Je pia wameweza kutafuta na kujua mwanamke wa kwanza Tanzania Kupata PhD ya Hesabu ni nani? Ingesaidia kutoa inspiration kwa wanawake kuwa inawezekana. Yupo na wakimtafuta watamjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Refund haina shida itarudi na utaipata.
Mchangiaji anaongelea kama umeuza kitu nje ya nchi (hata ndani) halafu hela ya manunuzi ije kwa PayPal akaunt yako halafu uitoe. Nadhani hili ndio haliwezekani
Unaomba ukiwa na vigezo unapata barua chap halafu unaomba scholarship. Sio lazima uwe umeshaanza. Usikate tamaa kabla hujajaribu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kama hizo ila tofauti yake ni kuwa unaweka sehemu unayoenda na kuweka kadirio la bei (kwa uber bei inakuja yenyewe baada ya kuweke sehem uendayo).
Baada ya kuweka bei yako wewe abiria, madreva watajitokeza ambao nao wataweka bei zao (wengine zinaweza kufanana na yako au juu zaidi hata chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.