Mimi tatizo langu APPLICANT'S BASIC INFO hamna, sijajua nilikosea wapi ila nimekamilisha kila kitu hadi taarifa za mdhamini.
Kwakuwa applicant's basic info hamna, maana yake ni kwamba taarifa za benki hakuna na picha yangu haipo. Nimeamua kureverse application ili nianze upya ila kwenye hicho...
Habarini ndugu zangu.
Najaribu kujaza taarifa za mdhamini (GURANTORS DETAILS) kwenye website ya BODI YA MIKOPO tangu jana lakini inagoma kabisa.
Picha ya mdhamini inatakiwa iwe katika pdf format na vile vile passport size photo inatakiwa iwe na specs hizi:120x150 pixels na ukubwa wa 1Mb...
Unapowapumzisha wengine baada ya awamu yao ya miaka kumi kutimia si na wao wanakuwa hawana ajira kwa kipindi hicho?
Nadhani nadharia ya keki ya taifa imetumika vibaya hapa. Hivi mshahara wa laki nne na ushee kwa mwezi ndo uite keki ya taifa?
Keki ya taifa nijuavyo mimi ni kwa wale wanaopata...
Maisha hupanda na kushuka Kaka, Kuna kufiwa, talaka,kufukuzwa kazi, kusaidiwa kimaisha na wasamaria wema n.k. Tujifunze kuwafungulia watoto account wakati zipo. I hope wewe mtoa mada tayari mwanao anamiliki account pale Azikiwe street.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.