Recent content by steveachi

  1. steveachi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    Umesababisha mzazi mwenzake amkimbie halafu unataka ushauri kutoka kwetu,una akili kweli wewe? Huo ni mzigo wako na unapaswa kumuhudumia kama alivyokua anahudumia mzazi mwenzake. Nyie ndio mnaowarubuni masingo mama,wakiingia kingi mnawakimbia hadi mnasababisha watu wawatukane humu
  2. steveachi

    JamiiForums Tanzania Kuamini ndoa ni Mpaka ifungwe kanisani au Msikitini ni dalili ya utumwa na uelewa mdogo kwa watu

    Hapa nakuunga mkono kabisa,ni upuuzi sana
  3. steveachi

    JamiiForums Tanzania Mafuta na gesi yakiisha Mashariki ya Kati tutaishije ?

    Gari za umeme zitapata dili
  4. steveachi

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni zinazounga internet ya nyumbani hazisemi ukweli kuhusu kiasi cha ‘data’ anayopata mteja

    We endelea tu kutumia unachotumia,werevu nimeshawapa maelekezo,wajuaji nawaacha na ujuaji wao
  5. steveachi

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    Bloangu,bipolar hawa,usijibizane nao,utamaliza nguvu zako bure
  6. steveachi

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni zinazounga internet ya nyumbani hazisemi ukweli kuhusu kiasi cha ‘data’ anayopata mteja

    Mi ni mteja wao tu sina uhusiano na kampuni ila natoa ushuhuda wa nachokiona nikifananisha na makampuni mengine hasa ya mitandao ya simu
  7. steveachi

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni zinazounga internet ya nyumbani hazisemi ukweli kuhusu kiasi cha ‘data’ anayopata mteja

    Habari ya mjini ni kampuni ya `Habari Wi-fi'hakuna kustack stack,ukiangalia muvi kama ipo kny flash vile
  8. steveachi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Sumbawanga Mjini, Kuliko kujenga Muhimbili mpya kwa Tsh. 1.2 Trilioni bora tujenge hospitali mikoani kuipunguzia mzigo hospital hiyo

    Hatari sana bloangu. Nikifikiria uwingi wa hiyo fedha na idadi ya wagonjwa watakaohudumiwa nachanganyikiwa,yaani idadi inazidiwa hata na idadi ya watu wanaoishi ktk yale maghorofa ya Mwembechai ambayo thamani yake ni ndogo sana ukilinganisha na hiyo tilioni na ushee
  9. steveachi

    JamiiForums Tanzania Mfereji wa Hormuz: Rais wa Marekani ahairisha oparesheni ya kusindikiza manowari za biashara

    Mungu endelea kuisimamia na kuibariki Iran
  10. steveachi

    JamiiForums Tanzania Mfereji wa Hormuz: Marekani ameomba msaada wa kijeshi kutoka Korea Kusini

    Kiduku huyooo nae anatia timu upande wa Iran kummq
  11. steveachi

    JamiiForums Tanzania Mkoa/Wilaya gani watu wake wanaongoza kwa uvivu...?

    Dar,hasa uswaz unakuta hawapiki msosi wa familia,wananunua vichwa vya kuku au miguu wanasukumizia na kacholi
Back
Top Bottom