Nkikodolea macho pochi yako halafu nna sweat na nko kwenye daladala si utaniona kibaka!?.. mbaya zaidi kwenye dala za kwenda sinza kupitia tandale na nkashukia tandale pale mtaaani kwetu uzuri
Apeche alolo ni kufulia, asa begi la laptop unalosuggest ni 50k na ushee ama nikigalaliza kwa mm mtaalamu wa kupata best price ni 40k... What do u expect!?... Lakini sisi waganga njaa hyo tunachukua kwa 15k kariakoo tena huku kichwani tunawaza kuficha umasikini.
Wakishua hawawezi relate...
Tukitembea na bahasha mkononi pia mnatusema kuonekana jobless!
Mtu nna bahasha 10 zenye CV natembeza sehemu tofauti tofauti unataka niweke kwenye sandarusi!?..
Wenye gari hua wanaweka tu pale kiti cha kushoto documents zao au PC nk ila mi nilie apeche alolo wataka niweke wapi!?.
Hebu mtuache...
inaitwa synchronisation... The universe is trying to send u message... pia 11.11 au 1.11 ukiona namba 1 zinafatana hivo sana ni kua you are probably on a right path. katika kujitafuta kufahamu ww ni nani na lengo lako hapa duniani..
hizo hua zinaitwa angel numbers!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.