Recent content by steveachi

  1. steveachi

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Hapo ndipo mabinti wengi wanapojiharibia na kuishia kuliwa tu
  2. steveachi

    JamiiForums Tanzania Mwanaume anaesomea nursing na ukunga ndio mtu shujaa sasa kwa Tanzania

    Wapelekee moto,goli la tatu ulimwagie chini kuwashukuru mizimu ya kwenu
  3. steveachi

    JamiiForums Tanzania Mwanaume anaesomea nursing na ukunga ndio mtu shujaa sasa kwa Tanzania

    Ndio umepata mshahara wa kwanza nini mkuu?
  4. steveachi

    JamiiForums Tanzania Je, kwa Shilingi Milioni 30 taslimu ukiwa una Uwanja ukikomaa huwezi Kujenga nyumba yako ndogo tu nzuri ya vyumba vitatu na iliyokamilika kila kitu?

    Mi sio fundi mkuu ila kwa pesa hiyo kama una uwanja tayari,unajenga kajumba kadogodogo kazuuuuuri kabisa ila simamia vizuri mwenyewe usitume pesa ujengewe
  5. steveachi

    JamiiForums Tanzania Unene, kuwa kibonge ni ishara ya kula hovyo na uvivu

    Na wale wanaokula kinoma na hawanenepi na hawana mazoezi kabisa inakuaje kuaje hapa?
  6. steveachi

    JamiiForums Tanzania Vijana mmejiongeza kuwaita majina mbadala wazizi wenu wakambo

    Bloangu kwema lakini? Upo sawa lakini kweli leo?
  7. steveachi

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    teh teh teh teheeeeeee
  8. steveachi

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale iPhone 13 Plain 128 GB💰 BEI: TSH 830,000

    Kichwa cha za habari umeandika unauza GB 128,ndani ya habari yenyewe GB 64,kipi sahihi ni sasa mkuu?
  9. steveachi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni miongoni mwa viongozi mashujaa na madhubuti sana barani Afrika

    Teh teh teh teheheeeeeeee
  10. steveachi

    JamiiForums Tanzania Wanawake acheni ushirikina!

    Acha tu mzee wa vidot vitatu
  11. steveachi

    JamiiForums Tanzania Wanawake acheni ushirikina!

    Huyo upwiru ndio unamsumbua
  12. steveachi

    JamiiForums Tanzania Free tips daily 1.50 odds and 2 odds

    😂
Back
Top Bottom