Hata yale makontena tuliyozuia bandarini tutawalipa ACACIA tu, huu ni ukweli mchungu ila ni ukweli

Endapo ikathibitika kulubuniwa kwa watiaji saini(mazingira ya rushwa kwa wawakilishi wa serikali) hata waende wapi kesi hawatoshinda.
Serikali inawajibika kulinda rasilimali zetu kwa niaba yetu...kwa mara ya kwanza naona uthubutu wa hili jambo toka nimezaliwa...naunga mkono juhudi hizi kwa 100%.
Hata ukirubuniwa, ukishatia sahihi umekwisha! Tatizo unadhani mikataba ya kimataifa ni sawa na talaka zenu za uswahilini, leo unatoa talaka kesho unamrudisha! Nakubaliana na jitihada za Rais Magufuli, lkn hii iwe ni kwa tahadhali ili tusije pata hasara juu ya hasara!
 
Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.

Sisi wote ni wazalendo, tena wazalendo tuliopiga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.

ACACIA hawakufanya biashara hewani, wamefanya biashara Tanzania na wamekaguliwa na vyombo huru tulivyojiundia sisi wenyewe, wao kama wao hawajawahi kutoka nje ya vyombo lukuki mliojiwekea enyi serikali ya CCM. Mna TMAA, mna CAG, mna ofisi ya AG, mna mahakama ya kibiashara na mbaya zaidi wanapitia kwenye njia zenu kupeleka mali zao huko ughaibuni.

Leo mnakurupuka kuwafungia kwa muda lakini tutalazimika kubuni vyanzo vingine vya mapato kuwaifidia kwa haya tunayofanya leo pale watakapoamua kufanya hivyo.

Uzalendo ukiambatana na mambo ya kujifariji na kuishi kwa matumaini ndani ya muda mfupi, huo sio uzalendo. Uzalendo huambatana na ukweli na suluhisho ambalo ukiliangalia tu unajua kuwa hili ni suluhisho. Badala yake sasa tunapiga tu blah blah na mbaya zaidi wanaotuchezesha zumari hili la blah blah wanaujua ukweli. Ole kwa wale wasiojua ukweli huo.

Jana rais Magufuli alichofanya ni kuwakumbusha tu watanzania kuwa Mkapa katuingiza cha kike. Akakumbushia machungu wee huku tukiuma meno kwa hasira. Lakini ni bora angesema pia hata haya makontena niliyozuia nitalazimika kulipa fidia pale itakapodaiwa. Huo ndiyo ukweli.

Narudia tena kuwa, ACACIA aki-step forward tu nitashangaa sana kama AG atatuma mawakili kwenda kutetea serikali! Kushinda kesi itakuwa ni ndoto ya mchana. Ni kweli tumepigwa kwa muda sana na sasa madini ni kama yanaishiaishia lakini kwa sasa tunayo maamuzi mawili tu (Haramu)
1) Kukubali kuendelea kupigwa kutokana na mkataba tuliosaini wenyewe.
2) Tuamue kufanya kama Mugabe (Huyu ni mwenzetu. Kamwe tusijilinganishe na kina Cuba, Ana Venezuela maana hawa wanajiweza sana kiuchumi). Na tukiamua kuishi kama Mugabe basi watakaoanza kuumia ni wale mafukara wa kutupwa. Kuumia kutaenda ngazi kwa ngazi hilo lipo wazi. Nje ya hapo tutakuwa tunapiga tu porojo.

Bahati mbaya sana yapo mavuvuzela humu ambayo tukiongea ukweli huu yanaleta kejeli na kuona kama tumenunuliwa! Lah! Acha tu muone hivyo lakini ukweli ndio huo! Hawa wamefanya biashara wakisimamiwa na vyombo lukuki vya serikali ya CCM, leo hawapaswi kamwe kulaumiwa. Na kinara anayelaumu naye alikuwa kwenye vikao halali vya baraza la mawaziri tangia mwaka 1998 hajawahi kuwa nje hata mara moja mpaka anakuwa rais. Bora hata Muhongo yeye aliyakuta ila siyo Magufuli.

Naona UVCCM wamepongeza, tofauti ni kuwa wakati Mkapa anasaini hii mikataba UVCCM ya wakati huo ilipongeza pia na kuuita uzalendo. UVCCM hiyohiyo ya enzi za Kikwete ilipongeza pia. Hawa huwa ni kazi yao kupongeza kila tukio la mkuu wao wa wakati huo. Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.

Kwa hiyo tulitakiwa tufanyeje mkuu? Tuendelee kukaa kimya au kuangalia namna ya kujinasua? Binafsi nafikiri kukaa kimya sio sahihi, ila pia ningependa kujua unachokifaham wewe kuhusu hiyo biashara, na je ACACIA wana makosa yoyote au wameonewa?
 
Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.

Sisi wote ni wazalendo, tena wazalendo tuliopiga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.

ACACIA hawakufanya biashara hewani, wamefanya biashara Tanzania na wamekaguliwa na vyombo huru tulivyojiundia sisi wenyewe, wao kama wao hawajawahi kutoka nje ya vyombo lukuki mliojiwekea enyi serikali ya CCM. Mna TMAA, mna CAG, mna ofisi ya AG, mna mahakama ya kibiashara na mbaya zaidi wanapitia kwenye njia zenu kupeleka mali zao huko ughaibuni.

Leo mnakurupuka kuwafungia kwa muda lakini tutalazimika kubuni vyanzo vingine vya mapato kuwaifidia kwa haya tunayofanya leo pale watakapoamua kufanya hivyo.

Uzalendo ukiambatana na mambo ya kujifariji na kuishi kwa matumaini ndani ya muda mfupi, huo sio uzalendo. Uzalendo huambatana na ukweli na suluhisho ambalo ukiliangalia tu unajua kuwa hili ni suluhisho. Badala yake sasa tunapiga tu blah blah na mbaya zaidi wanaotuchezesha zumari hili la blah blah wanaujua ukweli. Ole kwa wale wasiojua ukweli huo.

Jana rais Magufuli alichofanya ni kuwakumbusha tu watanzania kuwa Mkapa katuingiza cha kike. Akakumbushia machungu wee huku tukiuma meno kwa hasira. Lakini ni bora angesema pia hata haya makontena niliyozuia nitalazimika kulipa fidia pale itakapodaiwa. Huo ndiyo ukweli.

Narudia tena kuwa, ACACIA aki-step forward tu nitashangaa sana kama AG atatuma mawakili kwenda kutetea serikali! Kushinda kesi itakuwa ni ndoto ya mchana. Ni kweli tumepigwa kwa muda sana na sasa madini ni kama yanaishiaishia lakini kwa sasa tunayo maamuzi mawili tu (Haramu)
1) Kukubali kuendelea kupigwa kutokana na mkataba tuliosaini wenyewe.
2) Tuamue kufanya kama Mugabe (Huyu ni mwenzetu. Kamwe tusijilinganishe na kina Cuba, Ana Venezuela maana hawa wanajiweza sana kiuchumi). Na tukiamua kuishi kama Mugabe basi watakaoanza kuumia ni wale mafukara wa kutupwa. Kuumia kutaenda ngazi kwa ngazi hilo lipo wazi. Nje ya hapo tutakuwa tunapiga tu porojo.

Bahati mbaya sana yapo mavuvuzela humu ambayo tukiongea ukweli huu yanaleta kejeli na kuona kama tumenunuliwa! Lah! Acha tu muone hivyo lakini ukweli ndio huo! Hawa wamefanya biashara wakisimamiwa na vyombo lukuki vya serikali ya CCM, leo hawapaswi kamwe kulaumiwa. Na kinara anayelaumu naye alikuwa kwenye vikao halali vya baraza la mawaziri tangia mwaka 1998 hajawahi kuwa nje hata mara moja mpaka anakuwa rais. Bora hata Muhongo yeye aliyakuta ila siyo Magufuli.

Naona UVCCM wamepongeza, tofauti ni kuwa wakati Mkapa anasaini hii mikataba UVCCM ya wakati huo ilipongeza pia na kuuita uzalendo. UVCCM hiyohiyo ya enzi za Kikwete ilipongeza pia. Hawa huwa ni kazi yao kupongeza kila tukio la mkuu wao wa wakati huo. Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.
Hivi watu kama huyu mleta post hii wanastahili kufanyiwa nini? Je wafungwe kamba zenye mawe mazito shingoni na watupwe baharini ? Mtu anadai eti CCM ilifunga mikataba na Makampuni ya madini !!! Wapi mikataba ya Madini inasomeka CCM ? kuwepo Serikali ya CCM na mikataba kufungwa ni kumaanisha CCM imefunga mikataba? Nadiriki kusema mtu kama huyu anafaa kulawitiwa hadi afe.
 
Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.

