ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

Sisi watanzania wepesi sana kwenye hoja za upande mmoja. Tuwe na uvumilivu wa kusikiliza na upande wa pili.
Ni kweli tusubiri nao watasema nn Kisha tuone hukumu inasemaje? Hukumu ikiwa tunalipwa basi hapo ni ruksa kushangilia.
 
Kwenye hiyo report nimesikia tu tume iki recommend what to be done kwa our staff lakini hawajasema chochote kuusiana na makampuni ya madini kwamba wanalipa au mikataba inapotiwa upya yaani sijawapata wanatume
Mikataba kupitiwa upya maana yake uwabembeleze Wao au kuna Ushauri wa Lisu wautumie sema ni hatari sana make na wawekezaji wengine hata wa viwanda vya mwendo kasi wanaweza kula kona
 
Issue sio woga, issue ni kuwa makini kwenye masula yanayohusu mikataba. Mikataba ukiifrustrate tu. Basi madhara yake huwa makubwa sana. Jana tu. Baada ya dr. Presida kutangazia dunia taarifa ya hiyo report, share za acacia zimeshuka kinoma kwenye Soko la hisa la London. Nani atakayekuja kuwa- compesate ikija gundulika kuwa tuliyotangazia dunia hayakuwa sahii? Au ndio yatakuwa Yale ya zile samaki? Tunesema na tunaendela kusema, tusipojali utawala wa Sheria kufanya mambo ya MSINGI kama hayo, tunajitafutia umaskini wa bure. Na nikuta kutumia fedha za walipakodi katika kulipia fidia zisizo za msingi

Kampuni ni ya wazungu wewe Unafikiria wangefanyaje kama siyo kushusha bei za Hisa!?

Nasi tunawakamatia kwenye kuidanganya serikali, hadi rais na nchi nzima kuwa mchanga hauna thamani yoyote.

Yaani, ni poyoyo na. Mzandiki ndiye atakubaliana na huo upuuzi wa hao wazungu koko na wazungu pori.

Lazima tujiweke vizuri katika hili Kama nchi na tuwe pamoja kutetea nchi na Mali zake.

Pasipo kujali vyama vyetu vya siasa, dini na elimu.
 
Kwahiyo wewe unarelay kwa nani...haya mambo hayahitaji ukurupukaji...hii mikataba imekuwepo for over 15 years ,mh.alihitaji muda wa kutosha kujilidhisha..kunamahali nmesema,mh.raising kabla ya kusomewa huyo report kwa mbwebwe zote alitakiwa kujifungia chumbani na kuichambua,aombe mikataba ya hao mabwana ajilidhishe,ofcoz today his excellence has made almost everytanzanian happy but I ensure you the consequence of this happiness will be upon our heads sooner or later!!
Mkuu umeongea ukweli mtupu, Hii ushangiliaji ipo siku tutarudi humu kulaumu hata Tume yenyewe.
 
Inawezekana kabisa ACACIA walidanganya kwenye kiasi wanachosafirisha na wawezekezaji wametudanganya kwa muda mrefu, kwa hilo hatua stahiki zichukuliwe. Nimejiuliza maswali yafuatayo.
1. Mchanga ni mali ya nani? mchimbaji anapaswa kulipa 4% tu ya mauzo!
2. Je kilichotajwa jana hiyo ndo thamani baada ya extraction?, baada ya kutoa gharama zote? na kama ni kweli je hizo zote ni pesa za serikali au tunapaswa kulipwa kiasi tukichokubaliana kwenye mkataba? ambacho nadhani ni 4% tu?.
3. Mikataba inasemaje? tunapaswa kulipwa kwa madini yenye commercial value tu, na yale ambayo thamani yake ni ndogo kuliko gharama ya extraction nayo tunayadai?
Ni mawazo na fikra zangu tu. Tuwe makini ili isije ikatusumbua mbele ya safari. Kila la kheri JPM na Mungu ibariki Tanzania.
 
Kesi ya madai ya kiuwekezaji zinaenda wapi? au unadhani zinaenda kisutu au mahakama kuu pale sokoine? Kweli usililijua litakusumbua zumbukuku
Mkuu kuna mahakama ya ushuhurishi ila sio ICC, ICC ni criminal court tu. Haidili na biashara mkuu. Hii ya mambo ya biashara ni tofauti kabisa
 
Hivi, una uhakika au unabahatisha!?

Unajua kweli unachokiandika!?
Yes,ninajua!Mchanga unaosafirishwa huingizia kampuni Trilion 1-1.8 kwa mwaka!Kwa hesabu za magufuli ni kuwa ni Trilion 18 kwa mwaka!Kama ndivyo basi mgodi huo unatakiwa uwe the largest gold mine in the world ukitumia takwimu,kitu ambacho sio kweli!
 
Ili iweje?yaani tuialike mijizi kwenye uchunguzi wetu?no hell no!tutakutana nao mahakamani tu!
Kwa mfano, Polisi waje kukukagua kwako wakati wewe haupo wala kiongozi yeyote yule wa eneo lako na ukaguzi huo unafanywa bila ya searching warrant halafu ghafla wanasema ndani kwako wamekuta maiti ya mtu, silaha za moto, na vitu vingine Vinci visivyo halali. Hata kama ni kweli ila kwa jinsi zoezi likivyoendeshwa kamwe hauwezi kuingia hatiani kwa ushahidi uliopatikana kwa namna hii.
Raised anapaswa kuwa makuni sana na approaches zake maana nia inaweza kuwa nzuri lakini approaches zikatugharimu pakubwa.
 
