Nina wiki sasa siwezi access internet kutumia ruta ya airtel. Nililipia unlimited bundle 70k lakini nimetumia siku moja tu ndio nilibahatika kupata internet.niliongea nao kwa simu sikupewa majibu ya kueleweka naona uko wanaajiri watu wajinga wajinga wa kuokota wa bei chee maana ilibidi nikate...
I wish kila ulichoandika hapa kije kutokea ila ilo haliwezi tokea.
Mama ana power na yupo tayari kwa lolote ikiwezekana hata kuiingiza nchi kwenye janga zito ila abaki anatawala na aondoke safe.
Soko la ajira la siku hizi limekuwa la ajabu sana.
Unaweza kuwa rejected kwa sababu yoyote isiyo na mashiko.
REJECTED.
Your current salary is too high — REJECTED.
You're over 40 — REJECTED.
You don't have enough experience — REJECTED.
You have too much experience — REJECTED.
Your notice...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.