- Thread starter
- #141
UKAWA hawaendeshi nchi. Tunataka wale walioshika hatamu. Tutahoji mpaka mwisho. Nchi kuendeshwa kwa matakwa ya viongozi au waamuzi wachache wakati wake umekwishwa. Hivi aliongea na wadau wa elimu juu ya hili? Halafu ni kweli kipaumbele ilikuwa ada ya sekondari?Swali hilo hilo ligeuzie kwa Ukawa utapata jibu tena sy mpaka form 4 mpaka chuo kikuu.