Umesababisha mzazi mwenzake amkimbie halafu unataka ushauri kutoka kwetu,una akili kweli wewe?
Huo ni mzigo wako na unapaswa kumuhudumia kama alivyokua anahudumia mzazi mwenzake.
Nyie ndio mnaowarubuni masingo mama,wakiingia kingi mnawakimbia hadi mnasababisha watu wawatukane humu
Hatari sana bloangu.
Nikifikiria uwingi wa hiyo fedha na idadi ya wagonjwa watakaohudumiwa nachanganyikiwa,yaani idadi inazidiwa hata na idadi ya watu wanaoishi ktk yale maghorofa ya Mwembechai ambayo thamani yake ni ndogo sana ukilinganisha na hiyo tilioni na ushee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.