Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,453
- 42,574
Jamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni, hayo mabebi ni makubwaa sana, na yamekaa kishamba shamba hivi. Mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello, yaani unakuta mkaka mzuri, msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni, hivi mnawekaga nini humo jamani?
Itoshe kusema tu hayawapendezi, mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa kama mmetoka Mbwinde bwana.
Hata kama ni laptops tafuteni mabegi mazuri, kwanza wengine hamna hata laptops kuna makaratasi tu humo, basi tu Tanzania likizuka Jambo basi ni nongwa kama wadada na vijora.
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
Hivi siku hizi kila kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni, hayo mabebi ni makubwaa sana, na yamekaa kishamba shamba hivi. Mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello, yaani unakuta mkaka mzuri, msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni, hivi mnawekaga nini humo jamani?
Itoshe kusema tu hayawapendezi, mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa kama mmetoka Mbwinde bwana.
Hata kama ni laptops tafuteni mabegi mazuri, kwanza wengine hamna hata laptops kuna makaratasi tu humo, basi tu Tanzania likizuka Jambo basi ni nongwa kama wadada na vijora.
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa