Nchi za America kusini zote blacks wapo kasoro Argentina tu,inaonekana mtu mweusi huko alitokomezwa kikatili mno enzi hizo ndio maana hawaungi mkono hoja kwani inaonekana huko mbeleni pia kutatolewa ushahidi wa hilo juu yao na wataumia
Kama ni kweli,nchi za weusi ziitishe mkutano wa dharula ziunde haraka sana CAF yao na zijivue uanachama CAF ya sasa na zijitoe kwenye mashindano yoyote ya CAF ya sasa kuanzia klabu bingwa hadi shirikisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.