Kiwanza kinaunza
Mahali: Kinzudi
Ukubwa: 40*50m
Bei:. Milion 65 (maongez yapo)
Umeme na maji vipo hapo hapo
NB: Kuna jengo la ghorofa moja ambalo kidogo lipo chini ya kiwango, ni uamuz wako kulirekebisha au kubomoa na kuanza ujenz upya
Woga wa ZZK ni wa kupoteza Ubunge wake na vyeo alivyovipata kupitia huo ubunge kwa tiket y a chama. ZZK hang'ang'anii CHADEMA bali nafas alizozipata kupita chama. Akipotza uanachama ndo kwisha habar yake.
Mnataka afanye kazi mpaka lini. Vijana wadogo wapewe nafasi. Hata nyie mkishika nchi TBC itakuwa yenu ongezen bidii. Mtoa mada kwan ww si ulielewa alikuwa anamaanisha nini, kateleza ulimi na mawazo mengi. Na sidhan kama yeye pekee ndo mwandish anayekosea mbona wapo wengi....hali ya kibinadamu...
Tanzania ya sasa sio ya zaman tena watu wanatambua haki na wajibu wao. Wabunge wa CCM wakipitisha TUUU, CCM kwishnei wanatoa daraja la kutosha kwa wapinzan kuzid kufunua umbumbumbu wa viongoz na njama zao za kuficha ujinga wao. Au wale wenye vitambi vikubwa wanaosinzia wanataka waende na...
huo ndo ukwel maana watu wangeambiwa wajitolee baadh wafanye hyo kaz hakuna ambaye angekubali au watu walitaka ofisi ya Takwimu izunguke nyumba kwa nyumba wenyew. Watu tupendee kuongea ukwel wa haki sio ukwel wa hisia. Pongez kwa serikal japo kuna mapungufu ya hapa na pale japokuwa yote hayakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.