Tatizo ni wachungaji wasio na wito. Akili na Mioyo yao iko kqaajili ya maslahi binafsi. Ndo maana usishangae imani za kishirikina sinazungumzwa makanisani. Kanisa lilisha ooteza mwlekeo. Nashukuru ninekulia kwenye kitovu cha kanisa hili Rungwe. I know it well. Kanisa sio viongozi Dini imebaki...
Utam wa pipi unategemea mate. Kuwa makubwa au madogo sio ishu. Kikubwa wote mnarishika? Mi napenda madogo saa6. Mwingine makubwa. Pia pia sio chakula cha kusema nimewahi onja. Kila mtu na radha yake na namna ya kuyatumia wakati wa majamboz
Yamekawaidishwa mno. Hayana madhara yamekuwa kawida. Nikama mtu anasema Vipi KICHAA WANGU, HUYU NI MCHIZI WANGU, YULE ------ NAMKUBALI SANA. ni kama hivyo. Hayana effect zaidi ya Appreciation. Na mengine mengi.
Yamekawaidishwa mno. Hayana madhara yamekuwa kawida. Nikama mtu anasema Vipi KICHAA WANGU, HUYU NI MCHIZI WANGU, YULE ------ NAMKUBALI SANA. ni kama hivyo. Hayana effect zaidi ya Appreciation.
Mh! Changaaa. Kwa dr Ulimboka wakasema amejisalimisha alie husika. Sio wageni na hizo mambo. Azungumze hazarani vyombo vya habari si vipo. Huu utamaduni wa kuwaficha waovu utisha lini? Ndo maana sisi wananchi wenye hasila tunachukua sheria mkononi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.