dah mi niko udsm hapa, bt sielewi kabisa, nimeckia mengi kuhusu mabibo hostel na niko hapa ila bedo sioni hata moja, nadhani inategemea na mtu, kuhusu gals ikiwa cool they wont bother u, bt ikishoboka nao lazma wakusumbue, unawza ishi vyovyote unavyotaka bila kuathiriwa na mazingira