Hiyo MIlioni akupe wewe au ampe huyo mwanamke mana sasa huu ni wizi tu umuibie kijana wa watu tena bwana mdogo ana miaka 24!! umchukulie mil kisa nini>?? dogo nenda hospital achana na haya majitu maongo..
Shida kubwa ni kwamba Polisi wanasema Kuna watu kadhaa wameshitakiwa kwa vitendo vya ugaidi, kuna kesi zingine kama ile ya Lissu kwa mfano ambayo kama kweli Mahakama za Tanzania zingekua huru au enzi zile ma Judge kama Kahwa Lugakingira, Saluum Masati, Mwalusanya J, Kisanga J, wangeitupitilia...
Hili ni swali gumu sana kulijibu ila hasa yale mambo mabaya yaliyotokea mwaka jana na wimbi kubwa la watu kutekwa hilo halitatutoka akilini milele.....
Hawa Majizi wamejimilikisha nchi na kuunda vikundi vingi vya ajabu ajabu hiki kinachoitwa CHAUMA ni moja ya project zao za ajabu kununua vigazeti uchwara na kushambulia mawazo yote tofauti ...wanaweza kuamua kuchukua hela za umma wakawapa hawa watu wao wakasema ni michango..
Nawahadharisha sana...
Kule Israel hata ,maji ni shida Iran iliwabonda sana sana...Ila kwa sasa Israel haishiriki hii vita na ninavyoona hata Trump anajua kuvamia Iran Kijeshi ni hatari sana wanajeshi wao watauwawa sana na kama mjuavyo Marekani ni waoga sana kufa hata ikitokea Zile nchi za kule Jirani ikawa na Nuclear...
Ukipita barabra kuu za nchi hii unajiuliza hivi kuna Serikali kweli???? Barabara zimeoza hakuna anaejali hali ni mbaya sana kwa kweli halafu kuna watu wanaendesha migari mikubwa unaambiwa uchumi unakua!!! kwa kweli tujifunze hii iwe mara ya mwisho kuongozwa na watu wa upande ule!!! huu ni...
TENA ukimpa Malasusa Mamlaka kama hayo ambaye anasema hakulelewa kupingana na Serikali wakati Yesu alikua anapinga Serikali enzi zake sasa unashindwa kuelewa hizi dini !! iweje Yesu alikua anafanya harakati kufundisha watu na mitume hadi akahukumiwa kuuwawa leo hii hawa wetu wanasema harakati ni...
Mtu wa dini wapi wewe??? unaunda janjaweed ili uue watu halafu unasema una dini. wanawake wangapi wana shida unawaita wewe nchi hii kuwasaidia au unataka kupandia hapo mnafiki!!
Kama hakua mzushi na mnafiki kama yule anaejiita mkiti wa kamati za amani lazima wangempangia njama kumtoa hizi ndio kazi za wale jamaa wanaojiita wanajua kulinda nchi kumbe wanalinda matumbo yao tu..Kuza ana mwanamke kuna ubaya gani hadi mtu atolewe uongozi? je na yeye wamemsikiliza au...
Mnaridhiana kuhusu nini wewe si ulikua NCCR ulipomaliza kukiua umerejea tena kufanya biashara ya kuiua chadema wao wanasema mkiti wao aachiwe ili yeye ndie aongoze hayo maridhiano sio wewe 30 ukae na yeriko mkishapewa posho mseme mnataka maridhiano mana pia hamweleweki mara mnasema michango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.