Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,500
- 7,104
Labda ungeingia Google search engine. Ukajalibu kuangalia taratibu za kupata mkopo mkubwa, hata mikopo midogo pia. Inaonekana ujafatilia taratibu za mikopo, uwezi kupata mkopo wa kuanzia milioni 3 na kuendelea kama una biashara ambayo ina usajili wa muda wa miezi 6 na kuendelea uwe Tin Number, leseni ya biashara, mkataba wa sehemu ya biashara [Firm]. Na biashara yako Lazima iwe na vitabu vinavyofanya Mauzo yenye faida. Au kama una EFD Mashine iwe imekaguliwa hesabu zakeWakuu habari za saivi,
Rejea mada tajwa hapo juu,
Nimekuwa nikifatilia mkopo wa bank kama mil.30 lakini nashangaa process ni nyingi sana kiasi ambacho imechukua karibia nusu mwezi (wiki mbili hivi) lakini bado mpaka saivi japo nimebakiza vitu kazaa kufanikisha issue nzima.
Niende moja moja kwa moja pointi yangu wakuu wazi kwamba bank walitaka kujua kama account yangu inamzunguko au laa, sasa nachojiuliza ni hiki mkopo wa mil.30 marejesho ya mwaka mzima na wanataka account yangu ndo iwalipe iyo mil.30 kutokana na huo mzunguko wa hiyo account (account transactions) itawalipaje na mimi nitapataje riba katika account yangu.
Pia nilitaka mnishauri wakuu nisijeingizwa mjini nibaki nawafanyia bank kazi wakuu!
Nawasilisha.
Karibuni.
Mikopo ya kuanzia laki moja mpaka milioni 2.99. Ndio unapata bila kuitaji vitu ivyo lakini uwe na account ambayo pesa inaingia na kutoka, wanaogopa kuwapa pesa watu wasio na lengo la kufanya biashara, kwa sababu utashindwa kurejesha.
Lakini kama ni muajiriwa, kampuni iliyokuajiri itakupa dhamana ya mkopo.