Ingekuwa hivyo kirahisi basi maisha yangekuwa powa sana kijana, hebu amka ukakojoe usije ukajikojolea kitandani maana naona uko kwenye njozi nzito sana
Bata akiwa ameandaliwa kwa usafi nyama yake ni tamu sana hasa bata bikini na mauno yake, sasa ukikutana na nyama ya bata ambayo haijaandaliwa vizuri lazima utoke na shombe....nyama ya kuku tulishaizoea bana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.