Solarpanel
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 235
- 38
habbarini naomba ufafanuzi kwa wanaojua procedure za hili fao..kwa navoelewa wameongeza muda ni kuanzia mama anapokuwa na wiki 30.. utata ni kwenye fomu zinazojazwa.kiufup naona kuna kausumbufu ili hali wanajua fika mama mjamzito hawez kuwa na stamina ya kufuatilia mambo kedekede