Kanda ya Ziwa ni Lowassa

Kanda ya Ziwa ni Lowassa

Mimi nimekuja Kahama hapa habari mi Lowassa tu huyo Magufuri ana Washabiki wachache ambao ni die hard CCM
 
Watu hawaeleweki, CCM inaweza kuja na mikakati ya hatari watu wakabadili upepo.
 
Mimi nimekuja Kahama hapa habari mi Lowassa tu huyo Magufuri ana Washabiki wachache ambao ni die hard CCM
Hata hao die hard CCM watabadilika tu UKAWA wakijipanga vizuri.
 
Kwa kweli nawashukuru kusoma mada hii na kuendelea kuongeza findings toka maeneo mengine ya ziwa ambako sikufika
 
Tutolee ujinga wako hapa,ni UKAWA pekee wanaoweza kuiamini hii story
 
Hata Mimi niliongea na wa Mwanza almost kila mtu lowasa na mkoa wa Kagera asilimia kubwa.
 
Kuhusu njia za kampein nadhan unaifahamu cdm kwaubunifu uliotukuka nasikia kwa sasa chama kimejipanga idara zote kuanzia jino kwa jino hadi kitanda kwa kitanda,mtu na mtu mpaka kwa wanyama wenye uwezo wa kuleta taarifa kama ndege kasuku , pale ambapi magamba yakuja usiku kuleta hongo wapo mbwa wakali watakaowafurusha mbali kabisa yaan kwa kifup maccm hayatapata pumzi ya kuhujumu hii transform ya kutoka gizan kuja nuruni
Ushauri wangu kwa UKAWA kampeni ziwe matata sana wahakikishe kila anapokanyaga MUUZA NYUMBA ZA SERIKALI lowassa nae anapita.
 
hakubaliki ndgu yangu, yaani pombe atakuwemo kwenye historia ya waliogombea urais 2015 na kushindwa: lowasa atapata kura nying mno kanda ya ziwa kuluko pombe, ninapitapita katika mikoa ya mara, mwanza, shinyanga na geita kati ya watu 10 watu 8 wanasema hakuna kitu kitakachowazuia wasimpgie kura EL kwakuwa wanamwamin: sababu nyingine wanayotoa ni kwamba wamechoka na ccm kwahiyo magufli hatakuwa na jipya bali ccm ni ileile, kwahiyo wanachotaka ni mabadiliko tuuu nasiyo ukanda et uwafanye wampigie kura magufli: wakati watu wa kanda ya ziwa wanahayo kwa upande wa pili mikoa ya kaskazin hatusikii watu kutoka upinzan kwenda ccm bali wanatoka ccm kwenda chadema; hii inamaanisha kuwa magufl hatafikisha hata kura milion 1 katka mikoa ya kaskazin wakat Lowassa atapata mamilion ya kura sawasawa na idadi atakayo pata kanda ya ziwa achilia mbali mikoa ya mbeya, mtwara, iringa na kigoma:

Na katka mikoa ya singida, dodoma, Tabora na morogoro watatoka drooo kutokana na ukweli kwamba Lowassa apigiwa kura na baadhi ya wanaccm, wapinzani na wasiokuwa na vyma:

sasa ukitafakari na kuchunguza kwa kina utagundua kabisa kuwa Lowassa anawapiga kura zaidi ya milion 11.8 huku magufli akijipatia wapiga kura milion 7.5 ukiachilia mbali ya aslimia chache ya zile zitakazo haribika. Huu ndo ukweli bila ya kushabikia tuu
 
Watu hawaeleweki, CCM inaweza kuja na mikakati ya hatari watu wakabadili upepo.

muda wa kubadilisha huo upepo mbona haupo?? Labda kwa kuiba kura tu na si kingine wanachokitegemea
 
nipo mikumi, Kila ninae muuliza Anasema lowassa atosha, wengine alipo lowassa tupo, lowassa Rais. katika watu 16, 1 kasama Magufuli ndie atakae kuwa rais bora, lowassa Fisadi
 
Lowasa ndyohabari ya mjin na Leo magufuli kaja na hathis ya laptop hilo ni changa la macho tu
 
Watu hawaeleweki, CCM inaweza kuja na mikakati ya hatari watu wakabadili upepo.
Huyu mleta mada anachekesha....Yaani mahojiano yake na watu sita ama kumi wa Mwanza ndio yanamfanya ayaweke kuwa ya Kanda ya Ziwa yenye mikoa ya Mwanza..Shinyanga..Simiyu...Mara...Geita...Kagera 'na Tabora'....

Dah!...
 
Back
Top Bottom