Kwanza elewa kama husomi Vitabu na majarida mbalimbali huwezi kuwa na ubongo unaochemka, na watu wetu wengi ni matunda ya mifumo mibovu ya Elimu yetu ambayo inataa tu maksi sio uelewa wa mambo, kingine ni uchawa ambao mtu hata kama ni kilazq akiwa na hela au cheo anapata watu wanamshangilia kwa...
Putini kaka ni mjinga sana Kumbe jamaa ni boflo kabisa...dhoofu asie na maaamuzi wala hajui afanye nini...zee zima miaka 4 linazunguka hapo mpaka linafata wakikuyu wakalipiganie hovyo kabisa...
Mimi pia najiuliza hili swali bila.majibu Kama unaunda Jeshi lenye maguvu kama IRGC mana kama Ni geshi la Malawi likipelekewa moto na US na Israhell nusu saa litakua chali....
Sasa IRGC na nguvu na akili zao wanashindwa nn kulinda Viongozi wao na Wakuu wa Nchi ya Iran???
Sijui ulitaka Ayatola afanye nini au hata Maduro ujisalimishe uchukue mali za nchi yako ukabidhi kwa watu wengine sasa hilo ni ujinga na upuzi zaidi..Kama kufa Trump atakufa vizuri kama sisi wote shida iko wapi..Ataumiza watu kwa muda na marekani haitakua na nguvu milele ni suala la muda..
CCM ilishakufa hakuna chama pale ni muunganiko wa watu wanaoiba pamoja na kujitajirisha wao na kuandaa watoto wao ila hakuna Utu pale wala hakuna mwenye uchungu na nchi hii.
Ni kweli hatutaki kutawaliwa na wazungu ila sasa hata kodi hatujui kukusanya na zinaibiwa nyingi zaidi sasa unasemaje usiwategemee???? lakini pia katika hili kosa lao ni kuwambia msiuane??? kuna haja ya kutekana kweli??? kuuana katika dunia ya leo ni ujinga mkiubwa sana....
Alipewa Rushwa na wazungu akamsumbua sana Dangote kwenye issue ya vibali vya ile Refinery sasa kumbe hizo Rushwa anahamishia Uswisi na kulipa ada ya bil 10 ya TZ KWA MTOTO 1!!!!
Wewe jamaa badala uangalie mji hauna hata masoko wala majalala unanuka mchafu hauna maji wala mipango miji foleni kila mahala barabara mbovu uko busy na mambo ya hovyooo.... Nyie watu sijui akili zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.