je,cuf,wahariri na wabunge particularly wa ccm na watetezi wa haki za binadam nao ni wana m4c?
Hapa ndo tunakuja kuamini kuwa m4c ni chama makin,cha wanyonge,ukweli na uhakika tukiunge mkono vilivyo.
Aliyekuwa makamu mkuu wa chuo cha saut na kada wa CHADEMA Padri Kitima ,hii leo anaagwa rasmi kwa misa takatifu,na kumkaribisha mrithi wake padri Mgeni,ambae si rahisi kutabiri endapo atazika kabisa mambo ya siasa na itikadi katika chuo hicho au ataendeleza wembe ule ule .
Wakati wa utumishi wake Kitima amekuwa akiikosoa serikali katika udhaifu wake hasa katika kutatua matatizo ya Watanzania wengi.
Kitima pia atakumbukwa kwa mahubiri yake ambayo kila mara yaliikosoa serikali na kuisahau biblia,na jambo hili liliwafanya vijana wengi chuoni hapa hasa wale mashabiki wa CHADEMA kumshangilia kila mara alipoikosoa serikali.
Je!kuondoka kwake ndio mwisho wa CDM chuoni hapo?na je mrithi wake nae atakuwa ktk mlengo huohuo wa kichadema?hatujui,ila muda utasema.
labda useme anautetea UKATOLIKI na si wananchi, nani asiyemjua huyu mzee alivyo na chuki dhidi ya uislam wala hafichi.
Mi nshamaliza kutoa ujumbe hayo mengine ni yenu,mara Mwigulu,uzalendo,kuponda wala kusifia havinihusu,chadema ccm hawanihusu,ila mukusika mwenyewe alideclare kuwa chadema,sasa si kada huyo?au mlitaka niandikeje?Baadhi ya wanachadema mnaamini ubishi ndio siasa hata kama ni wa kipumbavu,sioni cha kubishania hapa zaidi ya kumuombea afya njema jamaa aendelee kupiga kazi huko aendako,au hata awe mgombea binafsi maana kwanza ni padri,acheni ulimbukeni nyie chadema mliocomment hapa mnataka tuwaandikeje ndio muone kuwa hatuna bias?Sabodo ni nani?sasa ikitokea tumuandike humu KADA tutakosea nini?acheni ulimbukeni,siyo kila mtu anaponda kama mlivyo nyie wachache na wajinga!!!Kweli jamaa alikuwa kada tena kwa mazuri,siyo kama baadhi yenu,na sisi wanachuo tunamtambua kama kada,sasa kama wewe unabisha tupe neno mbadala wa kada
Usijali tutampa cheo tu kwani serikali ijayo ya cdm ni ya kidini an yeye ni padri kwa nn tumnyime uwaziri, atapata mkuu.
Mi nshamaliza kutoa ujumbe hayo mengine ni yenu,mara Mwigulu,uzalendo,kuponda wala kusifia havinihusu,chadema ccm hawanihusu,ila mukusika mwenyewe alideclare kuwa chadema,sasa si kada huyo?au mlitaka niandikeje?Baadhi ya wanachadema mnaamini ubishi ndio siasa hata kama ni wa kipumbavu,sioni cha kubishania hapa zaidi ya kumuombea afya njema jamaa aendelee kupiga kazi huko aendako,au hata awe mgombea binafsi maana kwanza ni padri,acheni ulimbukeni nyie chadema mliocomment hapa mnataka tuwaandikeje ndio muone kuwa hatuna bias?Sabodo ni nani?sasa ikitokea tumuandike humu KADA tutakosea nini?acheni ulimbukeni,siyo kila mtu anaponda kama mlivyo nyie wachache na wajinga!!!Kweli jamaa alikuwa kada tena kwa mazuri,siyo kama baadhi yenu,na sisi wanachuo tunamtambua kama kada,sasa kama wewe unabisha tupe neno mbadala wa kada
Usijali tutampa cheo tu kwani serikali ijayo ya cdm ni ya kidini an yeye ni padri kwa nn tumnyime uwaziri, atapata mkuu.