Recent content by steveachi

  1. steveachi

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Nchi za America kusini zote blacks wapo kasoro Argentina tu,inaonekana mtu mweusi huko alitokomezwa kikatili mno enzi hizo ndio maana hawaungi mkono hoja kwani inaonekana huko mbeleni pia kutatolewa ushahidi wa hilo juu yao na wataumia
  2. steveachi

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Sijaona hoja yako yoyote uliyoitoa zaidi ya kiroja tu cha wewe unayezidiwa nao
  3. steveachi

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Labda wewe ndio unayezidiwa akili na hao uliowataja sio mimi
  4. steveachi

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Aaaaaamin inshallah
  5. steveachi

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Motsepe ni Mata.... sana
  6. steveachi

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Kama ni kweli,nchi za weusi ziitishe mkutano wa dharula ziunde haraka sana CAF yao na zijivue uanachama CAF ya sasa na zijitoe kwenye mashindano yoyote ya CAF ya sasa kuanzia klabu bingwa hadi shirikisho
  7. steveachi

    Uhuru wa habari umepigwa kitanzi; Rostam Aziz anunua gazeti la Mwananchi

    Inasikitisha na kufikirisha sana
  8. steveachi

    Uhuru wa habari umepigwa kitanzi; Rostam Aziz anunua gazeti la Mwananchi

    Hawajafika bei tu,hakuna mkate mgumu mbele ya chai bloangu
  9. steveachi

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Asante sana kwa taarifa njema mkuu, Je hilo fao linawahusu waliokua wanapeleka michango yao huko NSSF tu,PSSF haliwahusu naona umeitag NSSF tu?
  10. steveachi

    Maafisa Idara za elimu anapostaafu Kiinua mgongo ni Wastani wa Tsh ngapi kwenye TGTS H au I?

    Inategemea na idadi ya miezi aliyohudumu ktk utumishi wake wa umma,kama ni mingi atapata Ndio hadi atakapoiaga dunia Kwa kikokoroo cha sasa?
  11. steveachi

    Mwanaume tafuta Hela Ndugu waje kukutembelea

    Mi hata nikiwa na mihela sitaki kutembelewa,sitaki mazowea,salamu tu hata kny simu mbelee
  12. steveachi

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Hivi wakuu leo nini kimejiri huko vitani manake ndio kwanza narudi kutoka kijijini,ndio nimeanza kuupata mtandao hivi punde
Back
Top Bottom