Sisi wote ni wazalendo, tena wazalendo tuliopiga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.

ACACIA hawakufanya biashara hewani, wamefanya biashara Tanzania na wamekaguliwa na vyombo huru tulivyojiundia sisi wenyewe, wao kama wao hawajawahi kutoka nje ya vyombo lukuki mliojiwekea enyi serikali ya CCM. Mna TMAA, mna CAG, mna ofisi ya AG, mna mahakama ya kibiashara na mbaya zaidi wanapitia kwenye njia zenu kupeleka mali zao huko ughaibuni.

Leo mnakurupuka kuwafungia kwa muda lakini tutalazimika kubuni vyanzo vingine vya mapato kuwaifidia kwa haya tunayofanya leo pale watakapoamua kufanya hivyo.

Uzalendo ukiambatana na mambo ya kujifariji na kuishi kwa matumaini ndani ya muda mfupi, huo sio uzalendo. Uzalendo huambatana na ukweli na suluhisho ambalo ukiliangalia tu unajua kuwa hili ni suluhisho. Badala yake sasa tunapiga tu blah blah na mbaya zaidi wanaotuchezesha zumari hili la blah blah wanaujua ukweli. Ole kwa wale wasiojua ukweli huo.

Jana rais Magufuli alichofanya ni kuwakumbusha tu watanzania kuwa Mkapa katuingiza cha kike. Akakumbushia machungu wee huku tukiuma meno kwa hasira. Lakini ni bora angesema pia hata haya makontena niliyozuia nitalazimika kulipa fidia pale itakapodaiwa. Huo ndiyo ukweli.

Narudia tena kuwa, ACACIA aki-step forward tu nitashangaa sana kama AG atatuma mawakili kwenda kutetea serikali! Kushinda kesi itakuwa ni ndoto ya mchana. Ni kweli tumepigwa kwa muda sana na sasa madini ni kama yanaishiaishia lakini kwa sasa tunayo maamuzi mawili tu (Haramu)
1) Kukubali kuendelea kupigwa kutokana na mkataba tuliosaini wenyewe.
2) Tuamue kufanya kama Mugabe (Huyu ni mwenzetu. Kamwe tusijilinganishe na kina Cuba, Ana Venezuela maana hawa wanajiweza sana kiuchumi). Na tukiamua kuishi kama Mugabe basi watakaoanza kuumia ni wale mafukara wa kutupwa. Kuumia kutaenda ngazi kwa ngazi hilo lipo wazi. Nje ya hapo tutakuwa tunapiga tu porojo.

Bahati mbaya sana yapo mavuvuzela humu ambayo tukiongea ukweli huu yanaleta kejeli na kuona kama tumenunuliwa! Lah! Acha tu muone hivyo lakini ukweli ndio huo! Hawa wamefanya biashara wakisimamiwa na vyombo lukuki vya serikali ya CCM, leo hawapaswi kamwe kulaumiwa. Na kinara anayelaumu naye alikuwa kwenye vikao halali vya baraza la mawaziri tangia mwaka 1998 hajawahi kuwa nje hata mara moja mpaka anakuwa rais. Bora hata Muhongo yeye aliyakuta ila siyo Magufuli.

Naona UVCCM wamepongeza, tofauti ni kuwa wakati Mkapa anasaini hii mikataba UVCCM ya wakati huo ilipongeza pia na kuuita uzalendo. UVCCM hiyohiyo ya enzi za Kikwete ilipongeza pia. Hawa huwa ni kazi yao kupongeza kila tukio la mkuu wao wa wakati huo. Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.
hivi sio wewe jana niliona umekomment kwamba kwa hili unamuunga mkono Magufuli?? au ulikua hujashauriana na mume wa dada ako kwanza? mata?ko ya shanga?zi yako
 
Nchi hii kuna mamtu ni nyumbu kweli before yalikuwa yanalalamika leo ishu ipo mezani yanasema wamekurupuka, ina maana hizo tume zilizoleta report wewe umo vichwani mwao ndiyo maana mkuu akasema sitaki maswali ila yatajibiwa baada ya tume ya pili kuleta report ambayo ina wanasheria na wanauchumi
 
TEH TEH TEH KICHWA CHAKO KIMEJAA KAMASI WEWE.KWANI SISI TUMELALAMIKIA MKATABA AU ACACIA HAWALPI MRABAHA KAMA INAVYOSTAHILI?.ACHA KUKURUPUKA KWA VISHERIA VYA KUUNGA UNGA
 
