Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)

Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)

Kuna connection mkuu kati ya sender na receiver ndo maana mawasiliano yanawezekana. Kuna communication channel kati ya sender na server na communication channel kati ya server na receiver. In either channel meseji ina weza kuwa intercepted through technics kama sniffing etc. The good think ni kwamba meseji zinakuwa encrypted. Hivyo hata sniffers zinaweza zisiambulie meaning.


Ntarudi mkuu am on church atm (at this moment)!
 
Wadau,

Napenda kujuzwa kama message za whatsapp zinakuwa traced na zawezwa kuwa printed na hawa jamaa, Najua BBM haziwezi kuwa traced na kuwaprinted. lakini hizi za whatsapp ikoje?

Ahsanten

Kumbuka, mradi uko kwenye mtandao, kila ukifanyacho kwenye mtandao unaweza kuwa "traced".
 
Kama hauwezi kusoma snowden anatafutwa kwa kosa gani?
 
Last edited by a moderator:
Msitake kuwapa promo tcra, hamna kitu hiyo taasisi wanaweza, kwanza mniletee sheria za tcra kuhusu social media za nchi za nje inasemaje ndo tuende sawa. Ninachojua mimi hakuna nchi inayoweza kutrace whatsapp au Facebook zaidi ya USA ambako zipo na ndo maana baadhi ya nchi hizi social network zimekuwa banned kwa kuwa hizo nchi haziwezi kutrace moja kwa moja mawasiliano, sembuse tcra!!? Mwenye ushahidi kuwa tcra wanaweza kutrace Facebook au whatsapp alete hapa na sio siasa
 
Kuna connection mkuu kati ya sender na receiver ndo maana mawasiliano yanawezekana. Kuna communication channel kati ya sender na server na communication channel kati ya server na receiver. In either channel meseji ina weza kuwa intercepted through technics kama sniffing etc. The good think ni kwamba meseji zinakuwa encrypted. Hivyo hata sniffers zinaweza zisiambulie meaning.

Mkuu communication channel kati ya sender na Receiver hakuna kabisa !

Kwenye maelezo na link uliyotoa hapa !


Nime google na kuona kuwa mawasiliano ya whatsapp yako encrypted WhatsApp FAQ - Are my messages secure? hivyo si rahisi mtu kuyanasa.

Hiyo link inasema hivi !


WhatsApp communication between your
phone and our server
is encrypted.
Even though data sent through our app is encrypted, remember that if your phone or your friend's phone is being used by someone else, it may be possible for them to read your WhatsApp messages. Please be
aware of who has physical access to your phone.

Cheers,
WhatsApp Support Team


Na wao wameishasema hapo kwenye red bold communication kati ya simu yako(sender) na server yao ni encrypted !

Ingekuwa kama kuna communication channel kati ya Sender na Receiver wangesema pia !

WhatsApp massages

zinatumwa katika TCP packets na zinakuwa encrypted ktk RC4 Streamkeys (bits) ambazo ku decrypt ni ishu nyingine !


WhatsApp Multimedia massages (MMS)

Zinakuwa uploaded kwenye WhatsApp server kupitia HTTP
http://mmswhatsapp.net
 
Naomba ujue kuwa whatup, viber na kadhalika zote zinatumia mkongo wa taifa kwa hiyo wanaweza kuona kila kinacho flow na ndio maana wakiamua kukufungia wanaweza.
hapa tutabishana hadi kesho.... kutumia internet kutoka kwa provider flani haimaanishi provider huyo anauwezo wa kuaccess message zako unazotuma tena through net sio via namba ya simu kawaida, unajua ni bora ubishe huku una uhakika na unajua kabisa bits flow sio kuongea kwa kuhisi au kwa kua umesikia sehemu watu wanapiga story.... unavosema wanaweza kukufungia unaongelea kukufungia nini?? nipo nje muda mrefu sana whatsapp natumia namba yangu nliyokua nayo bongo hadi leo... unajua how softwares are made kweli?? hata a slight idea??

forgive my language, watu hua wanahisi naongea kwa hasira which isn't true...
 
Najua hujafanya utafiti vizuri na kama umesoma basi ni theory tu, hakuna ambacho TCRA wanashindwa wakiamua kufanya na ndio maana majasusi walioko Tanzania hawatumii minala yetu ya kawaida kupata mawasiliano.
Usiidharau Tanzania fanya ujinga utaona kuna wataalamu wengi sana sana wamesoma nje na wanapractice kila siku nchini.

Kusoma nje bna hata wengine tumesoma tena vyuo vyao wanavovisifia daily na tukatoka na perfomance nzuri tu... ila kama kitu hakipo ntasema hakipo siku zote, TCRA hawawezi kuinfect simu za watanzania wote with a virus ya kuweza kurekodi whatsapp txts... kitendo cha hao majasusi kutokutumia minara yetu ati wakiogopa kuwa traced na TCRA doesn't work that way.. na ukweli ni kwamba mitandao yetu wanaitumia sema hua wana njia ambazo ni encrypted... hacking ipo ila usidhani hata siku moja kua ni kitu chepesi kufanya ovyo-ovyo, na Tanzania ni moja ya sehemu ambazo ziko shallow sana kwenye cyber security, hilo hata tubishane hadi asubuhi, system zote wanazotumia hawajatengeneza hapa wamenunua nje
 
Msitake kuwapa promo tcra, hamna kitu hiyo taasisi wanaweza, kwanza mniletee sheria za tcra kuhusu social media za nchi za nje inasemaje ndo tuende sawa. Ninachojua mimi hakuna nchi inayoweza kutrace whatsapp au Facebook zaidi ya USA ambako zipo na ndo maana baadhi ya nchi hizi social network zimekuwa banned kwa kuwa hizo nchi haziwezi kutrace moja kwa moja mawasiliano, sembuse tcra!!? Mwenye ushahidi kuwa tcra wanaweza kutrace Facebook au whatsapp alete hapa na sio siasa



Mkuu mwenyewe najua ni hivi sasa sijui TCRA wana ubavu kuliko ujerumani ambaye ni muhanga wa hiyo makitu(udukuzi)?
 
Back
Top Bottom