Sifa za husband material hizi hapa

Sifa za husband material hizi hapa

hahhah mtatengeneza wa kwenu.... wa hivyo kumpata labda upitie kwa sangoma!!!!
 
Zinduna, ndoa bila kumatch haipo. Ulichokiandika ni kwa mtu mwenye sifa hizo na anayependa vile.

Mwanamke vinyongo na visasi hadi diaries za miaka kumi una review. Kila likitokea jambo dogo unaanza kuorodhesha matukio unadhani hata ukimpata mwanamme mwenye kusamehe ataweza? Andika labda mvumilivu sana.

Wewe mwanamama huna time na watoto. unaacha mtoto kwa jirani unaishia kwenye vigodoro, baba anakuta watoto wananjaa kamasi hadi zimekaukia mashavuni, wamejikunyata hata wa kuwavika sweta hayupo, wanakula ukoko kwenye sufuria, halafu unataka mwanamme anayependa watoto, mtaishi kweli?

Huna hofu ya Mungu hupati mwanamme mwenye hofu ya Mungu kwa sababu atakutesa kwa matamanio yake na wewe utamtesa kwa ushetani wako na mwihso wa siku, hamtaweza.

Mwanamme asiyekunywa pombe wala kuvuta sigara hawezi kuishi na mke anayetumia. Atakuona gumegume na mwisho atasurrender kwa vile hayo si mazingira yake.

Fedha ni matokeo, anaweza asiwe na fedha za kukupa mara kwa mara lakini akakupa moyo wake. Kipi cha thamani? Kumbuka fedha zinaweza kuwa za msimu lakini kama kuna mapenzi, hakuna matata.

Unatamani mwanamme asiye party wala haendi club, basi uwe na interests kama zake. vinginevyo wewe kama ni wa kwenye bar, usitegemee msichana wa kanisani, kwa sababu mtakuwa na complicated couple life ambayo haitadumu.

By the way Zinduna, ujua mapenzi si pesa na yanadumu sana kama wahusika watakuwa na uwezo wa ku complement each other without complications.








1. Anakupigia simu mara kwa mara kukujulia hali: Anakupigia simu asubuhi kukujulia hali kama umeamkaje, mchanaatakupigia simu kujua umeshindaje na kama umeshakula chakula cha mchana, midamida ya kati kati ataku check kwa SMS kujua kama uko sawa na usiku atakupigiasimu na kupeana stori mbili tatu kisha atakutakia usimu mwema….

2. Hataki mkutane kimwili kabla ya ndoa nahuenda akawa hajawahi kuwa na uhusiano na mwanamke tangu azaliwe:Mwanaume mwenye sifa hii mara nyingi hutawaliwana aibu, swala la kukutana kimwili halipo katika mawazo yake hata kama muwewawili tu mmejifungia chumbani wala hanamihemko ya ngono, kwake yeye ni kupiga soga na kisha anaondoka zake kurudikwake. Ndoto yake ni kusubiri hadi mfunge ndoa.

3.
Ana mazoea ya kukununulia zawadi au kukupa fedha za matumizi mara kwa mara: Hivi ndivyo wasichana wengi wanavyopendawatendewe na wapenzi wao, kununuliwa zawadi, kupewa fedha za matumizi nakununuliwa muda wa maongezi kwenye simu, yaani kila akikutana na mpenzi wakeanamwaga pesa, yaani ni pesa pesa pesa hata huwazi kuhusu chochote maana mwanaume yupo kuhakikisha unapata kilakitu. Huyu ndiye husband material haswa

4
Hanywi pombe wala havuti sigara:Mwanaume wa aina hii huwavutia wasichana wengi, yaani hajui ladha ya pombe walasigara. Jamani tuacheni utani mwanaume anayekunywa pombe na kuvuta sigara hanamvuto maana hata kiss unajishauri kwa jinsi harufu ya kinywa isivyo rafiki wakupigana kiss, unaweza hata kutapika.

5.
Siyo mtu wa kwenda Klabu wala kujirusha kwenye matamasha ya usiku (Party): Mwanaume hatulii kila siku analala usikuwa manane kwa sababu ya kupenda kujirusha, inawezekana hanywi pombe wala havutisigara, lakini kwa kujirusha ndiyo hobby yake, huyu hafai. Ukimpata mwanaumeambaye kila akitoka kazini ni nyumbani na hata kama ni kutoka anakuwa anakwendakutembelea marafiki zake waliooa au ndugu zake na kurudi nyumbani mapema, yaanikampani yake ni watu wazima wenye kuwajibika sawa sawa kwa familia. Huyu nimwanaume wa kufaa kuolewa naye

6.
Awe anakumbuka Birthday yako: Yaani mtu wa kwanza kukuamsha alfajiri na kukuambia Happy Birthday anakuwa niyeye na baadaye anakushangaza na zawadi na sherehe ndogo inayowajumuishamarafiki zako. Yaani hasahau siku yako ya kuzaliwa, na kila mwaka anabadilishanamna ya kukushangaza tarehe ya siku yako ya kuzaliwa ikifika. Jambo hilihuwapa raha sana wasichana wa siku hizi….

7.
Ni mtu mwenye hofu ya Mungu:kama ni Mkristo yaani yeye na kanisa kanisa na yeye na anashiriki kwenye kamatimbalimbali za kanisa na anakuwa na majukumu makubwa katika kanisa na kama niMuislamu hivyo hivyo, anakuwa mtu wa hamsa swallati na mshiriki mkubwa katikashughuli za msikitini kwa kujitolea

8.
Unaweza kukisia wakati wowote kwamba yuko wapi na anafanya nini na ukawa hujakosea: Anaweza akawanyumbani, kazini, kanisani akihudhuria masomo ya biblia au msikitini akijisomeaQuran au yuko kwa rafiki yake au ndugu yake waliyeshibana na ukawa hujakosea.

9.
Anapenda sana kusoma:Mwanaume mwenye kupenda kujisomea vitabu mbalimbali vya maarifa na kufuatiliahabari mbalimbali kuhusu kinachoendelea duniani kuanzia mtandaoni hadi kwenye TV, yaaniukifika kwake unakutana na Big flat screen na bookshelf kubwa limeshehenivitabu vya maarifa ya kila aina. Mwanaume wa aina hii atakuwa na uelewa mpanasana na utambuzi wa hali ya juu, huyu atakuwa ni mtu wa kuyachukulia mambo kwaumakini wa hali ya juu na hadhari kubwa, ni mtu wa kufanya maamuzi bila kukurupuka,huyu naye ni husband material

10.Mpole na mnyenyekevu: Yaani unakutana na mwanaume mpole namnyenyekevu hadi raha, akiongea anakuwa kama vile hataki, lakini kuna wakatianakuwa na masihara na utani unaokufanya ujisikie furaha kuwa naye wakati wote.Masihara na utani wake unakuwa umebeba ujumbe wenye hekima na busara kiasikwamba kila unapokuwa naye unajikuta umejifunza kitu kipya.

11.Mpenda watoto: Hii sifa ilitakiwa iwe ni namba moja sema tu nimeghafilika, kwakweli mwanaume hawezi kuwa na sifa za kuitwa husbanda material kama amekosa hiisifa ya kupenda watoto na familia yake. Mwanaume husband materiala anatakiwaawe anajua kubadilisha mtoto nepi, kumlisha mtoto, kubembeleza mtoto akiliausiku wakati mama akiwa amelala kwa uchovu na pia awe anajua kuchagua zawadimbalimbali wanazopenda watoto, au awe na ratiba ya kuwatoa watoto kwenye mitokoyenye kuwavutia watoto kutokana na uwepowa michezo mbalimbali inayowafurahisha watoto.

12. Mwanaume anayeweza kumuua nyoka akafa: hapa simaanishi nyoka wa mdimu,namaanisha mwanaume asiyeweka visasi, mkitofautiana mnazungumza na kuyamaliza na kusahau. Huyu ni mwanaume mwenye sifa za kuitwa husband material.

Kama ikitokea mwanaume ana sifa zote hizo nilizozitaja hapo juu au angalau nusuyake basi huyo anastahili kuitwa husband material.

Hebu wanaume mjipime wenyewe kama mnazo sifa hizo.
 
Ni ngumu kumpata mwanamme kama huyu. Ukiwa unamtafuta mwanamme kama huyu basi ni sawa na kujenga magorofa hewani
 
namba nne na tano umekosea...ushaniudhi kwanza,sifa zote zilikuwa zinanihusu
 
sasa baadae akibadilika unafanyaje.....akianza kuwa mlevi....anavuta bangi siyo sigara.....na mengineyo.......
 



