Hata wewe unayeandika hapa inawezekana ni mtumishi hewa. Kama inakaa nyumbani alafu Baba anakupa hela ya kula na mahali pa kulala wewe ni mtumishi hewa sema Baba yako hajakutumbua tuu
Kwa muda mrefu sasa hii kampuni inayojiita Erolink recruitment agency imekuwa ikiuza kazi kwa bei Nafuu baada ya kuzinunua kwa bei ghali. Inanunua kazi ya Vodacom customer care kwa tsh 861,000/= inaiuza kwa tsh 246,000/=. Kutokana na ugumu wa kazi basi watanzania watoto wa masikini wananunua...
Kweli huyu ndiye rais niliyemsubiri kwa miaka mingi sana. Sikuhizi yule jamaa yangu aliyekuwa anafanya kazi pale halmashauri ya manispaa ya kinondoni simuoni tena.
Yaani yeye alikuwa anatembepea maeneo mawili tu. Kwenye ATM na BAR. Anajifanya eti yuko serikalini ndo maana hafanyi kazi. Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.