Aaaagh nimecheka Sana, au una vyanzo vingi vya mapato?Leo asubuhi nilichukua mshahara wa mwezi wa kwanza maeneo ya Posta, huwezi kuamini mpaka saa nane nipo city garden umekwisha pyuuu niko na Kadogoo Manka katoka Rombo.
Mshahara umetoka wapi na kuelekea wapi??
Hazina kuelekea akaunti za watumishiMshahara umetoka wapi na kuelekea wapi??
Hapa nilikuwa natazama simu yangu tarehe 24 itafika lini, nitaua watanikopesha angalau robo mshahara ila Manka simuiti tena, kanakunywa hakasimami kwenda msalani kapo tu.no
Aaaagh nimecheka Sana, au una vyanzo vingi vya mapato?
Kuna waajiriwa, mshahara wao ni 20% tu ya mapato Yao ya mwezi.
Siyo mimi Kadogoo Manka, najua nitaua shangazi watanikopesha.Duh mkuu umechukua mshahara leo umemaliza leo?
😂😂Hazina kuelekea akaunti za watumishi
Watu wanaona aibu kuonekana Hengaya ndiyo anamlisha
NMB nimepata message Leo jioni saa 12,Kwa hiyo tayari tunaotumia NMB.Mshahara umetoka wapi na kuelekea wapi??
Wanaume tuna mitihaniHapa nilikuwa natazama simu yangu tarehe 24 itafika lini, nitaua watanikopesha angalau robo mshahara ila Manka simuiti tena, kanakunywa hakasimami kwenda msalani kapo tu.
Siku hizi watu mna Raha sana. Nakumbuka mwaka 1967 nikiwa darasa la sita baba alikua mwalimu huko usweken. Kulikua hakuna simu Wala Nini, mwisho wa mwezi ukifika mwalimu mmoja anatumwa kwenda wilayani kuchukua mishahara ya walimu wote. Watu walikua Ni waaminifu sana. Nakumbuka ikiwa zamu ya baba kufuata mishahara town lazima arudi na mikate na mchele.
Sio siku hizi eti kila jioni Ni wali.
Enzi zile hakuna pilau Wala biriani. Ni wali tu halafu Mimi nilikua najua wali hauliwi na kitoweo.
Tulipohamia Kisosora TANGA 1968 Niko la Saba ndio nikaanza kushangaa watu wa mjini eti hawezi kula wali hivi hivi bila samaki au nyama