Recent content by sonofobia

  1. sonofobia

    JamiiForums Tanzania LG Oled vs Samsung Neo Qled. Ipi nzuri zaidi?

    Unamaanisha lg na samsung hazina hiyo android processor?
  2. sonofobia

    JamiiForums Tanzania LG Oled vs Samsung Neo Qled. Ipi nzuri zaidi?

    Kwa nini Samsung ?
  3. sonofobia

    JamiiForums Tanzania LG Oled vs Samsung Neo Qled. Ipi nzuri zaidi?

    Wakuu naomba mnisaidie ushauri nataka kununua TV inch 55 ya kudumu nayo muda mrefu. Sasa kati ya LG Oled android processor vs Samsung Neo Qled android processor. Ipi itanifaa zaidi na reasons kama itawezekana. Asante
  4. sonofobia

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa Sekondari na Chuo cha Ualimu Al Haramain tunapitia magumu

    Sijawai ona taasisi inayomilikiwa na bakwata na ikawa serious. Hapo unaweza kuta wanalaumu mfumo Kristo ndio unazuia wasipate hela za mishahara
  5. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Iran yasema Marekani inakubali mpango wa pointi 10 wa kukomesha vita

    Kashinda vipi na kapoteza uongozi wote na miundombinu muhimu? Acha siasa kali
  6. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Iran yasema Marekani inakubali mpango wa pointi 10 wa kukomesha vita

    God bless America! Hao waarab koko wafutike kabisa. Tubaki na waarab wapenda amani na maendeleo kina Saudia na Waemirate.
  7. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Je ni kampuni gani bora za KUBET kwa sasa hapa Tanzania?

    Mambo yote au unayoona wanajitahidi
  8. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Je ni kampuni gani bora za KUBET kwa sasa hapa Tanzania?

    Unataka kazi? Njoo nikupe ya kuparamiwa
  9. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Je ni kampuni gani bora za KUBET kwa sasa hapa Tanzania?

    Lego!
  10. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Je ni kampuni gani bora za KUBET kwa sasa hapa Tanzania?

    Naomba wawekezaji wazoefu mnisaidie kampuni bora kwa sasa ya betting Tanzania. Uniambie na sababu.
  11. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu juu ya biashara ya stationery

    Mbona haichekeshi?
  12. sonofobia

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wema Sepetu awakejeli Gen Z: Tena mnikome panzi pori nyie. Nasikia mji upo kimyaaa

    Wema aendeleza vita yake na Gen Z ambao wanataka kuandamana. Ameonekana leo kuwakejeli baada ya maandamano kushindwa kufanyika mpaka hivi sasa kutokana na ulinzi mkali uliowekwa ili kuilinda serikali. Wema alizunguka nchi nzima kumnadi Samia.
  13. sonofobia

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hivi Maandamano yetu tuliyokuwa tukiyahubiri takribani Mwezi na Mikakati yake mingi ilikuwa ifanyike Mitaani au humu Mitandaoni?

    Unapenda sana wanaume wakupe attention. Utaandika chochote ilimradi upewe attention. Ni kama wale wanaojipanga buguruni wakiona vidume wanakatiza lazima ajishebedue ili azingatiwe
  14. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Matukio yanayojiri Siku ya Uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2025: Hali yaonekana kuwa shwari maeneo mengi nchini

    Kuna watu wanajiuliza watu watatoka au hawatoki?? Niwaambie tu maandamano yapo na waandamanaji wapo wengi. Mkae mkao wa kusubiri.
  15. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Matukio yanayojiri Siku ya Uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2025: Hali yaonekana kuwa shwari maeneo mengi nchini

    Jamaa ana njaa sana kumbe 😂😂😂
Back
Top Bottom