Kwan wenye pesa wote wanaimba injili? Kaa ukijua nyimbo za injili zinalipa sana na si kweli kwamba wote waimbao injili wana pesa ndefu, vinginevyo nawe kama unataka mkwanja imba quasida nawe utatusua tu.
Labda
1. Mdomo wako unatoa harufu ambayo mwenyewe hujui
2. Labda dashboard ya mdomo wako imejaa minyasi ya ndevu.... Wengine hawapendagi midevu.
3. Demu ana akili kubwa kuliko wewe, anajitambua kwamba kwa kunyonyana ndimu munaweza kuambukizana ugonjwa hatari wa ini yaani hepatitis b.
Baada ya Dangote kuanza uzalishaji bei ya cement ilishuka hadi 11, 500. Kiwanda kimefungwa wiki mbili tu cement imepaa hadi 17, 500, utasemaje kiwanda hakina manufaa..... Think twice
Inabidi uwe na moyo wa chuma ili uwe mfuasi wa Lipumba, kwangu naona ni msaliti zaidi ya yuda iskariote, amewahi kukiri kuisaidia sisiem enzi za jk, then ameutosa ukawa ukiwa katikati ya mapambano...... Inabidi uwe na phd ya uzwazwa ili umshabikie huyo jamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.