Inawezekana kabisa ACACIA walidanganya kwenye kiasi wanachosafirisha na wawezekezaji wametudanganya kwa muda mrefu, kwa hilo hatua stahiki zichukuliwe. Nimejiuliza maswali yafuatayo.
1. Mchanga ni mali ya nani? mchimbaji anapaswa kulipa 4% tu ya mauzo!
2. Je kilichotajwa jana hiyo ndo thamani baada ya extraction?, baada ya kutoa gharama zote? na kama ni kweli je hizo zote ni pesa za serikali au tunapaswa kulipwa kiasi tukichokubaliana kwenye mkataba? ambacho nadhani ni 4% tu?.
3. Mikataba inasemaje? tunapaswa kulipwa kwa madini yenye commercial value tu, na yale ambayo thamani yake ni ndogo kuliko gharama ya extraction nayo tunayadai?
Ni mawazo na fikra zangu tu. Tuwe makini ili isije ikatusumbua mbele ya safari. Kila la kheri JPM na Mungu ibariki Tanzania.
Nafikiri ni 4% tu haijalishi mwekezaji amezalisha kwa kiasi gani. Maana ht bungeni huwa naona inalalamikiwa sana, anyway ngoja waje wataalam hapa watafafanua vzr.
 
Nahisi huyo mwenyekiti wa tume ya uchunguzi ndo atapokea kiti cha uwaziri wa Nishati ya madini..nikimaliza kuota mniamshe
 
Sisi watanzania wepesi sana kwenye hoja za upande mmoja. Tuwe na uvumilivu wa kusikiliza na upande wa pili.

Wao waliisha sema, mchanga hauna thamani kubwa kiasi hicho na wakatoa thamani ndogo sana kama mbegu ya mchicha.

Sikia, mzungu koko hawezi kukusadia wewe mweusi.

Kila siku huwa nasema wazungu koko ni wanafiki sana.

Hapo pia Tunao watanzania pori Kama yule kwenye management ya Acacia yaani bure kabisa.

Wezi kabisa.

Mwaka huu ni lazima walipe hela zote walizotuibia.
 
Mie sina cha kubisha mkuu ni muda tu ndio utakaoamua ila tusije sikia mnalaumu siku mkipigwa fine huko ICSID kma IPTL na DOWANS maana serikali kwa kukurupuka hamjambo.

Tulilia humu escrow mafisadi mafisadi ooh ila mpaka leo wanalipwa mabilion kila mwezi iwe wamezalisha umeme or not!!!!! Tukifika huko nisiskie kelele tena upande wa pili
Kama serikali ingekuwa imekurupuka, isingechaguliwa tume kufanya uchunguzi, au ungechaguliwa ww kwenye tume. Wale wataalam, au mlitaka wachaguliwe wazungu kweny tume ndio mgejua serikali haijakurupuka.
 
Kujiuzulu kwa muhongo sio jibu la kupata billions of money zilizopotea, acacia and muhongo must face law. Ili pesa zetu zirudishwe. Kuvuliwa uwaziri is nothing ikiwa ana billions of money bank bado Rais hajafanya kitu.
 
Tunachojuwa wezi, tulijuwa hivi siku nyingi bila ushahidi, mie sijali hata tuwalipe, ila tumewaumbuwa, waje na style zao za kiulaya ulaya za kukanusha na nini, ila ukweli ulionekana jana, tukae chini, tuongee nao, kama yalikuwa yakifanyika hivi toka nyuma mpaka leo wameiba kiasi gani?! Hapa waongee na TZ kiutu mzima yaishe, ila wizi umejulikana.
 
Mawazo yako hayo. Wale sio wajinga kwa kiwango tunacho zania mkuu, Hawawezi kuwa Mafala kwa kiwango hicho
Inawezekana kabisa ACACIA walidanganya kwenye kiasi wanachosafirisha na wawezekezaji wametudanganya kwa muda mrefu, kwa hilo hatua stahiki zichukuliwe. Nimejiuliza maswali yafuatayo.
1. Mchanga ni mali ya nani? mchimbaji anapaswa kulipa 4% tu ya mauzo!
2. Je kilichotajwa jana hiyo ndo thamani baada ya extraction?, baada ya kutoa gharama zote? na kama ni kweli je hizo zote ni pesa za serikali au tunapaswa kulipwa kiasi tukichokubaliana kwenye mkataba? ambacho nadhani ni 4% tu?.
3. Mikataba inasemaje? tunapaswa kulipwa kwa madini yenye commercial value tu, na yale ambayo thamani yake ni ndogo kuliko gharama ya extraction nayo tunayadai?
Ni mawazo na fikra zangu tu. Tuwe makini ili isije ikatusumbua mbele ya safari. Kila la kheri JPM na Mungu ibariki Tanzania.


Wametundanganya, kama nchi, rais na serikali yote kuwa mchanga hauna thamani.

Lazima walipe hela zote walizotuibia.
 
Back
Top Bottom