hapa mkuu nenda kwenye siasa au intelligence kuleIvi ndugu zangu watanzania kwanini tunatumia akili nyingi kufikiri na kujadili vitu visivyokuwa na faida? Mwenzenu anatengeneza pesa