CCM ilishakufa hakuna chama pale ni muunganiko wa watu wanaoiba pamoja na kujitajirisha wao na kuandaa watoto wao ila hakuna Utu pale wala hakuna mwenye uchungu na nchi hii.
Ni kweli hatutaki kutawaliwa na wazungu ila sasa hata kodi hatujui kukusanya na zinaibiwa nyingi zaidi sasa unasemaje usiwategemee???? lakini pia katika hili kosa lao ni kuwambia msiuane??? kuna haja ya kutekana kweli??? kuuana katika dunia ya leo ni ujinga mkiubwa sana....
Alipewa Rushwa na wazungu akamsumbua sana Dangote kwenye issue ya vibali vya ile Refinery sasa kumbe hizo Rushwa anahamishia Uswisi na kulipa ada ya bil 10 ya TZ KWA MTOTO 1!!!!
Wewe jamaa badala uangalie mji hauna hata masoko wala majalala unanuka mchafu hauna maji wala mipango miji foleni kila mahala barabara mbovu uko busy na mambo ya hovyooo.... Nyie watu sijui akili zenu
Watu wawe wanagawana tu vyeo kama mandazi wengine wanapeana Uwaziri na hamna kazi wanafanya za kusema kweli kazi zinafanyika wengine akifa huyu anaingia huyu familia hiyo hiyo!!! wananchi wakichagua mtu wanaemtaka Polisi wanafika na mabomu piga maliza sambaratisha.....
Kwa hiyo Mkuu unataka kusema watu ambao hawaonekani wameenda Mbinguni moja kwa moja au wako wapi?? Ni nani anatakiwa kutuambia waliko??!! Mpaka mida hii tunasikia watu wanatekwa sasa unashangaa nani yuko salama???!!! Hivi unajua uchungu wa kutekewa ndguyo leave alone kuuwawa kwa risasi hata enzi...
Kwa yeyote aliemtaka Huyu jamaa NAKUSIHI USIMDHURU.USIMDHURU USIMDHURU!!!
UKIMUUA damu yake na wengine mlioteka itawalilia miaka mingi ijayo!!!
Hakika hata ukiwa na miaka 100 mtakuja kuhojiwa ni nn kilitokea na mtafungwa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.