BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
hukuvunja jungu sawasawa......?
alivunja!
ila JUNGU lake ni kubwa!
hakulimaliza.
hukuvunja jungu sawasawa......?
WIFE YUPO HUMU....! Ila sijasema kuwa kalikuwa kademu kangu, Dont quote me wrong.Mbona unazunguka zunguka mkuu? Sema wewe mwenyewe ndio ulikuwa hupati flavor na kale kademu kako!
asante kwa kunipa moyo,yan hapa nlikuwa nafikiria nianze dozi ya mchina teh teh!