Naomba msaada kwa WanaUDSM 1st year!!

Nellywizzo

New Member
Apr 27, 2012
3
0
et!hela tsh 77,400/= unaenda nayo chuon ama unadeposit kwenye account yao?thanx if you wll reply!!
 
unatakiwa ulipie kwenye a/c yao..kama sikosei itakuwepo kwenye matangazo...
 
Hii 77400 hii ni direct cost unailipa uwe una mkopo au hauna. Fees kama una 100% hulip kitu, lakini kama sio utahitajika kulipa hyo % inayobaki ili waweze kukufanyia usajili. Pia utahtajka kulipia na rum. Kwa hyo ili ufanyiwe usajili unatakiwa kulipa 77400, fees(% inayobaki), na accomodation.vingizevyo utakosa rum na chuo
 
Hii 77400 hii ni direct cost unailipa uwe una mkopo au hauna. Fees kama una 100% hulip kitu, lakini kama sio utahitajika kulipa hyo % inayobaki ili waweze kukufanyia usajili. Pia utahtajka kulipia na rum. Kwa hyo ili ufanyiwe usajili unatakiwa kulipa 77400, fees(% inayobaki), na accomodation.vingizevyo utakosa rum na chuo

kaka mfano mi nipo education. nna mkopo wa 3,172,500 je natakiwa kulipa ada kiasi gani yanu % ada yetu ni miliom moja
 
Back
Top Bottom