Recent content by steveachi

  1. steveachi

    JamiiForums Tanzania Cocastic navutiwa nawe sana!

    Tobaa
  2. steveachi

    JamiiForums Tanzania Siri za Chumbani

    Mtazilindaje faragha za watoa siri?
  3. steveachi

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Kwa kuwa bado ni maoni tu,weka hicho kipengere ili wengine wasioutaka kabisa huo muungano wawe na kura zao separately kabisa zenye mtazamo wao pia.Tusiwashawishi kwa hoja zetu,tuache uhuru wao wa kutochagua kabisa kuungana huko kisha tupime wengi wanatakaje
  4. steveachi

    JamiiForums Tanzania Natafuta sana hiki kiatu; mtumba grade one, hakijavaliwa,. Nilikutana nacho Sabasaba

    Shida sikai town,hadi nikifika kule ni hadi nikiwa na issue ndio huwa lazima nipitie huko niangalie mazaga. Labda akipatikana mwenye kuwepo hapo Moshi mara kwa mara ndio aokoe jahazi mkuu
  5. steveachi

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Hauna maana yoyote kwani kuna upande mmoja sitautaja unaumia kuliko mwingine
  6. steveachi

    JamiiForums Tanzania Natafuta sana hiki kiatu; mtumba grade one, hakijavaliwa,. Nilikutana nacho Sabasaba

    Njoo Moshi kwenye soko la memorial,navionaga sana pale
  7. steveachi

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Usiwepo kabisa. Ongezea hapo juu kwenye kupiga kura ushangazwe na majibu ya swali lako.
  8. steveachi

    JamiiForums Tanzania Nashauri vyama vya siasa visivyo na sifa za kisheria kushiriki uchaguzi visipewe kipaumbele kwenye maridhiano ya hiyari ya kitaifa

    Wakiviondoa hivyo watapataje uhalali wa uchafuzi walioupanga kuufanya?
  9. steveachi

    JamiiForums Tanzania Baada ya miaka 30 sababu inayowafanya wanawake kuzama kwenye dini sio wokovu. Kijana shtuka

    The bestest thread niliowahi kukutana nayo kwa kweli
  10. steveachi

    JamiiForums Tanzania CCM wawasifia Mbowe, Mrema kwa “upinzani mkali”

    Ukiona adui yako anakusifia luku veree
  11. steveachi

    JamiiForums Tanzania TFF imepitisha Kanuni mpya—Timu isipoingia Dressing Room, itakatwa alama 5

    Safi sana,uhuni uhuni unaharibu nchi
  12. steveachi

    JamiiForums Tanzania Eti UKIMWI ni ugonjwa ? 😆 mtu anagamba public kabisa na kudai UKIMWI ni ugonjwa !! Nani alikufa na ukimwi?

    Deception yupo wapi? Tuanzie hapo kwanza Kama ni mwenyeji JF utamjua
  13. steveachi

    JamiiForums Tanzania 5 Days Marangu Route Kilimanjaro Climbing Tour | Classic Hut Route Tanzania 2026/2027

    Thanks so much,I shall find you so soon
Back
Top Bottom