Dah sina wivu ila kiukweli inaleta picha ya utofaut japo si sana,me pi nawafahamu kias,primary kama walivosema wadau ni levolosi primary,secondary olevel ni kifungilo,a level ni arusha sec,na chuo ni ushirika. Ktk level zote hizo cjaona rushwa yyt iliyotokea,naweza sema walikuwa ni watoto serias...