CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

Hata mimi ni mmoja kati ya wale ambao tunaojihuliza inakuaje Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa na kadi ya chama cha Siasa lkn baada ya kuanza kutoa ufafanuzi wa kisheria na kuanza kutaja makundi matatu ambayo hayatakiwi kuwa ni mwanachama wa chama cha siasa, nikajua sasa hapa fumbo linafumbuka ila sasa mpaka sasa ubongo umebaki na mzigo wake ule ule.

Hii ndio tz, hakuna.nchi yoyote yenye kuweza kufanya hivyo
 
Ushabiki na namna hii kamwe hauwezi kutufikisha mahali tunapopataka! Dr Tulia huyu huyu ndo yule alihusika kwa asilimia kubwa kukwamisha katiba iliyokuwa imebeba mawazo ya watanzania na kuja na usanii wao na kina Sita na Chenge na matokeo yake katiba pendekezwa hata hatujui iliko na hata walioipigia chapuo kina Sita kwa kufikiri watakuwa kwenye nafasi za juu waendelee kula nchi hata hawataki kuisikia.Je, huyu ndiye mtu wa kujivunia. Unaposema kutaja vifungu vya katiba bila kusoma, hujawahi kuona mtoto wa chekechea akisoma Quaran au Biblia vifungu kwa kifungu kama anasoma!?
Hivi Lisu amekujaje kwenye hii post?
Tuwekeni vyama pembeni tunapoangalia mstakabali wa nchi! Ushabiki mliona ulikotupeleka wakati wa bunge la katiba.

Kula like,
 
Haya maisha yanaendelea,nendeni mkafanye kazi acheni Siasa.
Wao wanaingiza siku muda nyie mnatafute ugonjwa wa moyo.

CCM ndio chama TAWALA,Dr Tulia ndio Naibu Speaker na Waziri mkuu ni majaliwa.

Ndio hivyo utake usitake,maisha hayana mkato,wanasiasa wasiwapumbaze na ahadi za nchi ya asali na maziwa.Mnatukanana wao mambo yao safiii na wanasailimia vizuri tu wakiwa nje.

Hapa wote tuna hisi tu kwamba alikosea,na kila mmoja anaruka kusema kisheria ipo vipi.Acha wapiga kelele waendelee kuwa wapiga kelele.
Ila mjiangalie na umri wenu,maana 2020 wengi mtakuwa vizee,sasa kuweni wapoleeee CCM mbele kwa Mbeleeeee na maisha yanaendelea

CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Wagonjwa wa MOYO ukawa OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

Mtatulia tu,
 
Lowasa hakuwa aag, fikiri kabla ya kuandika, huyu dr. alikuwa serikalini tena mwenye dhamana kubwa tu na haikupaswa kuwa mwanachama wa chama.chochote, ni swali dogo aliloulizwa lakini jibu lake ni pana sana, bora alivyonyamaza kwani alishasoma alama za nyakati

Hata Mbowe bado ana kadi ya ccm. Hao watumishi wengi waliingia enzi za chama kimoja kadi zao wanazo tu japo hawashiriki siasa.
 
Hii nchi haijapata ukombozi na tutalaaniwa sana na vizazi vijavyo. Tunakosa wawakilishi wazuri kwa kuangalia maslahi ya chama. Ni hatari kwa mustakabali wa taifa
 
Usichokijua kuhusu mtoa mada ni kwamba

Ana umri mkubwa kuliko mama yake.....!!
Kweli umenena. Tena kasahau wa rika lake wanalea wajukuu kuelekea mabadiliko. Yeye anakimbia na madem akisau kujiangalia vizuri kwenye kioo. Picha anazojaza kwenye mitandao ni zinitia huruma kwa kweli mzee kama yule aibu hakuna. Amechoka kuishinda hata CCM na bado hajitambui kabisaaa!
 
Msingi wa lile swali ni juu ya mh. Tulia kuwa naibu mwanasheria mkuu ambapo tunajua hakupaswa kuwa upande wowote wa chama cha siasa ili kutenda haki hii hauwezi linganisha na uhamaji wa akina lowasa na duni ktk vyama vyao
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation
Nivizuri kama umejua mda wa lowasa aliojiunga na chadema na kupewa uwanachama
Na pia babu duni

Sasa walichotaka chadema na wao ni kujua mda wa Tulia aliojiunga na ficcm maana alikuwa mtumishi wa uma

Au umepost tu kutafuta umaarufu huku jf kupitia chadema
Pimbi mkubwa
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

Vipi matokeo yenu yamoshi mjini yamekuaje?na mama jimboni vipi mbona sijamuona akiapishwa?
 
Baba yako alishindwa ubunge, mama yako alishindwa ubunge, wewe ulishindwa ubunge,kaka yako alishindwa ubunge..
Hii familia ya watu failures ...
 
Mtoa mada unacheka cheka tu unashindwa kutetea hoja yako !!umekurupuka bila kufahamu kama hujui , maskini wa kufikiri ni bora ungekaa kimya tu mana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana kama mtoto mchanga.
 
Back
Top Bottom