1. Anakupigia simu mara kwa mara kukujulia hali: Anakupigia simu asubuhi kukujulia hali kama umeamkaje, mchanaatakupigia simu kujua umeshindaje na kama umeshakula chakula cha mchana, midamida ya kati kati ataku check kwa SMS kujua kama uko sawa na usiku atakupigiasimu na kupeana stori mbili tatu kisha atakutakia usimu mwema….

2. Hataki mkutane kimwili kabla ya ndoa nahuenda akawa hajawahi kuwa na uhusiano na mwanamke tangu azaliwe:Mwanaume mwenye sifa hii mara nyingi hutawaliwana aibu, swala la kukutana kimwili halipo katika mawazo yake hata kama muwewawili tu mmejifungia chumbani wala hanamihemko ya ngono, kwake yeye ni kupiga soga na kisha anaondoka zake kurudikwake. Ndoto yake ni kusubiri hadi mfunge ndoa.

3.
Ana mazoea ya kukununulia zawadi au kukupa fedha za matumizi mara kwa mara: Hivi ndivyo wasichana wengi wanavyopendawatendewe na wapenzi wao, kununuliwa zawadi, kupewa fedha za matumizi nakununuliwa muda wa maongezi kwenye simu, yaani kila akikutana na mpenzi wakeanamwaga pesa, yaani ni pesa pesa pesa hata huwazi kuhusu chochote maana mwanaume yupo kuhakikisha unapata kilakitu. Huyu ndiye husband material haswa

4
Hanywi pombe wala havuti sigara:Mwanaume wa aina hii huwavutia wasichana wengi, yaani hajui ladha ya pombe walasigara. Jamani tuacheni utani mwanaume anayekunywa pombe na kuvuta sigara hanamvuto maana hata kiss unajishauri kwa jinsi harufu ya kinywa isivyo rafiki wakupigana kiss, unaweza hata kutapika.

5.
Siyo mtu wa kwenda Klabu wala kujirusha kwenye matamasha ya usiku (Party): Mwanaume hatulii kila siku analala usikuwa manane kwa sababu ya kupenda kujirusha, inawezekana hanywi pombe wala havutisigara, lakini kwa kujirusha ndiyo hobby yake, huyu hafai. Ukimpata mwanaumeambaye kila akitoka kazini ni nyumbani na hata kama ni kutoka anakuwa anakwendakutembelea marafiki zake waliooa au ndugu zake na kurudi nyumbani mapema, yaanikampani yake ni watu wazima wenye kuwajibika sawa sawa kwa familia. Huyu nimwanaume wa kufaa kuolewa naye

6.
Awe anakumbuka Birthday yako: Yaani mtu wa kwanza kukuamsha alfajiri na kukuambia Happy Birthday anakuwa niyeye na baadaye anakushangaza na zawadi na sherehe ndogo inayowajumuishamarafiki zako. Yaani hasahau siku yako ya kuzaliwa, na kila mwaka anabadilishanamna ya kukushangaza tarehe ya siku yako ya kuzaliwa ikifika. Jambo hilihuwapa raha sana wasichana wa siku hizi….

7.
Ni mtu mwenye hofu ya Mungu:kama ni Mkristo yaani yeye na kanisa kanisa na yeye na anashiriki kwenye kamatimbalimbali za kanisa na anakuwa na majukumu makubwa katika kanisa na kama niMuislamu hivyo hivyo, anakuwa mtu wa hamsa swallati na mshiriki mkubwa katikashughuli za msikitini kwa kujitolea

8.
Unaweza kukisia wakati wowote kwamba yuko wapi na anafanya nini na ukawa hujakosea: Anaweza akawanyumbani, kazini, kanisani akihudhuria masomo ya biblia au msikitini akijisomeaQuran au yuko kwa rafiki yake au ndugu yake waliyeshibana na ukawa hujakosea.

9.
Anapenda sana kusoma:Mwanaume mwenye kupenda kujisomea vitabu mbalimbali vya maarifa na kufuatiliahabari mbalimbali kuhusu kinachoendelea duniani kuanzia mtandaoni hadi kwenye TV, yaaniukifika kwake unakutana na Big flat screen na bookshelf kubwa limeshehenivitabu vya maarifa ya kila aina. Mwanaume wa aina hii atakuwa na uelewa mpanasana na utambuzi wa hali ya juu, huyu atakuwa ni mtu wa kuyachukulia mambo kwaumakini wa hali ya juu na hadhari kubwa, ni mtu wa kufanya maamuzi bila kukurupuka,huyu naye ni husband material

10.Mpole na mnyenyekevu: Yaani unakutana na mwanaume mpole namnyenyekevu hadi raha, akiongea anakuwa kama vile hataki, lakini kuna wakatianakuwa na masihara na utani unaokufanya ujisikie furaha kuwa naye wakati wote.Masihara na utani wake unakuwa umebeba ujumbe wenye hekima na busara kiasikwamba kila unapokuwa naye unajikuta umejifunza kitu kipya.

