Wema aendeleza vita yake na Gen Z ambao wanataka kuandamana.
Ameonekana leo kuwakejeli baada ya maandamano kushindwa kufanyika mpaka hivi sasa kutokana na ulinzi mkali uliowekwa ili kuilinda serikali.
Wema alizunguka nchi nzima kumnadi Samia.
“Guys guys guys... watu wamepoteza wapendwa wao, watu wamepoteza maisha yao… I'm sorry am being emotional “
Hapa Mwigulu akijaribu kuonesha serikali iliyoua awa watu anaowazungumzia ndio imeguswa sana na hivi vifo ila wanaoulizia idadi ni watu wabaya sana.
Nafikiri tarehe 09 December kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.