Nini lengo la VTS na kwanini isiwe speed governor?

Nini lengo la VTS na kwanini isiwe speed governor?

Weka Speed App kwenye simu yako kisha panda BM za Arusha na Moshi au baadhi ya Abood Bus za Moro Dar
Achana na BM bus, hizo speed zake ni habari nyingine. Akili ya binaadam huwa hailali, inawaza mapya kila siku. Wewe ukifunga kushoto, mwenzio anafikiria afanye nini ili afungue na kupitia kulia.Ila
 
Hatari sana, maana mtu natafuta usingizi siupati kero mwanzo mwisho
Hiyo ni kweli mkuu, kwenye usafiri wa mabasi mimi humalizia madeni yangu yote ya usingizi.

Maana ukijifanya kumuongelesha 'seat met', waweza jikuta upo hospitali umetundikiwa maji kwa kulishwa madawa ya kulevya!

Me najisinzilia kwa starehe zangu mwanzo mwisho wa safari, sisemi na mtu.
 
Weka Speed App kwenye simu yako kisha panda BM za Arusha na Moshi au baadhi ya Abood Bus za Moro Dar
anabisha tu kipannde cha ubena mpaka mikese speed 100 kidogo tena chuma haitembei kivile zaidi ya ving"ora tu......
 
anabisha tu kipannde cha ubena mpaka mikese speed 100 kidogo tena chuma haitembei kivile zaidi ya ving"ora tu......
Wasio safiri wanashabikia tu bila kujua, yanayoendelea na hivyo ving,amuzi vya mabasi
 
Huu mfumo ni njia mojawapo ya upigaji pesa. Ingawa kinachonikera mimi ni double standards zilizopo barabarani. Sehemu ya spidi 50km/h basi linapita kwa spidi ya 80km/h na trafiki hawalikamati, lakini ukiwa na gari dogo na umeongozana na basi hilohilo we unakamatwa na unapigwa faini 30,000/=.
 
anabisha tu kipannde cha ubena mpaka mikese speed 100 kidogo tena chuma haitembei kivile zaidi ya ving"ora tu......

Kumbuka kwa hapa TZ kuna wamiliki wanacheza dili na wanaokagua hizo system. Ndo maana hata kelele za hicho kifaa zinatofautiana kulingana na basi ulilopanda. Pia kuna mabasi ambayo yanafanya safari za nje ya nchi ambayo hayajasajiliwa TZ, yenyewe hayafungiwi hivyo vifaa na mara nying yanatembea hadi spidi 140km/h.
 
Huu mfumo ni njia mojawapo ya upigaji pesa. Ingawa kinachonikera mimi ni double standards zilizopo barabarani. Sehemu ya spidi 50km/h basi linapita kwa spidi ya 80km/h na trafiki hawalikamati, lakini ukiwa na gari dogo na umeongozana na basi hilohilo we unakamatwa na unapigwa faini 30,000/=.
Tena wanapiga haswa, na kuna uwezekano wanawekeza ughaibuni kwa kutukwibia.

Labda zile torch zinachagu magari aisee!
 
Kumbuka kwa hapa TZ kuna wamiliki wanacheza dili na wanaokagua hizo system. Ndo maana hata kelele za hicho kifaa zinatofautiana kulingana na basi ulilopanda. Pia kuna mabasi ambayo yanafanya safari za nje ya nchi ambayo hayajasajiliwa TZ, yenyewe hayafungiwi hivyo vifaa na mara nying yanatembea hadi spidi 140km/h.
Hapana mkuu hata ya nje wanayafunga, papa hajachagua namna ya kula ameamua kula kwa njia ya system, na matonge makubwa makubwa
 
Mkuu usibishe bila kuona, mie nimeona zaidi ya makampuni matatu, wala hiyo 85 haiwahusu!! Uliza usikie au safiri mikoa mbali mbali usikie
Dah kila kitu kinawezekana! Naunga mkono juhudi lakini kwani hakuna kero kubwa ya usafiri wa mabasi kama spidi ndogo.
 
Dah kila kitu kinawezekana! Naunga mkono juhudi lakini kwani hakuna kero kubwa ya usafiri wa mabasi kama spidi ndogo.
Shida sio speed ndogo bali ni mpunga mrefu kwa manufaa ya genge dogo
 
hua napanda yale mabasi ya BM ya Moro , madereva ni vichaa, ni mwendo wa kukaa kulia mpaka safari inaisha, hua wanachukua masaa 3.5 mpaka Moro wakati akina Abood mpaka masaa 6 uko
 
hua napanda yale mabasi ya BM ya Moro , madereva ni vichaa, ni mwendo wa kukaa kulia mpaka safari inaisha, hua wanachukua masaa 3.5 mpaka Moro wakati akina Abood mpaka masaa 6 uko
Hapo ndio uone eti kuna serikali ya wanyonge!!!! Bora waseme 'serikali ya wanyongwa' ingependeza zaidi
 
Hakuna basi inayoenda speed 100 labda hiyo haina VTS.
Mzee baba hujui tu. Basi zinachapa moto ule ule.

Aliyefungiwa leseni na Kangi Lugola wa Dar Lux unajua alipigwa tochi spidi ngapi?

Kiufupi ni kuwa hakuna mfumo unaweza shindana na pesa
 
Maswali muhimu sana, mamka leta majibu
Salama mkuu.

Sasa hapa hiyo nia ovu inalindwa na serikali ikifanya biashara na genge flani tu?

Ni wapi walitumia hizo VTS kukamata hao waovu kama sio kupitia kwa raia ambao hata huo mfumo hawaujui?

Kwa nini gharama iwe kubwa namna hiyo kama nia ni kulinda na kuhudumia hadhira pindi inapohitajika?

Ni wapi hiyo fine inaletwa kwa mmiliki/dereva ikiwa na nafasi ya kujitetea?
 
hua napanda yale mabasi ya BM ya Moro , madereva ni vichaa, ni mwendo wa kukaa kulia mpaka safari inaisha, hua wanachukua masaa 3.5 mpaka Moro wakati akina Abood mpaka masaa 6 uko
Mzee baba unataka kuniambia nikipanda abood kutokea ubungo saa kumi na mbili alfajiri nitafika msamvu saa sita kamili mchana? Ilhali nikipanda bm nitafika saa tatu na nusu asubuhi msamvu??
 
Back
Top Bottom