Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
We acha tu mkude kazingua kinoma
We acha tu mkude kazingua kinoma
Na tutashinda japo tuko punguvuMmezidiwa ht bila kuhesabu hilo goli acheni upupu nyie
![]()
![]()
![]()
![]()
.... .......
mungu anawaonangapi ngapi matokeo???????????????????Acha uoga maandazi wewe
Mungu hawasaidii watu wanaofanya upuuziNa tutashinda japo tuko punguvu
mungu anawaona
Mungu hawasaidii watu wanaofanya upuuzi
Nidhamu siri ya mafanikio
![]()
![]()
![]()
........
ngapi ngapi matokeo???????????????????
acha mchecheto weweMoyo wangu unauma kumwona refa ****** akichezesha mechi yetu
acha mchecheto wewe
ndo maana kuna refa anaangalia rafu uwanjaniAmini mukubwa ,,, yanga wanacheza rafu kinona
Mambo haya yapo, the referees mistake is final. Hasira ya nini?
Maradona kawahi kupiga bao la mkono ni teknic ya kimpiraMambo haya yapo, the referees mistake is final. Hasira ya nini?
acha wapigwe maana hakuna namnaMaradona kawahi kupiga bao la mkono ni teknic ya kimpira
Jamaa machale yamewacheza kipigo kinanukia hivyo wakatafuta jinsi ya kuharibu mechi
![]()
![]()
......