Nafasi za kazi Chuo kikuu kipya cha Mwalimu Nyerere-Butiama-

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,761
59,200
image.png Wadaubingieni ajira.go.tz wenye vigezo kazi hizo hapo
 
Asante sana!, mara ya kwanza sikuhudhuria. Hivi kuna haja ya kuomba tena? Ugumu wangu upo hivi: kama interview zitafanyikia Dar basi sitafika kwa mara nyingine, kama kikanda nitahudhuria. Gharama ni kubwa sana kufika dar lakini kikanda mambo poa, wana mambo ya ajabu sana. re advertised ina maana hawajui watu wengine wapo mikoani
 
Back
Top Bottom