Recent content by sonofobia

  1. sonofobia

    Je ni kampuni gani bora za KUBET kwa sasa hapa Tanzania?

    Mambo yote au unayoona wanajitahidi
  2. sonofobia

    Je ni kampuni gani bora za KUBET kwa sasa hapa Tanzania?

    Unataka kazi? Njoo nikupe ya kuparamiwa
  3. sonofobia

    Je ni kampuni gani bora za KUBET kwa sasa hapa Tanzania?

    Naomba wawekezaji wazoefu mnisaidie kampuni bora kwa sasa ya betting Tanzania. Uniambie na sababu.
  4. sonofobia

    PostGE2025 Wema Sepetu awakejeli Gen Z: Tena mnikome panzi pori nyie. Nasikia mji upo kimyaaa

    Wema aendeleza vita yake na Gen Z ambao wanataka kuandamana. Ameonekana leo kuwakejeli baada ya maandamano kushindwa kufanyika mpaka hivi sasa kutokana na ulinzi mkali uliowekwa ili kuilinda serikali. Wema alizunguka nchi nzima kumnadi Samia.
  5. sonofobia

    PostGE2025 Hivi Maandamano yetu tuliyokuwa tukiyahubiri takribani Mwezi na Mikakati yake mingi ilikuwa ifanyike Mitaani au humu Mitandaoni?

    Unapenda sana wanaume wakupe attention. Utaandika chochote ilimradi upewe attention. Ni kama wale wanaojipanga buguruni wakiona vidume wanakatiza lazima ajishebedue ili azingatiwe
  6. sonofobia

    Matukio yanayojiri Siku ya Uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2025: Hali yaonekana kuwa shwari maeneo mengi nchini

    Kuna watu wanajiuliza watu watatoka au hawatoki?? Niwaambie tu maandamano yapo na waandamanaji wapo wengi. Mkae mkao wa kusubiri.
  7. sonofobia

    Kaka yake Polepole, Augustino Polepole ametoa saa 24 kaka yake aachiwe, kinyume na hapo atalipa kisasi

    Kaka yake Polepole huu uwe mkwala wa mwisho plz. Ushaongea sana sasa fanya vitendo.
  8. sonofobia

    Tafadhali Mwigulu: Acha Ufyatu - Kuharibu Muharibu Nyie, Kuwalaumu Muwalaumu Wale!

    “Guys guys guys... watu wamepoteza wapendwa wao, watu wamepoteza maisha yao… I'm sorry am being emotional “ Hapa Mwigulu akijaribu kuonesha serikali iliyoua awa watu anaowazungumzia ndio imeguswa sana na hivi vifo ila wanaoulizia idadi ni watu wabaya sana. Nafikiri tarehe 09 December kuna...
  9. sonofobia

    PostGE2025 Wito kwa CCM: Lukuvi ni mzoefu, Simbachawene mpole sana. Nashauri twende na Kabudi ndio aweze kuongoza Bunge

    CCM yangu watu wanawaza kugawana madaraka tu. Kuna siku mtalikimbia ilo bunge.
  10. sonofobia

    GE2025 Yaliyotushinda Gen-X hawa Gen-Z watatutoa Kimasomaso?

    Sikutarajia. Madogo wamejipanga na uhenda kesho muda kama huu tukakawa tunaandika history mpya ya taifa letu. Tanzania mpya inazaliwa.
  11. sonofobia

    Huyu ni nani anayetoa siku 3 Polepole awe ameachiwa?

    Yani una akili ndogo mpaka huruma 🥺
  12. sonofobia

    Huyu ni nani anayetoa siku 3 Polepole awe ameachiwa?

    Pole sana haichekeshi.
Back
Top Bottom