Recent content by Somoche

  1. Somoche

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Ukisikia Mbwa kala mbwa sasa ndio hii!! Polisi amepiga Dr. Halafu na wao wanaenda huko kutibiwa.... Halafu Polisi acheni uongo hivi nyie mnavyochukiwa hivi kuna mtu anaweza kupigwa na wananchi kisa anapiga polisi?? kwenye taarifa yenu mmesema Dr alipigwa na wananchi huu ni uongo!!! ingawa siungi...
  2. Somoche

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Lissu kukutwa na kesi ya kujibu, Je Mvutano wa Mashahidi utaamuliwaje? | Majibu ya kisheria na kikatiba

    Suala la Lissu sio kesi ni genge lile lile kuendelea kuumiza watanganyika....Ingekua Majudge jama Salum Masati J. KISANGA J,Rugakingira J wangeshatupa kesi ile fake ila hawa wa sasa hawa ni wale ROSTAM Alisema simu moja tu tayari.....Kesi hii kama ilivyo ya simu itaisha kwa simu sio umahiri wa...
  3. Somoche

    JamiiForums Tanzania Suala la Nchimbi kufukuzwa CCM: Vijana msijimalize, kuna kesho!

    Watu nchi hii ni WANAFIKI BALAA....Hivi mtu kama Bashungwa anaweza kusema kosa la Nchimbi ni lipi??? au yeye na Nchimbi nani hasa mwana CCM wa kweli"
  4. Somoche

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Wakurya sio wajinga wajinga huyu lazima sio mkurya..Kwani aliemkamata Lissu ni Heche??? watu wapuuzi kiasi gani hawa??
  5. Somoche

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku : CHADEMA Wanafadhiliwa na "Mabeberu "

    Nyerere huko aliko anaona aibu sana kulea mtu kama huyu ambae amekuja kugeuka kabisa
  6. Somoche

    JamiiForums Tanzania Kumbe em yupo kizuini na amenyaqanywa cm

    Na Watanganyika wote mmezama chini ya maji mnagumia kwa mbaaali sana....Watu wamejiuzulu wengi sana mbona hatujaona wanakamatwa??? Kama kosa la EN ni hilo la Kusema Katiba ni hatari sana hii nchi... Kwa kauli ya Judge Warioba inatakiwa hawa watu wamuachie Nchimbi au wataje makosa yake maana...
  7. Somoche

    JamiiForums Tanzania Swali lisilotakiwa kuulizwa: Nani alikuwa nyuma ya Emmanuel Nchimbi?

    Watu wa hovyo ni wengi nchi hii Ndio maana mnaona kuumiza wenzenu ndio furaha yenu hilo ni suala lamuda tu..wewe tukikuuliza kosa la Nchimbi ni lipi??? utatujibu?? maana kila kitu mnakimbiza kwamba ni udini!!! hata wakoloni walikua wabaya ila sasa tuko na watu wabaya sana na sijui kama mnafahamu...
  8. Somoche

    JamiiForums Tanzania Ewe mtoto mwenye kiburi, ipo siku utatuonyesha ulikomficha Humphrey Polepole

    UMEMALIZA YOTE
  9. Somoche

    JamiiForums Tanzania ATM zimepatwa na nin?

    Mimi nimeweka hela kwenye ACC yangu ya NMB lakini hela siioni!!! kwenye account husika...
  10. Somoche

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ayub Rioba: Tumefikia hatua aliyechaguliwa kwa mujibu wa sheria watu wanamwita kiongozi haramu

    Watanzania wengi sana ni wanafiki mnooo hasimamii anachokiamini, huyu Ayub amesema sana kuhusu neno HONEST nimemsikia akilitamka mara kadhaa ila yeye mwenyewe ni MNAFIKI SANA...NDIO mana watu wanadharau sana wasomi hawa wakiwa na vyeo wanapoteza kabisa uwezo wa kuwaza wakitoka wanaanza...
  11. Somoche

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Hiyo MIlioni akupe wewe au ampe huyo mwanamke mana sasa huu ni wizi tu umuibie kijana wa watu tena bwana mdogo ana miaka 24!! umchukulie mil kisa nini>?? dogo nenda hospital achana na haya majitu maongo..
  12. Somoche

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tanzania hakuna Ugaidi, kunaweza kuwa na viashiria

    Shida kubwa ni kwamba Polisi wanasema Kuna watu kadhaa wameshitakiwa kwa vitendo vya ugaidi, kuna kesi zingine kama ile ya Lissu kwa mfano ambayo kama kweli Mahakama za Tanzania zingekua huru au enzi zile ma Judge kama Kahwa Lugakingira, Saluum Masati, Mwalusanya J, Kisanga J, wangeitupitilia...
  13. Somoche

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    Hili ni swali gumu sana kulijibu ila hasa yale mambo mabaya yaliyotokea mwaka jana na wimbi kubwa la watu kutekwa hilo halitatutoka akilini milele.....
  14. Somoche

    JamiiForums Tanzania Huenda mikakati ya CHAUMMA kwenye uombaji wa michango kwa waTanzania, ikaipiku ile ya CHADEMA pakubwa kwenye kiasi cha makusanyo ya pesa

    Hawa Majizi wamejimilikisha nchi na kuunda vikundi vingi vya ajabu ajabu hiki kinachoitwa CHAUMA ni moja ya project zao za ajabu kununua vigazeti uchwara na kushambulia mawazo yote tofauti ...wanaweza kuamua kuchukua hela za umma wakawapa hawa watu wao wakasema ni michango.. Nawahadharisha sana...
Back
Top Bottom