Recent content by StevenFM

  1. StevenFM

    Kabla ya Dunia kutengenezwa kulikuwepo na nini??

    Mungu ndiye mwenye mamlaka juu yetu. Kama ww binafsi unawawekea wanao miiko au mipaka ya kufanya mambo, asiwe Mungu kweli? bt kama nahc unaongelea mungu sio Mungu.
  2. StevenFM

    Kabla ya Dunia kutengenezwa kulikuwepo na nini??

    Punishment is ur own choice. Let's say A is water & B is corrosive substances,,,,then he gives u conditions, 'u can touch A with free hand but not B' If u go against u must see how corrosive substances Corroded ur hand.
  3. StevenFM

    Kabla ya Dunia kutengenezwa kulikuwepo na nini??

    He gave us freedom of choosing. If u choose sin well,,,bt he must show you that ur choice was incorrect.
  4. StevenFM

    Kabla ya Dunia kutengenezwa kulikuwepo na nini??

    God is there. trusting him he answers our prayers.
  5. StevenFM

    Biashara ngumu

    Jamani kila ninapofikiria nianzishe mradi, juhudi zinakwama hasa katika kubuni huo mradi. Big up sana kwa walioweza huu mtihani. Naombeni na mimi mnipe techniquesm
  6. StevenFM

    Mpenzi wangu amejisaidia haja ndogo kitandani, kumuuliza akasema ni bahati mbaya

    USHAURI WANGU KWENU WANAWAKE/ WASICHANA Leo Nina jambo kwenu nyie dada zangu.... Ukitaka kuolewa olewa na mume ambaye atakuwa rafiki kwako siyo kisa unampenda hadi anakufunga akili kama MAHARAGE ya kwenye MAKOPO , jaribuni hata kuzingatia umri usiolewe na mwanaume atakaye kuwa BABA kwako! yaani...
  7. StevenFM

    Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

    Mtu unauliza eti ulitumia vigezo gani kuteua, mi naona kamsaidia hata kumpa hilo jibu. Mi ningemwambia HILO SIO SWALI
  8. StevenFM

    Kanda ya Ziwa ni Lowassa

    Tuondoleeni Ukabila na ukanda wenu hapa
  9. StevenFM

    Lowassa ni President Material zaidi ya Dr. Magufuli

    husomeki, ulipomwona tu???? Yan utaona wengi sana na utakuwa unabadlka ....we pima uhalisia wa mambo, sio kuona tu
  10. StevenFM

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Endelea kuwa na imani, bt ni ukweli
  11. StevenFM

    Final: Dr. Slaa is back!

    amaizing flan ivi
Back
Top Bottom