Recent content by SokoroDar

  1. S

    Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu

    angekuwa ana M.15 siangebadilisha gari , mbona anaendesha toyota starlet ya M.4
  2. S

    Hey!!!! Pugu Boyz wa enzi zileee na wasasa

    ha ha ha fungus , wanafunzi wa pugu walikua hawahitaji uniform kuwatambua maana muda wote mikono yao iko kunako wanakuna fungus
  3. S

    Mhhh!! Irene Uwoya kuacha chuchu hivyo ni biashara au?

    5 M yote hiyo ? lak 2 tu wanatoa mzigo hawa, tena kavu
  4. S

    Tundu Lissu na Wakuu Wapya wa Wilaya

    Mahakama gani uliyotaka awapeleke ? yaani unakuwa kama huielewi system ?
  5. S

    Wizara ya Maliasili na Utalii

    Hivi Nyalandu si ana kampuni yake ya tours ? hakutakuwa na conflict of interest kweli ? au wanamiliki pamoja na mkulu ?
  6. S

    Arusha: Nassari, Heche na Bananga wahojiwa na polisi

    Kwani kuna shida gani akijiita rais wa meru , mbona kuna marais wengi tu na hawachukuliwi hatua mfano rais wa TFF , rais wa chama cha walimu ,rais wa tucta ,nk
  7. S

    Badra masoud

    Tanesco hata uwe makini kiasi gani ni upuuzi kuwa msemaji wao maana utaongea kitu kinachotokea ni kinyume chake
  8. S

    Mbuzi wa Kafara

    Mzigo kwa kusafiri nje ya nchi au mzgo waaje mkuu ?
  9. S

    Waziri wa Nishati na Madini

    Hata Waingereza walikuwa na matumaini kama hawa kwa Godorn Brown ,maana jamaa alikuwa kichwa kwny mambo ya uchumi na alifanya vema wizara ya fedha, lakini alipokuwa PM mambo hayakwenda kama walivyotarajia so tumpe muda tuone
  10. S

    Watuhumiwa wa mauaji ya M/kiti USA-River CDM wakamatwa

    Hata kama ni wa chadema wanyongwe pia ,hakuna haki ya mwanachadema kumuua mwenzake kwa sababu zozote zile
  11. S

    Safari 2015; CCM 3 vs CDM 1

    you cannot teach old dogs new tricks
  12. S

    Mawaziri watakaomwangusha JK

    Cha kusubiri ni report ya CAG ya mwakani basi ,maana ofisi nyingi za serikali huwezi kupima utendaji , urasimu ndo umejaa na very poor customer service, wanahitaji training kwa kweli
  13. S

    Mkuu wa Wilaya ya Mbozi atangaza kujiuzulu!

    Kazi yao ni kumuwakilisha mkuu wa kaya na kusaidiana na polisi kuzuia maandamano yanataka kutokea
  14. S

    Ni nani Dr. William Mgimwa?

    Lets hope for the best , wengi huwa wanaingia wakiwa na sifa kama hizi ila mfumo wanaoukuta ndo huwa unawabadilisha
  15. S

    Kikwete awateua Prof. Sospeter Muhongo, Janet Mbene na James Mbatia kuwa wabunge

    Kushindwa uchaguzi sio kwamba wananchi wote wamekukataa , na ndo maana hakupata kura 0 , pia si kwamba huna uwezo wa kazi , kunaweza kuwa na sababu nyingi sana ndo maana mshindi huwa mmoja , ikiwemo pia chama unchogombea nacho , inawezekana pia angegombe kwa ticket ya chadema angeshinda pia au...
Back
Top Bottom