Kwa kuwa bado ni maoni tu,weka hicho kipengere ili wengine wasioutaka kabisa huo muungano wawe na kura zao separately kabisa zenye mtazamo wao pia.Tusiwashawishi kwa hoja zetu,tuache uhuru wao wa kutochagua kabisa kuungana huko kisha tupime wengi wanatakaje
Shida sikai town,hadi nikifika kule ni hadi nikiwa na issue ndio huwa lazima nipitie huko niangalie mazaga.
Labda akipatikana mwenye kuwepo hapo Moshi mara kwa mara ndio aokoe jahazi mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.