Wakuu naomba kuuliza anayejua bei ya mkaa wa mawe ( coal ) unapopatikana bei zake kwa tani na taratibu za kununua tujulishane.
Nahitaji kwa ajili ya matumizi ya kiwandani.
Hivi wakuu naomba kueleweshwa nchini kenya unga ni 140ksh kama 200ksh for 2kg kabla ya kushushwa na kuwa 90ksh 1800 tsh.
Sasa swali langu nauliza wa kenya kelele ya nni sisi bongo tunanua karibia 4000tsh na tumetulia.
Sounds crazy! How on earth can one try to bribe a sitting head of state with all the instruments of power, now can this guy come out clean and tell us who wanted to bribe our president, can he be compelled to name the person, or else we will just take this as cheap politics.
Mikopo midogo hailipiki mara nyingi, pia elewa mkopo ni utumwa na zile interest zipo juu mno sababu hpo kwenye 30m ujue 5m ni interest bdo processing fee insurance na hidden costs.
Sasa mkuu jiandae ujue 35m utaitoa wpi in 12 months.
Lakini hawa wakenya si waelewi sababu sa hvi unga wa mahindi kenya ni 90ksh kwa kilo 2 sawa na 1900tsh, hvi bongo unga sh ngapi? Kweli mwanadamu haridhiki.
Hii ingekuwa fursa nzuri kwa tanzania kuwekeza zaidi kwenye kilimo, sa hvi tungekuwa tunawalisha wana afrika mashariki, shida sisi huwa hatuoni fursa achana na vi wonder piga ma laki ya ekari za mahindi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.