Recent content by Stannis Baratheon

  1. Stannis Baratheon

    Utata, upotoshaji na ukweli unaouma kuhusu 'The Da Vinci code'

    Nitatafuta kazi za hawa jamaa na mimi nizisome aisee
  2. Stannis Baratheon

    Dada yake Kim wa Korea Kaskazini aanza kuchomoa makucha, aionya Korea Kusini uwezekano wa kichapo

    Mkuu habari ya njaa ni propaganda tu, kama watu wameweza kutengeneza nyuklia, wanatumia computer zao (wana operating system), na wana simu za kwao (smartphone) hawategemei, walipandisha satelite 2 angani kabla hata ya South Korea, n.k. Pia isisahau Pyongyang ni miongoni mwa miji 80 duniani yenye...
  3. Stannis Baratheon

    Sitosahau siku ambayo tulifika Mbeya saa saba mchana. Njia nzima nilitubu dhambi zangu

    Kipindi hicho tulikuwa tunakodisha Chaser na saa nyingine hulipati unaamua kuahirisha safafi ili gharama ya teksi isiwe kubwa kuliko nauli.. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Stannis Baratheon

    Sitosahau siku ambayo tulifika Mbeya saa saba mchana. Njia nzima nilitubu dhambi zangu

    Mkuu we siyo wa zamani, mimi enzi hizo Dar-Moro yakizidi masaa 2 tulikuwa tunalalamika sana, na kwa barabara zilivyokuwa hazina tochi na matuta mengi, ilikuwa rahisi kupiga gia na kutoboa hadi Iringa ndani ya masaa 4‐5, kutoka Iringa-Mbeya ndo barabara ilikuwa nyeupe kabisa mpaka miaka ya...
  5. Stannis Baratheon

    Sitosahau siku ambayo tulifika Mbeya saa saba mchana. Njia nzima nilitubu dhambi zangu

    Mkuu hawa jamaa walikuwa wanapiga gia si mchezo. Nakumbuka 2009 nikiwa natoka Nzega kwenda Dodoma kwenye Land Cruiser Hardtop ya ofisi bus la Allys lilitu-overtake sisi tukiwa spidi ya 140km/h. Nilikuwa na bosi wangu anaitwa Papaa, hakuamini alichokiona kwasababu Cruiser ilikuwa mpya haina hata...
  6. Stannis Baratheon

    Mazoea ya kujisomea vitabu

    Mwenye kitabu kinachoitwa "Africa's Business Revolution: How to Succeed in the Worlds Next Big Growth Market" mwandishi ni Acha Leke, et. al tuwasiliane.
  7. Stannis Baratheon

    Nini lengo la VTS na kwanini isiwe speed governor?

    Kumbuka kwa hapa TZ kuna wamiliki wanacheza dili na wanaokagua hizo system. Ndo maana hata kelele za hicho kifaa zinatofautiana kulingana na basi ulilopanda. Pia kuna mabasi ambayo yanafanya safari za nje ya nchi ambayo hayajasajiliwa TZ, yenyewe hayafungiwi hivyo vifaa na mara nying yanatembea...
  8. Stannis Baratheon

    Nini lengo la VTS na kwanini isiwe speed governor?

    Huu mfumo ni njia mojawapo ya upigaji pesa. Ingawa kinachonikera mimi ni double standards zilizopo barabarani. Sehemu ya spidi 50km/h basi linapita kwa spidi ya 80km/h na trafiki hawalikamati, lakini ukiwa na gari dogo na umeongozana na basi hilohilo we unakamatwa na unapigwa faini 30,000/=.
  9. Stannis Baratheon

    Kilichonikuta leo lodge

    Akiuona huu uzi lazima akudai hela yake..
  10. Stannis Baratheon

    Amber rutty asipokuwa makini ataenda kufungwa kiutani utani

    Tuma Dm mkuu tuone..wengine hatuna koneksheni
  11. Stannis Baratheon

    Amber rutty asipokuwa makini ataenda kufungwa kiutani utani

    Wekeni hiyo video au hata link tuone, haiwezekani video iwepo halafu haionekani
  12. Stannis Baratheon

    "Amber Ruty" anaweza kuigiza filamu za ngono

    Wakuu toeni link ya hiyo video tuone, siyo lazima uweke humu...
  13. Stannis Baratheon

    Step by step nilivyo agiza bidhaa kutoka AliExpress

    Hatua za kupata M-pesa Mastercard ni: 1. Kutengeneza kadi 2. Kunakili namba za kadi, mwezi na mwaka ambao inaisha muda wake, CCV 3. Kuweka hela 4. Kuanza kutumia kadi yako KUTENGENEZA KADI MPYA: Ingia kwemnye MENU ya Mpesa (*150*00#) Bonyeza namba 4 (Lipa kwa M-pesa) Bonyeza namba 6 (M-pesa...
  14. Stannis Baratheon

    Step by step nilivyo agiza bidhaa kutoka AliExpress

    Elimu nzuri sana hii, binafsi natumia M-pesa mastercard. Ni rahisi sana na haina usumbufu wa aina yoyote. Changamoto ya kuagiza vitu Aliexpress zipo, kwa mfano binafsi nilishatumiwa mzigo feki kama mara 2. Hivi sasa naagiza Amazon na Ebay tu baada ya hizo changamoto.
Back
Top Bottom