11.Mpenda watoto: Hii sifa ilitakiwa iwe ni namba moja sema tu nimeghafilika, kwakweli mwanaume hawezi kuwa na sifa za kuitwa husbanda material kama amekosa hiisifa ya kupenda watoto na familia yake. Mwanaume husband materiala anatakiwaawe anajua kubadilisha mtoto nepi, kumlisha mtoto, kubembeleza mtoto akiliausiku wakati mama akiwa amelala kwa uchovu na pia awe anajua kuchagua zawadimbalimbali wanazopenda watoto, au awe na ratiba ya kuwatoa watoto kwenye mitokoyenye kuwavutia watoto kutokana na uwepowa michezo mbalimbali inayowafurahisha watoto.

12. Mwanaume anayeweza kumuua nyoka akafa: hapa simaanishi nyoka wa mdimu,namaanisha mwanaume asiyeweka visasi, mkitofautiana mnazungumza na kuyamaliza na kusahau. Huyu ni mwanaume mwenye sifa za kuitwa husband material.

Kama ikitokea mwanaume ana sifa zote hizo nilizozitaja hapo juu au angalau nusuyake basi huyo anastahili kuitwa husband material.

Hebu wanaume mjipime wenyewe kama mnazo sifa hizo.

Correct!! :thumbup:
 
Zinduna, ndoa bila kumatch haipo. Ulichokiandika ni kwa mtu mwenye sifa hizo na anayependa vile.

Mwanamke vinyongo na visasi hadi diaries za miaka kumi una review. Kila likitokea jambo dogo unaanza kuorodhesha matukio unadhani hata ukimpata mwanamme mwenye kusamehe ataweza? Andika labda mvumilivu sana.

Wewe mwanamama huna time na watoto. unaacha mtoto kwa jirani unaishia kwenye vigodoro, baba anakuta watoto wananjaa kamasi hadi zimekaukia mashavuni, wamejikunyata hata wa kuwavika sweta hayupo, wanakula ukoko kwenye sufuria, halafu unataka mwanamme anayependa watoto, mtaishi kweli?

Huna hofu ya Mungu hupati mwanamme mwenye hofu ya Mungu kwa sababu atakutesa kwa matamanio yake na wewe utamtesa kwa ushetani wako na mwihso wa siku, hamtaweza.

Mwanamme asiyekunywa pombe wala kuvuta sigara hawezi kuishi na mke anayetumia. Atakuona gumegume na mwisho atasurrender kwa vile hayo si mazingira yake.

Fedha ni matokeo, anaweza asiwe na fedha za kukupa mara kwa mara lakini akakupa moyo wake. Kipi cha thamani? Kumbuka fedha zinaweza kuwa za msimu lakini kama kuna mapenzi, hakuna matata.

Unatamani mwanamme asiye party wala haendi club, basi uwe na interests kama zake. vinginevyo wewe kama ni wa kwenye bar, usitegemee msichana wa kanisani, kwa sababu mtakuwa na complicated couple life ambayo haitadumu.

By the way Zinduna, ujua mapenzi si pesa na yanadumu sana kama wahusika watakuwa na uwezo wa ku complement each other without complications.
Tabby upo sahihi, huwezi kuwa na sifa tofauti ukataraja kupata manaume mwenye sifa hizo, lazima kuwe na kitu kinachoitwa chemistry
 
Last edited by a moderator:
Haa haaa interesting...nina sifa zote tajwa hapo juu..bt till now cjapata ninayemuhitaj!!!
 
Kwani Shida ya kuoa anayo nani...we mtu nilikaaga nae 9 years...na vituko juu namfanyia lakini yeye kutwa kuleta vilio na uchuro..ooohh sikununu ataki kunioa ananichezea tu..nakuchezea umekuwa mdoli uo...eti unanipanua tu na kunimaliza utamu wote...ala kimekuwa kifutio cha penseli mpaka nkimalize....
Yaani wanaume hatuitaji mbwe mbwe ili kuoa...izo ni ndoto za linacha.
 
Back
Top Bottom