Recent content by Somoche

  1. Somoche

    Iran: Rais Masoud Pezeshkian anakusudia kujiuzulu.!!!!!!

    Mnaleta Taarifa Zenu Feki za uongo tu
  2. Somoche

    Nape: Vyombo vya Dola visipojali UTU, CCM itang'oka!

    CCM ilishakufa hakuna chama pale ni muunganiko wa watu wanaoiba pamoja na kujitajirisha wao na kuandaa watoto wao ila hakuna Utu pale wala hakuna mwenye uchungu na nchi hii.
  3. Somoche

    Vita ya Ukraine ni ya Kimkakati, angalia utajiri wa eneo la Donbas ambalo Putin atalichukua kwa jeshi

    Nyie endeleeni kutekana kwanza haya mambo makubwa hamyawezi kabisa....
  4. Somoche

    PICHA: Huyu Ndio Tumaini na Mzalendo Namba Moja Aliyebakia Hapa Afrika ambaye hata mabeberu wanamuogopa

    Ni kweli hatutaki kutawaliwa na wazungu ila sasa hata kodi hatujui kukusanya na zinaibiwa nyingi zaidi sasa unasemaje usiwategemee???? lakini pia katika hili kosa lao ni kuwambia msiuane??? kuna haja ya kutekana kweli??? kuuana katika dunia ya leo ni ujinga mkiubwa sana....
  5. Somoche

    Farouk Ahmed, CEO wa Mamlaka ya Udhibiti wa Sekta ya Mafuta ya Petroli ya Kati na ya Chini ya Nigeria ajiuzulu

    Alipewa Rushwa na wazungu akamsumbua sana Dangote kwenye issue ya vibali vya ile Refinery sasa kumbe hizo Rushwa anahamishia Uswisi na kulipa ada ya bil 10 ya TZ KWA MTOTO 1!!!!
  6. Somoche

    RC Chalamila: Tunafanya utafiti tusajili CCTV Camera ili unachokiona na sisi tukione

    Wewe jamaa badala uangalie mji hauna hata masoko wala majalala unanuka mchafu hauna maji wala mipango miji foleni kila mahala barabara mbovu uko busy na mambo ya hovyooo.... Nyie watu sijui akili zenu
  7. Somoche

    PostGE2025 Ruvuma: Spika Mussa Zungu anataka mtoto wa Jenista Mhagama kupendekezwa Ubunge jimbo la Peramiho?

    Watu wawe wanagawana tu vyeo kama mandazi wengine wanapeana Uwaziri na hamna kazi wanafanya za kusema kweli kazi zinafanyika wengine akifa huyu anaingia huyu familia hiyo hiyo!!! wananchi wakichagua mtu wanaemtaka Polisi wanafika na mabomu piga maliza sambaratisha.....
  8. Somoche

    M23 Yakubali kujiondoa Uvira baada ya shinikizo la Marekani

    Hivi DRC JESHI LINAFANYA NINI???
  9. Somoche

    CNN na Larry wasema Wana Mamia ya Video na Audio walizozichunguza Kwa Teknolojia.Sasa Gerson Msigwa Njoo na Tamko lako CNN iziachilie zote

    Kwa hiyo Mkuu unataka kusema watu ambao hawaonekani wameenda Mbinguni moja kwa moja au wako wapi?? Ni nani anatakiwa kutuambia waliko??!! Mpaka mida hii tunasikia watu wanatekwa sasa unashangaa nani yuko salama???!!! Hivi unajua uchungu wa kutekewa ndguyo leave alone kuuwawa kwa risasi hata enzi...
  10. Somoche

    GE2025 Ni kweli maiti zimebebwa na canter. Pia nyingine zimepelekwa Twiga

    Siidhani kama hili unalosema ni kweli!!! Labda utoe ushahidi!! Yaani watu wanaweza kukosa utu kiasi hiki??!!
  11. Somoche

    GE2025 Day 5: Polisi wasema kuna wageni wameingia nchini kuchochea vurugu

    Watu wanaingia nchini na kusambaa kote huko hatukujua??!!! Walikua wangapi??? Tusiposhugulikia shida zetu na kuanza kukwepa mm naona sio sahihi.
  12. Somoche

    Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Kwa yeyote aliemtaka Huyu jamaa NAKUSIHI USIMDHURU.USIMDHURU USIMDHURU!!! UKIMUUA damu yake na wengine mlioteka itawalilia miaka mingi ijayo!!! Hakika hata ukiwa na miaka 100 mtakuja kuhojiwa ni nn kilitokea na mtafungwa..
Back
Top Bottom