Nahisi nimeandikiwa kushindwa(looser) hip ndio destiny yangu. Najikubali kwa hilo

spooti

Member
Aug 11, 2018
24
27
Ni kijana mwenye miaka 30's hivi. Nina elimu ya uzamili. Pia Ni mfanyakaz wa serikali. Ktk maisha nimepitia vitu vingi sana pmoja ya kuwa Ni yatima nimepambna sana lakn nahis sijaandikiwa kuwa mshindi.

1. Nilivyomaliza degrii ya Kwanza tu nikaajiriwa nikaamua kujiendeleza nikapata digrii ya pili nikiwa na miaka 26.

2. Nikarud kazin nikapiga kazi Kuna kipindi wenzangu tuliomaliza nao walipandishwa daraja me nikaachwa kuja kuuliza wananambia kuwa nilisahulika.

3. Kuna kipindi niliomba hela ya likizo nikaweka viambatanisho vyote kuja kulipwa nikapewa hela ya kwangu tu kuuliza wakasema walisahau kuangalia viambatanisho.

4.kuna mwaka mke wangu alijifungua watoto wanne watatu wakafariki mmoja tu akabaki...( Najiuliza mbna wengine wanasurive wote kwangu vipi)

5. Nimetuma maombi mengi ya interview na kuitwa interview nyingi tu bado cjafanikiwa. Ila Kuna moja niliitwa nikapanga kwenda Hadi dkika ya mwisho nikaihairisha.. cha ajabu siku ya interview wananipigia uko wapi mbna uliomba kazi na hujafika nikashindwa kujitetea nikakata simu.

Roho iliniuma sana Kwan niliamini ulikuwa wakati was kufanikiwa lkn nikapuuzia.. nafasi zilikuwa mbili na tuliitwa wawili just imagine. Nyingine nafasi nne tumeitwa watano bado nikashindwa kutoboa.

Huwa nakaa najiuliz hivi nitafanikiwa lini... Kumbuka hiz nafasi mshahara wake Ni kuanzia 2.3m Ila nimekaa nikatafakari naona nimeandikiwa kushindwa and that is my destiny na Wala Sina mpango was kuhangaika Tena kuanzia Sasa. Ntabaki tu na ajira yangu hii ya tamisemi.

Sio Kila mtu ameandikiwa kushinda nimeamini hilo
 
Mkuu wengine tukiweka mapambano yetu yatawashangaza wengu humu cha msingi pambana hayo ndo maisha. Hayajawahi kuwa rahisi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ya kwangu Mimi yatakuwa yanajaa vitabu Volume tatu. Nikihadithia Hollywood watakuja kuchukua Series. Yaani ni kama Isidingo. Pole Kijana Life is not fair. Huwezi amino Nina degree 2 Niko tamisemi mwanangu wa diploma Yuko mamlaka Fulani ananizidi Mshahara 3/4.
 
Mkuu mbona hata mimi natamani kufika ulipofika !!!....
Natamani kupata baadhi ya vitu ulivyonavyo and yet siwezi kujiita failure kwa sababu sijafanikiwa kufika pale napopataka

Kingine usijilinganishe na watu kwa unavyowaona kwa nje. watu wana struggles ambazo ungepata nafasi ya kuzijua bhasi ungemshukuru Mungu sana. we all put on a mask just to survive bro

You have a job, wife , kid and descent life.. All other things unaweza kuzibadili kama utataka. Stop complaining and take full responsibility of your life
 
Mkuu mbona hata mimi natamani kufika ulipofika !!!....
Natamani kupata baadhi ya vitu ulivyonavyo and yet siwezi kujiita failure kwa sababu sijafanikiwa kufika pale napopataka

Kingine usijilinganishe na watu kwa unavyowaona kwa nje. watu wana struggles ambazo ungepata nafasi ya kuzijua bhasi ungemshukuru Mungu sana. we all put on a mask just to survive bro

You have a job, wife , kid and descent life.. All other things unaweza kuzibadili kama utataka. Stop complaining and take full responsibility of your life
Well said

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi niliacha kazi serikalini.
Unasoma wewe,kazi unafanya wewe kama mbwa koko,anapandishwa mwingine mshahara.Wewe unabaki na sifa tu za kusoma.

Nimefanya miaka 14 sijawahi kulipwa pesa ya likizo hata senti tano.Ukifuatilia utaambiwa fanya kazi acha majungu.

Kuna wakati unaona kabisa sio hali ya kawaida bali kuna nguvu zisizo za kawaida zilihusika.Ndio maana kwa watu kama mimi watakuwa wanashukuru sana ujio wa Rais kama Magufuli.Maana hakuna ujinga ujinga kama wa zamani watu wanaogopa kuwajibishwa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom