Recent content by Somoche

  1. Somoche

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha uelewa kwa viongozi wetu kiko chini sana

    Kwanza elewa kama husomi Vitabu na majarida mbalimbali huwezi kuwa na ubongo unaochemka, na watu wetu wengi ni matunda ya mifumo mibovu ya Elimu yetu ambayo inataa tu maksi sio uelewa wa mambo, kingine ni uchawa ambao mtu hata kama ni kilazq akiwa na hela au cheo anapata watu wanamshangilia kwa...
  2. Somoche

    JamiiForums Tanzania Sigrada Mligo: Kama huijui CCM unaweza sahau taabu zote

    Watakutoa Ubunge wenyewe mana walikupa tu wao wenyewe...
  3. Somoche

    JamiiForums Tanzania Kamanda mkuu wa kikosi hatari cha IRGC Mohsen Shahavand ameuawa kwenye shambulizi muda huu

    Iran wao hata kuua Mlinzi wa Nyau wameshindwa jamani???!!
  4. Somoche

    JamiiForums Tanzania Tanzania nchi ya 9 Duniani kwa wingi wa Wataalamu wa PPP, Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila

    Haya sawa kwa hiyo imepunguza kero za maji na umeme sio??
  5. Somoche

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Putini kaka ni mjinga sana Kumbe jamaa ni boflo kabisa...dhoofu asie na maaamuzi wala hajui afanye nini...zee zima miaka 4 linazunguka hapo mpaka linafata wakikuyu wakalipiganie hovyo kabisa...
  6. Somoche

    JamiiForums Tanzania Inakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana, ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi ?

    Mimi pia najiuliza hili swali bila.majibu Kama unaunda Jeshi lenye maguvu kama IRGC mana kama Ni geshi la Malawi likipelekewa moto na US na Israhell nusu saa litakua chali.... Sasa IRGC na nguvu na akili zao wanashindwa nn kulinda Viongozi wao na Wakuu wa Nchi ya Iran???
  7. Somoche

    JamiiForums Tanzania Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Sijui ulitaka Ayatola afanye nini au hata Maduro ujisalimishe uchukue mali za nchi yako ukabidhi kwa watu wengine sasa hilo ni ujinga na upuzi zaidi..Kama kufa Trump atakufa vizuri kama sisi wote shida iko wapi..Ataumiza watu kwa muda na marekani haitakua na nguvu milele ni suala la muda..
  8. Somoche

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    Most likely hawa mashetani wawili Nyau na lile zee DT yanaweza kutumia hata Nuclear Kuioiga Iran hawa sio watu ni mashetani...
  9. Somoche

    JamiiForums Tanzania Iran: Rais Masoud Pezeshkian anakusudia kujiuzulu.!!!!!!

    Mnaleta Taarifa Zenu Feki za uongo tu
  10. Somoche

    JamiiForums Tanzania Nape: Vyombo vya Dola visipojali UTU, CCM itang'oka!

    CCM ilishakufa hakuna chama pale ni muunganiko wa watu wanaoiba pamoja na kujitajirisha wao na kuandaa watoto wao ila hakuna Utu pale wala hakuna mwenye uchungu na nchi hii.
  11. Somoche

    JamiiForums Tanzania Vita ya Ukraine ni ya Kimkakati, angalia utajiri wa eneo la Donbas ambalo Putin atalichukua kwa jeshi

    Nyie endeleeni kutekana kwanza haya mambo makubwa hamyawezi kabisa....
  12. Somoche

    JamiiForums Tanzania PICHA: Huyu Ndio Tumaini na Mzalendo Namba Moja Aliyebakia Hapa Afrika ambaye hata mabeberu wanamuogopa

    Ni kweli hatutaki kutawaliwa na wazungu ila sasa hata kodi hatujui kukusanya na zinaibiwa nyingi zaidi sasa unasemaje usiwategemee???? lakini pia katika hili kosa lao ni kuwambia msiuane??? kuna haja ya kutekana kweli??? kuuana katika dunia ya leo ni ujinga mkiubwa sana....
  13. Somoche

    JamiiForums Tanzania Farouk Ahmed, CEO wa Mamlaka ya Udhibiti wa Sekta ya Mafuta ya Petroli ya Kati na ya Chini ya Nigeria ajiuzulu

    Alipewa Rushwa na wazungu akamsumbua sana Dangote kwenye issue ya vibali vya ile Refinery sasa kumbe hizo Rushwa anahamishia Uswisi na kulipa ada ya bil 10 ya TZ KWA MTOTO 1!!!!
  14. Somoche

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Tunafanya utafiti tusajili CCTV Camera ili unachokiona na sisi tukione

    Wewe jamaa badala uangalie mji hauna hata masoko wala majalala unanuka mchafu hauna maji wala mipango miji foleni kila mahala barabara mbovu uko busy na mambo ya hovyooo.... Nyie watu sijui akili zenu
Back
Top Bottom