Kazi yenu kupinga tu

Mnaudhi sana, Sijui mnapenda tuendelee kuibiwa

Mnajifanya wajuaji sana, Serikali inajua inachokifanya, mnaropoka utadhan hiyo mikataba mshawahi hata kuiona na kujua ugumu upo wapi

Ndio maana raisi Aliunda tume mbili, Hakukurupuka,

Na kwa staili hii 2020 HAMPITI, Wa tanzania washajua udalali wenu

Yupo wapi Zitto, Lissu ? Kelele nyiiiingi hata formula ya Gold, copper, sulphur, tin ,titanium Hamzijui, Ila ujuaji mwingiiii


Shenzi kabisa
ilipokamatwa ile meli ya "samaki wa magufuli" watanzania tulishangilia sana.
lakini hatukushangilia mahakama ilipoamuru serikali ilipe fidia ya mabilioni ya shilingi yenye thamani ya wale samaki pamoja na meli.
 
Yaani kuna watu wanavyoshabikia hii issue mpaka nahoji uraia wao
Nyoko zenu wote mnaotetea wizi wa makampuni ya madini
 
Hivi watu kama huyu mleta post hii wanastahili kufanyiwa nini? Je wafungwe kamba zenye mawe mazito shingoni na watupwe baharini ? Mtu anadai eti CCM ilifunga mikataba na Makampuni ya madini !!! Wapi mikataba ya Madini inasomeka CCM ? kuwepo Serikali ya CCM na mikataba kufungwa ni kumaanisha CCM imefunga mikataba? Nadiriki kusema mtu kama huyu anafaa kulawitiwa hadi afe.
Chuki za UVCCM pale wanapoambiwa ukweli baada ya kujiona kuwa wamesifia hewa
 
Wewe ndo ulipaswa utukanwe kama ulivyotukanwa! Pamoja na tusi ulilotoa, bado halina msaada kwa Taifa! Mtoa mada katoa hadhali halisia! Sijaona kosa lake! Ulipaswa nawe utoe mawazo yako mbadala juu ya hoja yake,kufoka na matusi ni lugha na hatua za kijinga! Ukweli ni kwamba hawa watu wanatuibia, lkn tofauti ya wezi wengine, hawa ni wezi halali! Wezi wasio na hatia! Wenye hatia ni hao waliotufikisha hapa! Kama ni matusi watukane hao! Toa maoni yatakayomsaidia Mh Rais kukabiliana na hali tofauti itakayojitokeza kwa muktadha wa mtoa mada!

Duh, what a comment, umetoa majibu mujarab. Pamoja na nia njema ya Rais, tuwe tayari pia kulipa gharama yake.

Vv
 
Nauliza tena, ivi ule mchanga usiokuwa na madini unalipiwa kodi ?
Maana huko ulaya unauzwa ghali sana kwa
1. Wafyatua matofali
2. Watengeneza bustani
3. Watengeneza barabara
4. Wakulima
5. Wafugaji

Au wanapewa buuureeee.

Wajinga ndo waliwao
 
Hivi watu kama huyu mleta post hii wanastahili kufanyiwa nini? Je wafungwe kamba zenye mawe mazito shingoni na watupwe baharini ? Mtu anadai eti CCM ilifunga mikataba na Makampuni ya madini !!! Wapi mikataba ya Madini inasomeka CCM ? kuwepo Serikali ya CCM na mikataba kufungwa ni kumaanisha CCM imefunga mikataba? Nadiriki kusema mtu kama huyu anafaa kulawitiwa hadi afe.
Mkuu, yaani umeshindwa kabisa kuelewa alichosema mtoa hoja?

Hivi ktk hili unahitaji diploma ili kuihusianisha CCM kama chama tawala ba serikali? Kws nini kinaitwa chama tawala?

Vv
 
Si ni nyinyi mlikuwa mnalalamika kuwa mikataba ni mibovu ya Madini. Mkawa mnashauri ipitiwe upya?. Sasa utaanzaje kujenga hoja ya kupitia mikataba upya wakati huna ushahidi?? Au mlikuwa mna tudhiaki sisi watanzania?? Serikali kwa sasa inakusanya ushahidi. Tulia.
Mikataba ni mibovu na haitabadilika kuwa mibovu, ccm wanajua yote haya,wanachokifanya ni siasa ya Muda mfupi na maumivu yamuda mrefu sana, mkataba mkishasaini hata kama unakuibia mradi umesaini huna haki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom