Sipingi hoja iliyowekwa hapa. Ila tukumbuke pia kuwa Nanyaro si malaika na pia kati ya wagombea wengine wapo pia wenye uwezo ila hawajapata ground ya kuonyesha uwezo wake.. kimsingi aombwe Mungu achaguliwe kiongozi atakayeweza kubeba vision ya bavicha..
Ccm wanataka kutupeleka pabaya... sidhani kama huu mfumo wa kuingilia maswala nyeti ya nchi ya tija kwetu wananchi.. waachie mfumo uliowrkwa ufanye kazi peke yake....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.