Habari wakuu,
Katika hali isiyo ya kawaida leo nimeenda tigo pesa kufanya muamala pesa niliokabidhiwa na mtu wangu wa karibu kama malipo ya jambo kwa mshangao mkubwa noti nilizotoa za elfu10 tatu dada wa tigo pesa akaniambia hizi fedha ni bandia na zipo nyingi kama hizi kwa Sasa nikajiuliza kweli ndugu yangu mimi naemjua anaweza kunipa ela bandia kwa hasira nikampigia simu nikihamaki ila mara mbili mbili nikinusa noti zina harufu ya fedha kwa hasira nikampigia mshkaji baada ya kumwambia kwa mshangao akaniambia skuizi na mimi ni mjinga ametoka ku draw pesa ATM mda sio mrefu kwahyo ATM sikuizi wanaweka fedha bandia. kiukweli sipo comfortable na hizi fedha kwa sasa mpaka nipate uhakika zaidi wa kuzitumia kwa usalama wangu.
Rai yangu kwa serikali kupitia wizara husika, Kama kweli hizi fedha ni halali nitoe wito na rai kwa serikali kupitia wizara husika naona ni vyema inabidi kabla ya kubadili kungekuwepo na utaratibu ili watumiaji wafahamu mabadiliko.
Na kama sio fedha halali basi serikali iwe makini kwenye hili maana huwezi kutofautisha kwa urahisi huu mfanano. Utofauti unaonekana kwa haraka kwenye utepe uliopita pembezoni kulia. N.B Angalia sign ya waziri&Gavana huenda there is changes.View attachment 1408165
Sent using Jamii Forums mobile app
ni wazo zuri, hii itaongeza Ukwasi kwenye mzungukoKuanzia Sasa kutakuwa na maboresho katika noti zetu hapa Tz, Kama zinavyojieleza kwenye picha.Source BOT.View attachment 1408154View attachment 1408155View attachment 1408156View attachment 1408157
Sent using Jamii Forums mobile app
Waongo hao jamaa wanapunguza pressure kwa wananchiHivi ni kipi hasa kinamfanya Corona asidandie noti wakati vitu vingine karibia vyote anaweza?
Za zamani matumizi yake yanaisha lini ili tuongeze speed ya kuzitumiaKuanzia Sasa kutakuwa na maboresho katika noti zetu hapa Tz, Kama zinavyojieleza kwenye picha.Source BOT.View attachment 1408154View attachment 1408155View attachment 1408156View attachment 1408157
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunakoelekea tutakuwa kama ZimbabweKuanzia Sasa kutakuwa na maboresho katika noti zetu hapa Tz, Kama zinavyojieleza kwenye picha.Source BOT.View attachment 1408154View attachment 1408155View attachment 1408156View attachment 1408157
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii fake. Hizo marks zinaanzia usawa na neno benki kuu ya Tanzania na huku chini zinaishia kwenye neno ELFU yako imeshuka hadi imefunika 0 ya 10,000Habari wakuu,
Katika hali isiyo ya kawaida leo nimeenda tigo pesa kufanya muamala pesa niliokabidhiwa na mtu wangu wa karibu kama malipo ya jambo kwa mshangao mkubwa noti nilizotoa za elfu10 tatu dada wa tigo pesa akaniambia hizi fedha ni bandia na zipo nyingi kama hizi kwa Sasa nikajiuliza kweli ndugu yangu mimi naemjua anaweza kunipa ela bandia kwa hasira nikampigia simu nikihamaki ila mara mbili mbili nikinusa noti zina harufu ya fedha kwa hasira nikampigia mshkaji baada ya kumwambia kwa mshangao akaniambia skuizi na mimi ni mjinga ametoka ku draw pesa ATM mda sio mrefu kwahyo ATM sikuizi wanaweka fedha bandia. kiukweli sipo comfortable na hizi fedha kwa sasa mpaka nipate uhakika zaidi wa kuzitumia kwa usalama wangu.
Rai yangu kwa serikali kupitia wizara husika, Kama kweli hizi fedha ni halali nitoe wito na rai kwa serikali kupitia wizara husika naona ni vyema inabidi kabla ya kubadili kungekuwepo na utaratibu ili watumiaji wafahamu mabadiliko.
Na kama sio fedha halali basi serikali iwe makini kwenye hili maana huwezi kutofautisha kwa urahisi huu mfanano. Utofauti unaonekana kwa haraka kwenye utepe uliopita pembezoni kulia. N.B Angalia sign ya waziri&Gavana huenda there is changes.View attachment 1408165
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninazo hizi nyingi kumbe naweza kwenda kukataliwa nibaki nimetoa macho.
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Siyo wabishi, ni wajinga. Mbishi ni anayeelewa kitu. Hawa hawajaelewa kabisa halafu wanabisha
Cc: mahondaw
BOT bado wako karne ya 19?Kuanzia Sasa kutakuwa na maboresho katika noti zetu hapa Tz, Kama zinavyojieleza kwenye picha.Source BOT.View attachment 1408154View attachment 1408155View attachment 1408156View attachment 1408157
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii fake. Hizo marks zinaanzia usawa na neno benki kuu ya Tanzania na huku chini zinaishia kwenye neno ELFU yako imeshuka hadi imefunika 0 ya 10,000
Unanusa noti huogopi corona!!,watanzania tuwache mzaha na afya kwa maelezo yako hushindwi kulamba noti ili kuakikisha kama ni bandia au laah,ivi kweli noti bandia huakikishwa kwa kuinusa?NAWA MIKONO KWA MAJI TIRIRIKA NA SABUNI PIA EPUKA MIKUSANYIKO ISIYO YA LAZIMA NA TUMIA VITAKATISHA MIKONOHabari wakuu,
Katika hali isiyo ya kawaida leo nimeenda tigo pesa kufanya muamala pesa niliokabidhiwa na mtu wangu wa karibu kama malipo ya jambo kwa mshangao mkubwa noti nilizotoa za elfu10 tatu dada wa tigo pesa akaniambia hizi fedha ni bandia na zipo nyingi kama hizi kwa Sasa nikajiuliza kweli ndugu yangu mimi naemjua anaweza kunipa ela bandia kwa hasira nikampigia simu nikihamaki ila mara mbili mbili nikinusa noti zina harufu ya fedha kwa hasira nikampigia mshkaji baada ya kumwambia kwa mshangao akaniambia skuizi na mimi ni mjinga ametoka ku draw pesa ATM mda sio mrefu kwahyo ATM sikuizi wanaweka fedha bandia. kiukweli sipo comfortable na hizi fedha kwa sasa mpaka nipate uhakika zaidi wa kuzitumia kwa usalama wangu.
Rai yangu kwa serikali kupitia wizara husika, Kama kweli hizi fedha ni halali nitoe wito na rai kwa serikali kupitia wizara husika naona ni vyema inabidi kabla ya kubadili kungekuwepo na utaratibu ili watumiaji wafahamu mabadiliko.
Na kama sio fedha halali basi serikali iwe makini kwenye hili maana huwezi kutofautisha kwa urahisi huu mfanano. Utofauti unaonekana kwa haraka kwenye utepe uliopita pembezoni kulia. N.B Angalia sign ya waziri&Gavana huenda there is changes.View attachment 1408165
Sent using Jamii Forums mobile app