Pikipiki aina ya Boxer kupigwa marufuku

Pikipiki aina ya Boxer kupigwa marufuku

Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze

kwahio wahalifu wakianza kutumia KAWASAKI/YAMAHA nazo zitapigwa marufuku??!!
 
Sasa na ukifanya research na kugundua kuwa kinachosababisha uhalifu kushamiri ni roho mbaya za binadamu kuongezeka kutokana na mmomonyoko wa maadili itabidi wawatoe roho watu ili wabaki clean?
 
ha ha ha ha. Umenikumbusha mbali

Msimcheke mtoa hoja. Jeshi la polisi lilisema hivi karibuni kwamba linafikiria kuzipiga marufuku. Tena ilitangazwa kwenye habari za radio na Tv
 
Mm nimeona pale tazara katika kituo cha bus zinapopack bodaboda police wanazikamata boxer na kuzipakia ktk defenda..baada ya kuona hii thread ndo nimeelewa kinachoendelea kwan nilidhani wanakamata wamepaki vibaya..
Sasa mijitu hapa inaelezwa kilichopo kazi kukalia ubishi.
 
Wanadhani hiyo itasaidia kupunguza ujambazi? Ni uvivu wa kufikiri ni kwa namna gani wapunguze uhalifu.
 
Sinziga: Nakuunga mkono. Itafika mahari wachina watahitaji wanaume wawa***** Selikali itaruhusu.
 
Yes mtoa mada hajakurupuka nimeshamsikia kamanda kova akiongea kitu hicho kwamba boxer zinawasumbua na matukio mengi ya kihalifu ndo zinatumika kwa sasa
 
Wakuu, kama kweli wanazkamata tu boxer kwa sababu ni boxer basi nashawishika kuamini kuwa hawa jamaa wanafikiri kwa masaburi, tena aliyetoa hiyo amri akapimwe akili!
 
I say! Kumbe nikiendesha Boxer kwa mwendo wa wastani, yenyewe inakimbia sana!

nilikuwa deliverer pale tazara cgara fairdeal.boxer ni matunda ya kuchakachua mapungufu ya sanlag na wadosi wakatoka na boxer.in gia nne lakini ina nguvu kuliko sanlag ina uwezo wa kubeba mshikaki watu 3 mpaka 4 wa mwili wa wastani.mteja akiinunua anatoa buku teni tumpelekee temeke.tigo walikuwa hawaoni ndani tulikuwa tunawapoteza mbaya.NILITEGEMEA NA WAO WATANUNUA ILI KWENDA SAMBAMBA.kwa ufupi boxer ni kitu kingine.
 
Kihwa cha habari cha "MTOA MADA" hakijakaa sawa nadhani angeweka alama ya kuuliza!
 
kweli seriksli hii ni ya mabongo lala, wanaofanya uhalifu ni watu siyo boxa, kama hawataki boxa walitakiwa wawekw mikakati zisiinginzwe nchini siyo kunyang'anya mali ambazo raia wake wamezipata kihalali. Stupid...
 
nilikuwa deliverer pale tazara cgara fairdeal.boxer ni matunda ya kuchakachua mapungufu ya sanlag na wadosi wakatoka na boxer.in gia nne lakini ina nguvu kuliko sanlag ina uwezo wa kubeba mshikaki watu 3 mpaka 4 wa mwili wa wastani.mteja akiinunua anatoa buku teni tumpelekee temeke.tigo walikuwa hawaoni ndani tulikuwa tunawapoteza mbaya.NILITEGEMEA NA WAO WATANUNUA ILI KWENDA SAMBAMBA.kwa ufupi boxer ni kitu kingine.

Capacity ya engine ya boxer ni CC 150 wakati pikipiki nyingine za kichina ni CC 125 hivyo lazima ikimbie sana ila kuzipiga marufuku ni ujinga kwani zenyewe haziibi bali zinatumiwa na wezi polisi wabuni mbinu mpya kukabiliana na uhalifu waache kuchukua hatua za kijinga.
 
naanza kuamini tunao binadamu wanaofikiri kwa kutumia viungo tofauti tofauti. ngoja tusubiri huyo atakayetangaza.
 
Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze
We wa wapi????!!!
 
Capacity ya engine ya boxer ni CC 150 wakati pikipiki nyingine za kichina ni CC 125 hivyo lazima ikimbie sana ila kuzipiga marufuku ni ujinga kwani zenyewe haziibi bali zinatumiwa na wezi polisi wabuni mbinu mpya kukabiliana na uhalifu waache kuchukua hatua za kijinga.
halafu mbona pikipiki za polisi zina cc kubwa zaidi ya hizo, sioni sababu ya wao kuzikamata.
Bajaj+Boxer+100+02.jpg
 
Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze


Kwa ufupi ni kuwa kuna taarifa za kiinterijinsia kuwa kontena la pikipiki aina ya Boxer liliibwa bandarini hivyo kuna ukaguzi wa kuzikamata ili kubaini zilipopelekwa hizo zilizoibwa.Wakikukamata wakikukamata kama huna vibari vya kueleweka wanakupeleka kituoni na wahusika wanakuja kukagua namba za Engine kama ni mojawapo ya zilizoibwa kama siyo wanakuachia baada ya kuleta vielelezo vya uhalali wa umiliki.
 
Back
Top Bottom