Recent content by Southern Giant

  1. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania GSM akichekewa atakuja kumsajili hata Mo dewj

    GSM nafanya kile anachotaka
  2. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Sikufundishi uoga ila jitahidi kujiepusha na mikopo hasa yenye riba

    Chakula ulichokula leo kesho kula hikohiko umeongea point sana leo
  3. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu kanogewa kukaa kwangu. Kamaliza chuo 2020 lakini haondoki, nifanyeje?

    Mlaze sebren ili achelewe kulala na awahi kuamka fanya kama unarekebisha chumba chake ili aweze kulala sebreni kwa miezi mitatu
  4. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Hoja za Warioba zijibiwe, zisipigwe Rungu!

    Hakuna wakuzijibu watamtukana tu
  5. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    nani alikua mchezaji wa manchester
  6. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Makonda: Ndaro anaingiza milioni 17 kwa mwezi, kaajiri vijana 20

    Kodi analipia hiyo M 17 ngoja wakamkague
  7. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo cha kusambaa Kwa ushoga Tanzania?

    Malezi ndio sababu kuu hasa hawa watoto wanaolelewa na mzazi mmoja hasa wa kike unakuta mtoto wa miaka 12 aishi na mama yake chumba kimoja na hapo hapo mama yake akiwa hayupo nyumbani mtoto anasaidia kuondoa chupi za mama yake ktk kamba ili zisiloe na mvua kwa vyovyote aslimia za huyu mtoto...
  8. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Biashara hizi tatu zina mtaji wa Tsh Milioni 1; je, unanishauri nianze na ipi ambayo inaweza kunipa mafanikio?

    hapo piga biashara namba 1 ila huo mtaji wako ni mdogo
  9. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Tutaendelea kushangilia vifo vya viongozi na polisi

    Lolote liwakute
Back
Top Bottom