nitawasiliana na kurugenzi ya habari ila kwa sasa bado tuko kwenye majadiliano kwani fomu zimetoka leo na mwisho wa kurudisha ni wiki ijayo ila kwa taarifa tuu strong hold za cdm mambo yako shwari na tunashirikiana kwa karibu sana kama wana ukawa kata, wilaya na hata mkoa ondoeni shaka hizi ni propaganda za ccm ili tusau mjadala wa iptl makamanda tuko fiti na tunachotaka ni mabadiliko na mgombea anae uzika na sio flani au chama flani.
Na
sisitiza hata mimi kama sina sifa nitolewe tuu
kwanza niseme Takwimu na maelekezo waliyonayo chadema katika wilaya 3 nilizofika ni dhahiri ukawa haipo kwa ubinafsi tu wa chadema, tayari nccr na cuf wamekubaliana katika maeneo mengi , mfano Arusha mjini chadema hawataki ushirikiano wa ukawa, hapa serengeti katibu Chacha Antony anasema hata makubaliano hayatambui ! Na ni fake ! Wakati nccr wanataka vitongoji 2 tu kati ya 23 vya hapa mjini, cuf wanataka 6 tu na chadema watapata 14 , na kwa sasa chadema wana kiti 1 tu, cuf wana vitongoji 4, na nccr hawana ! Mie nafikiri ni muhimu sasa kwa CUF Na NCCR Kuendelea na ushirikiano na hawa tuwaachie watz watawahukumu ! Mbaya zaidi arusha hawataki ushirikiano, hapa serengeti wanataka waachiwe viti 21 pamoja na 3 kati ya 4 vya CUF ! Sitaki kubeza hatua za mazungumzo kwenye ngazi ya Taifa kuhusu kuokoa jahazi ila watz bado wanataka umoja ! NCCR na CUF Tutatosha hawo waachieni waweke mgombea kila mtaa, kijiji na kitongoji !
kuna tatizo musoma mwenyekiti na katibu wenu wa wilaya hawashauriki, kuna kitu sitaki kukisema hapa kitawaletea sintofahamu ila kubalini kuna tatizo hasa kutokana na mgogoro wa diwani wa CUF wa kigera na baadhi ya madiwani wa CDM
Kwahyo ndo ushakuwa mwanafunzi wa propaganda na tayari unagraduate? ..hayo alikuwa anayaweza Tambwe Hiza nyie wengine propaganda hamziwezi[/QUOTE Rweye nipo ktk baadhi ya taratibu ktk ngazi za awali #nalalamikiwa !
Vip mkuu sijakupata vyema jaribu kuwa wazi ama nipm ..hatua za hawali,nalalamikiwa ..nipe maelezo
@briefs:kama kuna eneo gumu kulipoka au kulitoa chini ya himaya ya ccm ni Ilala yote! tatizo lilipo ni kwamba cdm haikuwa kugombea hata siku moja kwa ngazi ya s/mtaa ktk kata ya ilala,ni cuf pekee ndio waliokuwa wakigombea na kushika nafasi ya pili ktk kata hiyo,infact cuf ndio wanaofahamika na kujulikana na ndio waliozoeleka,kwa cdm kung'ang'ania na ugeni walio nao ktk kata hiyo ni kupoteza tu! naongea hapa nilikuwepo ktk mivutano yao!Vip mkuu sijakupata vyema jaribu kuwa wazi ama nipm ..hatua za hawali,nalalamikiwa ..nipe maelezo
Leo utakuwa umeenda kusali kwa nabii Tito...
Siyo shwari hapo iko wapi?
CCM ni mkombozi wa wawekezaji wa kigeni. Ref Mikataba 17 ya Gas yenye usiri na madudu ya kutosha ndani yake.Ukawa ni janga sugu la wazawa.
taarifa ni za Uongo? Hoja zako za kuthibitisha uongo wa taarifa zipo wapi?
View attachment 202927View attachment 202927kwanza niseme Takwimu na maelekezo waliyonayo chadema katika wilaya 3 nilizofika ni dhahiri ukawa haipo kwa ubinafsi tu wa chadema, tayari nccr na cuf wamekubaliana katika maeneo mengi , mfano Arusha mjini chadema hawataki ushirikiano wa ukawa, hapa serengeti katibu Chacha Antony anasema hata makubaliano hayatambui ! Na ni fake ! Wakati nccr wanataka vitongoji 2 tu kati ya 23 vya hapa mjini, cuf wanataka 6 tu na chadema watapata 14 , na kwa sasa chadema wana kiti 1 tu, cuf wana vitongoji 4, na nccr hawana ! Mie nafikiri ni muhimu sasa kwa CUF Na NCCR Kuendelea na ushirikiano na hawa tuwaachie watz watawahukumu ! Mbaya zaidi arusha hawataki ushirikiano, hapa serengeti wanataka waachiwe viti 21 pamoja na 3 kati ya 4 vya CUF ! Sitaki kubeza hatua za mazungumzo kwenye ngazi ya Taifa kuhusu kuokoa jahazi ila watz bado wanataka umoja ! NCCR na CUF Tutatosha hawo waachieni waweke mgombea kila mtaa, kijiji na kitongoji !