Recent content by Somoche

  1. Somoche

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Hiyo MIlioni akupe wewe au ampe huyo mwanamke mana sasa huu ni wizi tu umuibie kijana wa watu tena bwana mdogo ana miaka 24!! umchukulie mil kisa nini>?? dogo nenda hospital achana na haya majitu maongo..
  2. Somoche

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tanzania hakuna Ugaidi, kunaweza kuwa na viashiria

    Shida kubwa ni kwamba Polisi wanasema Kuna watu kadhaa wameshitakiwa kwa vitendo vya ugaidi, kuna kesi zingine kama ile ya Lissu kwa mfano ambayo kama kweli Mahakama za Tanzania zingekua huru au enzi zile ma Judge kama Kahwa Lugakingira, Saluum Masati, Mwalusanya J, Kisanga J, wangeitupitilia...
  3. Somoche

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    Hili ni swali gumu sana kulijibu ila hasa yale mambo mabaya yaliyotokea mwaka jana na wimbi kubwa la watu kutekwa hilo halitatutoka akilini milele.....
  4. Somoche

    JamiiForums Tanzania Huenda mikakati ya CHAUMMA kwenye uombaji wa michango kwa waTanzania, ikaipiku ile ya CHADEMA pakubwa kwenye kiasi cha makusanyo ya pesa

    Hawa Majizi wamejimilikisha nchi na kuunda vikundi vingi vya ajabu ajabu hiki kinachoitwa CHAUMA ni moja ya project zao za ajabu kununua vigazeti uchwara na kushambulia mawazo yote tofauti ...wanaweza kuamua kuchukua hela za umma wakawapa hawa watu wao wakasema ni michango.. Nawahadharisha sana...
  5. Somoche

    JamiiForums Tanzania Ndani ya wiki 2 wanajeshi 100 wa Marekani wamejeruhiwa huku idadi kamili ikifichwa

    Hivi Wazungu kumbe kufa ni kazi sana hata kule Israel walikua wanajeruhiwa tu
  6. Somoche

    JamiiForums Tanzania AL Jazeera wanahoji kwanini Iran inashambulia nchi za Kiarabu lakini wanaogopa kuishambulia Israel na Meli za Kivita za Marekani?

    Kule Israel hata ,maji ni shida Iran iliwabonda sana sana...Ila kwa sasa Israel haishiriki hii vita na ninavyoona hata Trump anajua kuvamia Iran Kijeshi ni hatari sana wanajeshi wao watauwawa sana na kama mjuavyo Marekani ni waoga sana kufa hata ikitokea Zile nchi za kule Jirani ikawa na Nuclear...
  7. Somoche

    JamiiForums Tanzania Ego ya Rais Samia imezidi hata ya Hayati Magufuli ndiyo tatizo kubwa pamoja na rushwa

    Ukipita barabra kuu za nchi hii unajiuliza hivi kuna Serikali kweli???? Barabara zimeoza hakuna anaejali hali ni mbaya sana kwa kweli halafu kuna watu wanaendesha migari mikubwa unaambiwa uchumi unakua!!! kwa kweli tujifunze hii iwe mara ya mwisho kuongozwa na watu wa upande ule!!! huu ni...
  8. Somoche

    JamiiForums Tanzania KKKT Msikubali CCM iwageuze BAKWATA

    Malasusa ni wetu kabisa
  9. Somoche

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kiongozi mkuu mpya Alireza Arafi wa Iran ameuawa

    Huyu jamaa hajauwawa ni uongo huu...MIJITABA AMECHUKUA Maficho chini ya handaki hatoki
  10. Somoche

    JamiiForums Tanzania KKKT Msikubali CCM iwageuze BAKWATA

    TENA ukimpa Malasusa Mamlaka kama hayo ambaye anasema hakulelewa kupingana na Serikali wakati Yesu alikua anapinga Serikali enzi zake sasa unashindwa kuelewa hizi dini !! iweje Yesu alikua anafanya harakati kufundisha watu na mitume hadi akahukumiwa kuuwawa leo hii hawa wetu wanasema harakati ni...
  11. Somoche

    JamiiForums Tanzania Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Walid Omar Kawambwa atenguliwa kwa kukiuka 'misingi' ya Uongozi

    Mtu wa dini wapi wewe??? unaunda janjaweed ili uue watu halafu unasema una dini. wanawake wangapi wana shida unawaita wewe nchi hii kuwasaidia au unataka kupandia hapo mnafiki!!
  12. Somoche

    JamiiForums Tanzania Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Walid Omar Kawambwa atenguliwa kwa kukiuka 'misingi' ya Uongozi

    Kama hakua mzushi na mnafiki kama yule anaejiita mkiti wa kamati za amani lazima wangempangia njama kumtoa hizi ndio kazi za wale jamaa wanaojiita wanajua kulinda nchi kumbe wanalinda matumbo yao tu..Kuza ana mwanamke kuna ubaya gani hadi mtu atolewe uongozi? je na yeye wamemsikiliza au...
  13. Somoche

    JamiiForums Tanzania Urusi yaishambulia meli ya mizigo yenye bendera ya Tanzania. Ilikuwa inatoka Ukraine kwenda Uturuki

    Hizo Meli ni gharama sana ikipigwa kama mtu una hela za kuunga unaweza kuzimia
  14. Somoche

    JamiiForums Tanzania Sex inamdhalilisha sana mwanamke

    Unawashauri wafanyaje wakati wa tendo ili wasidharirike!!
  15. Somoche

    JamiiForums Tanzania Selasini aishauri CHADEMA kuhusu maridhiano, asema CHADEMA lazima imshirikishe Rais Samia

    Mnaridhiana kuhusu nini wewe si ulikua NCCR ulipomaliza kukiua umerejea tena kufanya biashara ya kuiua chadema wao wanasema mkiti wao aachiwe ili yeye ndie aongoze hayo maridhiano sio wewe 30 ukae na yeriko mkishapewa posho mseme mnataka maridhiano mana pia hamweleweki mara mnasema michango...
Back
Top Bottom