Final: Dr. Slaa is back!

Ameenda kutangazia watanzania msimamo wake na kuweka wazi madudu ya Chadema yanayopikwa na Mbowe....Kaeni tayari..makorokocho ya mbowe yanawekwa bayana
 
Dah......haya Kamanda, utapata wasomaji wengi sana kwenye post yako.
 
Karibu nyumbani baba. Yaliyokupata yanatosha. Wamekudhalilisha,wamekudharau,;kwa ujumla umepondeka na kuzimia roho. Kweli pesa hupovusha macho na kuondoa uwezo Wa kufikiri.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom