Ukisikia Mbwa kala mbwa sasa ndio hii!! Polisi amepiga Dr. Halafu na wao wanaenda huko kutibiwa.... Halafu Polisi acheni uongo hivi nyie mnavyochukiwa hivi kuna mtu anaweza kupigwa na wananchi kisa anapiga polisi?? kwenye taarifa yenu mmesema Dr alipigwa na wananchi huu ni uongo!!! ingawa siungi...
Suala la Lissu sio kesi ni genge lile lile kuendelea kuumiza watanganyika....Ingekua Majudge jama Salum Masati J. KISANGA J,Rugakingira J wangeshatupa kesi ile fake ila hawa wa sasa hawa ni wale ROSTAM Alisema simu moja tu tayari.....Kesi hii kama ilivyo ya simu itaisha kwa simu sio umahiri wa...
Na Watanganyika wote mmezama chini ya maji mnagumia kwa mbaaali sana....Watu wamejiuzulu wengi sana mbona hatujaona wanakamatwa???
Kama kosa la EN ni hilo la Kusema Katiba ni hatari sana hii nchi... Kwa kauli ya Judge Warioba inatakiwa hawa watu wamuachie Nchimbi au wataje makosa yake maana...
Watu wa hovyo ni wengi nchi hii Ndio maana mnaona kuumiza wenzenu ndio furaha yenu hilo ni suala lamuda tu..wewe tukikuuliza kosa la Nchimbi ni lipi??? utatujibu?? maana kila kitu mnakimbiza kwamba ni udini!!! hata wakoloni walikua wabaya ila sasa tuko na watu wabaya sana na sijui kama mnafahamu...
Watanzania wengi sana ni wanafiki mnooo hasimamii anachokiamini, huyu Ayub amesema sana kuhusu neno HONEST nimemsikia akilitamka mara kadhaa ila yeye mwenyewe ni MNAFIKI SANA...NDIO mana watu wanadharau sana wasomi hawa wakiwa na vyeo wanapoteza kabisa uwezo wa kuwaza wakitoka wanaanza...
Hiyo MIlioni akupe wewe au ampe huyo mwanamke mana sasa huu ni wizi tu umuibie kijana wa watu tena bwana mdogo ana miaka 24!! umchukulie mil kisa nini>?? dogo nenda hospital achana na haya majitu maongo..
Shida kubwa ni kwamba Polisi wanasema Kuna watu kadhaa wameshitakiwa kwa vitendo vya ugaidi, kuna kesi zingine kama ile ya Lissu kwa mfano ambayo kama kweli Mahakama za Tanzania zingekua huru au enzi zile ma Judge kama Kahwa Lugakingira, Saluum Masati, Mwalusanya J, Kisanga J, wangeitupitilia...
Hili ni swali gumu sana kulijibu ila hasa yale mambo mabaya yaliyotokea mwaka jana na wimbi kubwa la watu kutekwa hilo halitatutoka akilini milele.....
Hawa Majizi wamejimilikisha nchi na kuunda vikundi vingi vya ajabu ajabu hiki kinachoitwa CHAUMA ni moja ya project zao za ajabu kununua vigazeti uchwara na kushambulia mawazo yote tofauti ...wanaweza kuamua kuchukua hela za umma wakawapa hawa watu wao wakasema ni michango..
Nawahadharisha sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.