Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Lissu mwanasheria,
Nae analalamika wakati anazijua sheria, kwa nini basi asiwaburuze mahakamani wahusika? au ushahidi hautoshelezi?
Mfano suala la Milion 5, hadi zinaingizwa kwenye account au kupewa cash ilitakiwa wakamatishwe na technologia iliyopo
sasa kwa nini wasirekodi mahojiano ili wafikishwe mahakamani?
Huu ndio udhaifu wa hawa wanaojiita wapinzani, kazi kulalamika tu hata kama wana uwezo wa kitaaluma.
Shame!
Shame on you!!!!!!!!!!
Ni kawaida mbuni kuficha kichwa wakati kiwili wili chote kinaonekana. Hiyo ndiyo tabia na hulka ya magamba; kwa sasa mkakati wao ni kutumia mahakama ambayo inachakachua sheria kwa manufaa yao ili wacheleweshe au kubaka haki.
Wenye akili wanalijua hilo na wanazijua mahakama zinazotoa haki nazo ni wananchi wapiga kura. Ndicho anakifanya Tundu Lisu na sisi wananchi watoa hukumu tunafarijika na taarifa hizi na tutazitolea hukumu.
Mziki na mkakati wa M4C unaojibu upuuzi wako unaleta kizaa kwa magamba na kutekelezwa kikamilifu na wananchi.
HAPO HUKUMU YA WANANCHI IMECHUKUA MKONDO WAKE