Recent content by spooti

  1. S

    Floyd Mayweather ajitolea kugharamia mazishi ya George Floyd

    Mtoa mada inabid uwe unafanya utafit kabla ya kupost.. maiweza ametoa 80000usd around 204 million tz. Sio billion kumi bna..
  2. S

    Mkuu wa Wilaya Kisarawe kiwe ni kipimo cha Wakuu wa Wilaya na Mikoa?

    Walichonikera kwanini wameifanya kuwa ya kidato Cha tano na sita wakati watoto wa kisarawe wakiachwa nyuma na shule ipo kwao.
  3. S

    Rwanda: Msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo akutwa amejinyonga ndani ya Kituo cha Polisi

    Ajinyonge kirahis hivyo. Africa bado tunasafari ndefu ya demokrasia
  4. S

    MOSHI : Tajiri maarufu aliyekamatwa kwa issue ya bangi

    Najiuliza kwanini jina la huyo tajiri halijawekwa wazi.. lkn la mwekezaji Hadi picha magazeti wanazo ..
  5. S

    Wakuu Kuna uwekano wa kurecover document baada ya flash kukolapse

    Mada juu inajieleza naomba mnisaidie flash yangu yenye document muhimu inagoma kufunguka inadai iformatiwe. Sasa Kuna njia mbadala ya kupata nyaraka zangu muhimu
  6. S

    Vyuo vikuu kudhibitiwa kutoa cheti na stashahada ni sawa?

    Mtoa mada hujatutendea haki. Tunabak tunajadili kichwa Cha habri kweli...
  7. S

    Nahisi nimeandikiwa kushindwa(looser) hip ndio destiny yangu. Najikubali kwa hilo

    Hiyo itakusaidia Nini mkuu..na wapi nimetaja ualimu
  8. S

    Nahisi nimeandikiwa kushindwa(looser) hip ndio destiny yangu. Najikubali kwa hilo

    Jiachie tu..ila zingatia vigezo na mashart ya mods
  9. S

    Nahisi nimeandikiwa kushindwa(looser) hip ndio destiny yangu. Najikubali kwa hilo

    Etii. Lakn nimeshachoka kusubirii.. hta hivyo Ni Visa vichache tu nimeviweka hpaaa..
  10. S

    Nahisi nimeandikiwa kushindwa(looser) hip ndio destiny yangu. Najikubali kwa hilo

    Ni kijana mwenye miaka 30's hivi. Nina elimu ya uzamili. Pia Ni mfanyakaz wa serikali. Ktk maisha nimepitia vitu vingi sana pmoja ya kuwa Ni yatima nimepambna sana lakn nahis sijaandikiwa kuwa mshindi. 1. Nilivyomaliza degrii ya Kwanza tu nikaajiriwa nikaamua kujiendeleza nikapata digrii ya...
  11. S

    TCRA Msiache kuzima hizi makampuni za simu, voda ikiwemo

    Utablock namba ngapi... Namba za matangazo ni nyingi ajab
  12. S

    Hivi gari za kutoka Mwanza kwenda Mbeya zinafika saa ngapi Mbeya

    So nikianza Safar kesho uhakika kufika kabla ya jumatatu asubuho
  13. S

    Hivi gari za kutoka Mwanza kwenda Mbeya zinafika saa ngapi Mbeya

    Nataka kufika moja kwa moja.. linaingia saa ngpi
Back
Top Bottom