snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,523
- 2,162
Kuna connection mkuu kati ya sender na receiver ndo maana mawasiliano yanawezekana. Kuna communication channel kati ya sender na server na communication channel kati ya server na receiver. In either channel meseji ina weza kuwa intercepted through technics kama sniffing etc. The good think ni kwamba meseji zinakuwa encrypted. Hivyo hata sniffers zinaweza zisiambulie meaning.
Ntarudi mkuu am on church atm (at this moment)!