Mungu ndiye mwenye mamlaka juu yetu. Kama ww binafsi unawawekea wanao miiko au mipaka ya kufanya mambo, asiwe Mungu kweli? bt kama nahc unaongelea mungu sio Mungu.
Punishment is ur own choice. Let's say A is water & B is corrosive substances,,,,then he gives u conditions, 'u can touch A with free hand but not B' If u go against u must see how corrosive substances Corroded ur hand.
Jamani kila ninapofikiria nianzishe mradi, juhudi zinakwama hasa katika kubuni huo mradi. Big up sana kwa walioweza huu mtihani.
Naombeni na mimi mnipe techniquesm
USHAURI WANGU KWENU WANAWAKE/
WASICHANA
Leo Nina jambo kwenu nyie dada zangu....
Ukitaka kuolewa olewa na mume ambaye
atakuwa rafiki kwako siyo kisa unampenda hadi
anakufunga akili kama MAHARAGE ya kwenye
MAKOPO , jaribuni hata kuzingatia umri usiolewe
na mwanaume atakaye kuwa BABA kwako! yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.