Recent content by sonofobia

  1. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Mkiongozwa na kichwa maji mambo kama haya yanakuwa ni ya kawaida.
  2. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Kwenye Soko la Ajira la Leo, Unaweza Kukataliwa Kwa Sababu Yoyote!

    Ndio maana Instagram yangu nimeweka private maana ina mabalaa.
  3. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Kwenye Soko la Ajira la Leo, Unaweza Kukataliwa Kwa Sababu Yoyote!

    Soko la ajira la siku hizi limekuwa la ajabu sana. Unaweza kuwa rejected kwa sababu yoyote isiyo na mashiko. REJECTED. Your current salary is too high — REJECTED. You're over 40 — REJECTED. You don't have enough experience — REJECTED. You have too much experience — REJECTED. Your notice...
  4. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Double standards kwenye kupigania harakati za Haki

    Leo umeandika kidogo sana huu ukomavu umeutoa wapi?
  5. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa Arusha chukueni hatua kama alivyosema Lema kuwalinda mabinti zenu na huu uselamavi unaozidi kuota mizizi Arusha

    Hatimaye Nabii Goldbess Lema amekea tabia iliyokithiri ya usela mavi kwa kina dada wa Arusha. Sisi watanzania tunakereka sana na awa kina dada.
  6. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo celebrity anayependwa zaidi duniani hana haters kabisa

    Mtoa mada. Are you in love with him?
  7. sonofobia

    JamiiForums Tanzania LNG, LPG na CNG: Tofauti Yake Ni Ipi, na Tanzania Inapaswa Kuwekeza Zaidi Kwenye Ipi?

    Meneja Wa Makampuni anasema Njooni Tujichange Twende Tanga Tujenge Kiwanda Cha Kusafisha Mafuta Ghafi (Petroleum Refinery). Mafuta tutanunua Uganda
  8. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia, Mpira na Kumbukumbu Zangu

    Wasalam, Ni kweli Maka na madina zinalindwa na makafir wa Israel na USA?
  9. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Sijamwelewa Lema, anasema anasubiri maazimio ya Kamati Kuu, iwapo hayataeleweka atalazimika kujitetea binafsi

    Kufanya harakati na mchaga ni changamoto. Siku yoyote ikiwekwa pesa anakugeuka.
  10. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Katibu CHADEMA Morogoro: Mamlaka za Chama ziingilie kati tuhuma zinazomhusisha Makamu Mwenyekiti kuhusu michango

    Hapo chadema kuna fagio lazima lipite chama kiwe kisafi. Mbowe na team yake hawatoacha muhujumu Lissu na Heche. Bado hawajamaliza mission yao na huu ni mwanzo tu.
  11. sonofobia

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Mbowe aendelee kupumzika tu hakuna aliyemmiss na vijana wake ndio wanazidi kuonesha picture yake halisi.
  12. sonofobia

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Mmawia ni kijana mtiifu wa Mbowe kama ilivyo kwa Yericko na ma ex wote wanaopambana mahakamani kuhakikisha chadema inakufa.
  13. sonofobia

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Vijana wa Mbowe bado hamjakubali chama sasa ni cha Lissu na Heche? Yericko, Mchome, Mmawia jaribuni ku-move on. Mbowe shughuli yake imeshaisha.
Back
Top Bottom